COINCIDENCE: Moja ya ushahidi wa uwepo wa Mungu

COINCIDENCE: Moja ya ushahidi wa uwepo wa Mungu

Lazima uone nakusumbua sana tu. Nakuuliza maswali ambayo huna majibu yake na hutaki kukubali kwamba huna majibu hayo.

Tukienda na mfano wako kama unavyotaka, tutaona kwamba umeutoa bila kufikiri kwa kina.

Kwani, badala ya kukusaidia kujenga hoja yako, mfano wako unazidi kuibomoa.

Hoja hiyo ya jipu inahusiana na mtu ambaye hana control ya majipu. Jipu linatokea bila ya yeye kuwa na uwezo wa kulizuia, anaanzia hapo kutatua tatizo la jipu kwa kulikamua.

Mungu ambaye ame plan kila kitu kuanzia mwanzo, pamoja na kupanga kama aumbe ulimwengu ambao majipu yanawezekana au hayawezekani, kwa nini kaumba ulimwengu ambao majipu yanawezekana halafu amtoe mwana wake kama njia ya kuyakamua hayo majipu?

Kwa nini hakuumba ulimwengu ambao majipu hayawezekani kabisa in the first place?

Hoja ni upendo na sio jipu. Nimekuuliza ni utaalamu gani wa kimantiki umetumia kutambua kwamba kuna mkanganyiko Kati ya Mungu na Ulimwengu uliopo.
Au umeota tu.
 
Lazima uone nakusumbua sana tu. Nakuuliza maswali ambayo huna majibu yake na hutaki kukubali kwamba huna majibu hayo.

Tukienda na mfano wako kama unavyotaka, tutaona kwamba umeutoa bila kufikiri kwa kina.

Kwani, badala ya kukusaidia kujenga hoja yako, mfano wako unazidi kuibomoa.

Hoja hiyo ya jipu inahusiana na mtu ambaye hana control ya majipu. Jipu linatokea bila ya yeye kuwa na uwezo wa kulizuia, anaanzia hapo kutatua tatizo la jipu kwa kulikamua.

Mungu ambaye ame plan kila kitu kuanzia mwanzo, pamoja na kupanga kama aumbe ulimwengu ambao majipu yanawezekana au hayawezekani, kwa nini kaumba ulimwengu ambao majipu yanawezekana halafu amtoe mwana wake kama njia ya kuyakamua hayo majipu?

Kwa nini hakuumba ulimwengu ambao majipu hayawezekani kabisa in the first place?
Kiranga kujadili nawe ni vigumu sana kwa kuwa wewe Huamini uwepo wa Mungu, Mimi naamini uwepo wa Mungu, na kwa kuwa mimi naamini uwepo wa Mungu najua kwamba kuna maadili ambayo Mungu ameyaweka na kupitia maadili ndipo ninaweza kutambua jambo lililo Jema na lililo Baya.
Sasa wewe ambaye huamini uwepo wa Mungu kila unapoulizwa umetumia sheria gani kutambua hayo unayoyaita maovu ? maana kama kuna maovu ina maana kuna Mema na kuna njia ambayo inatumika kutofautisha Mema na Mabaya.
Wewe usiye amini kuwepo kwa Mungu unatumia njia gani kutambua uwepo wa mabaya ?

Unaogopa kujibu maswali hilo ndilo kero kubwa sana kujadili nawe.

Kwanza, ningependa uniambie Utaalamu wa kimantiki ulioutumia kujua kwamba Mungu na Dunia iliyopo havichangamani.
Pili, ningependa unifundishe kanuni unayotumia kutambua ubaya na wema.
 
Last edited by a moderator:
Hoja ni upendo na sio jipu. Nimekuuliza ni utaalamu gani wa kimantiki umetumia kutambua kwamba kuna mkanganyiko Kati ya Mungu na Ulimwengu uliopo.
Au umeota tu.

