COINCIDENCE: Moja ya ushahidi wa uwepo wa Mungu

COINCIDENCE: Moja ya ushahidi wa uwepo wa Mungu

Narudia kipande hiki kwanza:

....Kumbuka umesha ambiwa kwanini huu ulimwengu upo hivi na kuelezwa kusudio la Mungu, ila wewe unasema mungu hawezi kuumba ulimwengu huu kwa sababu ya sifa yake ya
upendo, uwezo wote na ujuzi.
Nikakuuliza
je,mungu angeumba
ulimwengu ambao hauna tabu
yeyote ndiyo ingekuwa hajajipinga
? Ukajibu ndiyo, nikakwambia je, vp akitokea mtu na kudai kuwa ulimwengu huo utapingana na sifa ya mungu "adh-dhaaru"?? Ukasema ndiyo maana unasema mungu hawezi kuwepo kwa sababu sifa zake zinajipinga.

tusiongelee kufikirika kwa sababu ndo hajaumba usio na mabaya tayar hayupo so ukitaka tuendelee kuanzia hapo kwanza mwambie aumbe ambao hauna mabaya alafu ndio tuingie hatua ya pili unayoisema hapa!!! au ukiri kwamba unaipunguza sifa ya upendo wote alafu tuanze kumjadili mungu mwenye uwezo wote na ujuzi wote bila upendo wote kama yupo au la???
 
tusiongelee kufikirika kwa sababu ndo hajaumba usio na mabaya tayar hayupo so ukitaka tuendelee kuanzia hapo kwanza mwambie aumbe ambao hauna mabaya alafu ndio tuingie hatua ya pili unayoisema hapa!!! au ukiri kwamba unaipunguza sifa ya upendo wote alafu tuanze kumjadili mungu mwenye uwezo wote na ujuzi wote bila upendo wote kama yupo au la???

Mkuu we bora uendelee tu kufuatilia huu mjadala kuliko kuchangia.
 
Mkuu we bora uendelee tu kufuatilia huu mjadala kuliko kuchangia.

is that the best u can answer?? hardly stuff from an intelligent being, maana umelirudia ili swali mara nyingi kila ukielezwa unajifanya unacopy kurudia nimeku expose unakimbia!!!
 
umeme na gravity vinapimika na kuelezeka mungu wenu sio tu hapimiki hata kuelezeka haelezeki!!!

Eleza Umeme na Gravity na uonyeshe namna mnavyopima.
Acha porojo unafokiri JF ni uwanja wa porojo ?
 
Eleza Umeme na Gravity na uonyeshe namna mnavyopima.
Acha porojo unafokiri JF ni uwanja wa porojo ?

Hata mtu akikwambia hawezi kupima umeme na gravity, hilo halithibitishi kuwepo kwa mungu.

Unaweza kuthibitisha mungu yupo?
 
Kama navijua au sivijui, hilo halibadikishi ukqeli kwamba hujaweza kuthibitisha kuwepo kwa mungu.

Uwepo wa Mungu hautegemei Mimi kukuthibitishia, na Hata uwepo wa Gravity haukutegemea uvumbuzi wa Newtons law of gravity.
Kama sijakuthibitishia uwepo wa Mungu hilo halifanyi Mungu asiwepo pia.
Fikra zako ni one way only ?
 
Hata mtu akikwambia hawezi kupima umeme na gravity, hilo halithibitishi kuwepo kwa mungu.

Unaweza kuthibitisha mungu yupo?

Uwe unatafakari japo kidogo kabla ya kupost. Ina maana uwepo wa kitu hautegemei uwezo au kukosa uwezo wa kuelezea kitu kingine. Iweje ushindwe kuelezea kanuni ya maovu na mema then utumie mema na maovu kuwa ni uthibitisho wa Mungu kutokuwepo ?
Mimi nataka nielezwe kuhusu gravity na nithibitishiwe uwepo wake.
 
is that the best u can answer?? hardly stuff from an intelligent being, maana umelirudia ili swali mara nyingi kila ukielezwa unajifanya unacopy kurudia nimeku expose unakimbia!!!

Nimejibiwa vp na ni nani aliyejibu?
 
Uwepo wa Mungu hautegemei Mimi kukuthibitishia, na Hata uwepo wa Gravity haukutegemea uvumbuzi wa Newtons law of gravity.
Kama sijakuthibitishia uwepo wa Mungu hilo halifanyi Mungu asiwepo pia.
Fikra zako ni one way only ?