Mara tu unasema jipu si hoja wakati umelileta mwenyewe hapa ku ilustrate point ya "necessary evil" . Nakuonyesha kwamba "necessary evil" is not so necessary, unaruka point yako mwenyewe. Kama jipu si hoja umeliandikia nini? Unataka kusema uliponiambia nirejee mfano wako wa jipu ulichemka?

Swali lako nimeshakujibu. Unajitia uhamnazo tu. Na mimi sichoki kukuelezea mara nyingine tena.

Mwenye upendo haachi anaowapenda wapatwe na mabaya kama ana uwezo wa kuzuia hilo.

Hilo huwa hususan zaidi kwa habari za mungu, ambaye anatakiwa kuwa na upendo wote, ujuzi wote na uwezo wote.

Mungu wenu alikuwa na uwezo wa kuumba uliwengu usio na mabaya na kuzuia habari za mabaya yoyote kuwapo katika ulimwengu wake.

Kwa nini hakufanya hivyo?

Hujajibu swali. Uekuja na kifani cha baba mwenye upendo kukamua jipu. Kimfano kimepwaya. Baba anayekamua jipu hakuumba ulimwengu na hana uchaguzi kuhusu majipu kuwapo. Mungu alikuwa na uchaguzi wa kuamua aumbe ukimwengu ambao mabaya yanawezekana au hayawezekani. Umetoa a misanalogy kwa kulinganisha visivyolingana vibaya.

Mpaka sasa:-

Hujathibitisha kwamba mungu yupo.

Hujaondoa contradiction ya mungu mwenye uwezo wote na ujuzi wote kuumba ukimwengu ambao mabaya yanawezekana.

Hujatueleza ni jinsi gani wewe ambaye umesema hujui upendo ni mdudu gani unaweza kumuelewa mungu wa kikristo.

Umesema upendo wa mungu haujulikani kwa akili za kibinadamu. Hujatueleza wewe umetumia akili gani zisizo za kibinadamu kujua hilo.
 
Kiranga kujadili nawe ni vigumu sana kwa kuwa wewe Huamini uwepo wa Mungu, Mimi naamini uwepo wa Mungu, na kwa kuwa mimi naamini uwepo wa Mungu najua kwamba kuna maadili ambayo Mungu ameyaweka na kupitia maadili ndipo ninaweza kutambua jambo lililo Jema na lililo Baya.
Sasa wewe ambaye huamini uwepo wa Mungu kila unapoulizwa umetumia sheria gani kutambua hayo unayoyaita maovu ? maana kama kuna maovu ina maana kuna Mema na kuna njia ambayo inatumika kutofautisha Mema na Mabaya.
Wewe usiye amini kuwepo kwa Mungu unatumia njia gani kutambua uwepo wa mabaya ?

Unaogopa kujibu maswali hilo ndilo kero kubwa sana kujadili nawe.

Kwanza, ningependa uniambie Utaalamu wa kimantiki ulioutumia kujua kwamba Mungu na Dunia iliyopo havichangamani.
Pili, ningependa unifundishe kanuni unayotumia kutambua ubaya na wema.

Kwa nini jambo kuwa ovu au zuri kutegemee kuwepo kwa mungu?

Katika ulimwengu ambao mungu hayupo na viumbe havitaki kufa kwani uhai ni mzuri fundamentaly, kwa nini kuua kuhitaji mungu awepo ili kuwe kubaya?
 
Last edited by a moderator:
Kwa nini jambo kuwa ovu au zuri kutegemee kuwepo kwa mungu?

Katika ulimwengu ambao mungu hayupo na viumbe havitaki kufa kwani uhai ni mzuri fundamentaly, kwa nini kuua kuhitaji mungu awepo ili kuwe kubaya?

Kwa nini uwepo wa Mungu utegemee mambo mazuri peke yake ?
Nami nitakuwa nakujibu kwa mtindo wako ili twende sawa.
Ulichoandika kuhusu kufa na mengineyo Kama umekumbwa na maruweruwe vile maana unacheza bahati nasibu.
 
Mara tu unasema jipu si hoja wakati umelileta mwenyewe hapa ku ilustrate point ya "necessary evil" . Nakuonyesha kwamba "necessary evil" is not so necessary, unaruka point yako mwenyewe. Kama jipu si hoja umeliandikia nini? Unataka kusema uliponiambia nirejee mfano wako wa jipu ulichemka?

Swali lako nimeshakujibu. Unajitia uhamnazo tu. Na mimi sichoki kukuelezea mara nyingine tena.

Mwenye upendo haachi anaowapenda wapatwe na mabaya kama ana uwezo wa kuzuia hilo.

Hilo huwa hususan zaidi kwa habari za mungu, ambaye anatakiwa kuwa na upendo wote, ujuzi wote na uwezo wote.

Mungu wenu alikuwa na uwezo wa kuumba uliwengu usio na mabaya na kuzuia habari za mabaya yoyote kuwapo katika ulimwengu wake.

Kwa nini hakufanya hivyo?

Hujajibu swali. Uekuja na kifani cha baba mwenye upendo kukamua jipu. Kimfano kimepwaya. Baba anayekamua jipu hakuumba ulimwengu na hana uchaguzi kuhusu majipu kuwapo. Mungu alikuwa na uchaguzi wa kuamua aumbe ukimwengu ambao mabaya yanawezekana au hayawezekani. Umetoa a misanalogy kwa kulinganisha visivyolingana vibaya.

Mpaka sasa:-

Hujathibitisha kwamba mungu yupo.

Hujaondoa contradiction ya mungu mwenye uwezo wote na ujuzi wote kuumba ukimwengu ambao mabaya yanawezekana.

Hujatueleza ni jinsi gani wewe ambaye umesema hujui upendo ni mdudu gani unaweza kumuelewa mungu wa kikristo.

Umesema upendo wa mungu haujulikani kwa akili za kibinadamu. Hujatueleza wewe umetumia akili gani zisizo za kibinadamu kujua hilo.

Nyuma ya maswali yako kuna minadharia ambayo ukiulizwa umeijuaje Una rudi kwenye default position.
Umejuaje kuwepo kwa upendo au mwenye upendo asiyeacha watu wake wateseke ?

Hujathibitisha kwamba Mungu hayupo.

Hujaeleza kanuni unayotumia kujua jema na baya

Katika imani ya Kikristo Maisha ni zaidi ya kifo tofauti na ulimwengu wa mabingwa wa kukariri.
Katika Ukristo Yesu ni Mungu ambaye kuteswa kwake (kibinadam) pale msalabani lilikuwa ni tendo LA upendo.


Unatunga hoja na kuzifanya ni Mimi nimetunga.
Onyesha pahala nimeandika upendo wa Mungu haujulikani kwa akili za kibinadam Kama sio kariri zako tu. Kichwa chako kinadowload Moja kwa moja toka moyoni pasipo kupitisha kichwani ?
 
Kwa nini uwepo wa Mungu utegemee mambo mazuri peke yake ?
Nami nitakuwa nakujibu kwa mtindo wako ili twende sawa.
Ulichoandika kuhusu kufa na mengineyo Kama umekumbwa na maruweruwe vile maana unacheza bahati nasibu.

Kama unaukliza kwa nini natumia ulimwengu ambao hauna mabaya ili kuhoji uwepo wa mungu (which is not the same as kwa nini uwepo wa mungu utegemee mambo mazuri pekee, which is a lazy corruption of the same question) ni kwa sababu mungu wenu amesema yeye ni upendo, na upendo kama nilivyosema hapo mwanzo, kama una uwezo wa kuondoa mabaya kwa wapendwa, hautayaacha.

Kwa nini mungu wenu mwenye upendo wote, uwezo wote na ujuzi wote kaumba ulimwengu ambao mabaya yanawezekana wakati alikuwa na uwezo wa kuumba ulimwengu ambao mabaya hayawezekani?

Hujajibu swali hili.
 
Nyuma ya maswali yako kuna minadharia ambayo ukiulizwa umeijuaje Una rudi kwenye default position.
Umejuaje kuwepo kwa upendo au mwenye upendo asiyeacha watu wake wateseke ?

Hujathibitisha kwamba Mungu hayupo.

Hujaeleza kanuni unayotumia kujua jema na baya

Katika imani ya Kikristo Maisha ni zaidi ya kifo tofauti na ulimwengu wa mabingwa wa kukariri.
Katika Ukristo Yesu ni Mungu ambaye kuteswa kwake (kibinadam) pale msalabani lilikuwa ni tendo LA upendo.


Unatunga hoja na kuzifanya ni Mimi nimetunga.
Onyesha pahala nimeandika upendo wa Mungu haujulikani kwa akili za kibinadam Kama sio kariri zako tu. Kichwa chako kinadowload Moja kwa moja toka moyoni pasipo kupitisha kichwani ?

Nimekuuliza kwa nini mungu kaumba ulimwengu ambao unawezekana kuwa na mabaya na baadaye kumtoa huyo Yesu afe ili kuuokoa ulimwengu wakati mungu huyu huyu akiweza kuumba ulimwengu ambao mabaya hayawezekaniki tangu mwanzo na hivyo kusingekuwa na haja ya kumtoa mwanawe.

Hujajibu.

Mungu wenu ni fundi mchundo anayefanya kazi kwa kubahatisha bahatusha na kuweka vidaka kadiri anavyokwenda?

Hakuweza kuumba kitu kilichokuwa kimekamilika tangu mwanzo?
 
Kama unaukliza kwa nini natumia ulimwengu ambao hauna mabaya ili kuhoji uwepo wa mungu (which is not the same as kwa nini uwepo wa mungu utegemee mambo mazuri pekee, which is a lazy corruption of the same question) ni kwa sababu mungu wenu amesema yeye ni upendo, na upendo kama nilivyosema hapo mwanzo, kama una uwezo wa kuondoa mabaya kwa wapendwa, hautayaacha.

Kwa nini mungu wenu mwenye upendo wote, uwezo wote na ujuzi wote kaumba ulimwengu ambao mabaya yanawezekana wakati alikuwa na uwezo wa kuumba ulimwengu ambao mabaya hayawezekani?

Hujajibu swali hili.

Hujajibu swali hili
Jibu swali la kwanini iwe lazima Mungu na ulimwengu kuwa wanakinzana ?
Nini kanuni ipi ya kimantiki unatumua kupata ukinzani wa Mungu na ulimwengu huu ?
 
Hujajibu swali hili
Jibu swali la kwanini iwe lazima Mungu na ulimwengu kuwa wanakinzana ?
Nini kanuni ipi ya kimantiki unatumua kupata ukinzani wa Mungu na ulimwengu huu ?

Nishakujibu kama mara nne au zaidi. Jibu langu hujalichambua, unarudi kusema sijajibu tu.

Nimekwambia kwamba.

1. Wenye upendo na uwezo hawaachi wanaowapenda wapatwe na mabaya.

2. Mungu wenu mnasema ana uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote.

3. Ulimwengu huu una mabaya mengi tu.

4. Ulimwengu huu kuwa na mabaya una contradict idea kwamba mungu mwenye uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote yupo na kauumba ulimwengu huu. Kwa sababu tumeona hapo juu kwamba wenye uwezo na upendo hawaachi wanaowapenda wapatwe na mabaya kama wanaweza kuyazuia.
 
Nishakujibu kama mara nne au zaidi. Jibu langu hujalichambua, unarudi kusema sijajibu tu.

Nimekwambia kwamba