Ni kweli uwepo wa kitu hautegemei uwezo wako wa kukithibitisha.

Lakini pia, kuna vitu havipo na huwezi kuthibitisha vipo, kwa sababu havipo.

Sasa tukitaka kuchunguza ili tugundue kwamba huyu mungu yupo ila ni wewe tu huwezi kumthibitisha au huwezi kumthibitisha kwa sababu hayupo tutajuaje hilo?

How do you distinguish between the two?
 
Uwe unatafakari japo kidogo kabla ya kupost. Ina maana uwepo wa kitu hautegemei uwezo au kukosa uwezo wa kuelezea kitu kingine. Iweje ushindwe kuelezea kanuni ya maovu na mema then utumie mema na maovu kuwa ni uthibitisho wa Mungu kutokuwepo ?
Mimi nataka nielezwe kuhusu gravity na nithibitishiwe uwepo wake.

Nimeeleza hapo juu kwamba ingawa uwepo wa kitu hautegemei uwezo wa mtu kuthibitisha uwepo huo, visivyokuwepo navyo havithibitishiki kwamba vipo, kwa sababu havipo.

Sasa unang'amuaje kwamba huyu mungu huwezi kumthibitisha, ila yupo, na si kwamba huwezi kumthibitisha kwa sababu hayupo?

Kanuni yangu ya maovu na mema nimeielezea hapo juu. Nikaeleza kwamba ni jinsi gani kiumbe yeyote kupatwa na asichokitaka ni jambo ovu. Labda inabidi ujifunze kusoma.
 
Ni kweli uwepo wa kitu hautegemei uwezo wako wa kukithibitisha.

Lakini pia, kuna vitu havipo na huwezi kuthibitisha vipo, kwa sababu havipo.

Sasa tukitaka kuchunguza ili tugundue kwamba huyu mungu yupo ila ni wewe tu huwezi kumthibitisha au huwezi kumthibitisha kwa sababu hayupo tutajuaje hilo?

How do you distinguish between the two?

Mungu ambaye Mimi ninamjadili hapa ndiye mwanzulishi wa uhai na ndiye aliyetupa utashi wa kujua mema na mabaya.
Hivyo kuwepo kwa mema na mabaya kunamtambulisha Mungu.
Kwanza naomba uniambie utaalamu wa kujua "kitu" hakipo unafananaje na namna ambavyo MTU wa kawaida anaweza tambua kutokuwepo kwa "kitu"

Kutamka kwamba "kitu" hakipo ni ujuzi ama ni imani ?
 
Nimeeleza hapo juu kwamba ingawa uwepo wa kitu hautegemei uwezo wa mtu kuthibitisha uwepo huo, visivyokuwepo navyo havithibitishiki kwamba vipo, kwa sababu havipo.

Sasa unang'amuaje kwamba huyu mungu huwezi kumthibitisha, ila yupo, na si kwamba huwezi kumthibitisha kwa sababu hayupo?

Kanuni yangu ya maovu na mema nimeielezea hapo juu. Nikaeleza kwamba ni jinsi gani kiumbe yeyote kupatwa na asichokitaka ni jambo ovu. Labda inabidi ujifunze kusoma.

Huwezi kuhitimisha kwamba kueleza kwako ndiyo ukweli wenyewe.
Maovu hutendwa dhidi ya binadamu na binadamu.
Simba kula swala sio uovu na wala simba kumla mtu sio uovu kwa simba.
Nataka kanuni.ambayo MTU yetote aweza tumia kutambua uovu na wema pasipo Mungu.
Toa jibu kuhusu hilo.
 
Ndugu kubali kwamba umepwaya mjadala huu,nilikwambia tangu mwanzo kwamba huwezi haya mambo

Teh teh teh...bora nicheke tu maana we na mwenzio bona mnafurahisha,niliamuaga kutokuwajibu chochote ila naona mmenipania haya niambie nilipopwaya wapi mkuu.
 
Last edited by a moderator:
Teh teh teh...bora nicheke tu maana we na mwenzio bona mnafurahisha,niliamuaga kutokuwajibu chochote ila naona mmenipania haya niambie nilipopwaya wapi mkuu.

Yaani wew ukaamua kutokunijibu mimi?,hii hatari.Kama umeshindwa ama unakwepa kuthibitisha kwamba mungu yupo sioni haja ya kuendelea na ngonjera za kujirudia.Ikiwa hata mungu wako humjui na wala huwezi kumuelezea we ni wa ajabu sana.Ukibanwa sana unasema mungu yuko beyond our thinking capacity haha
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom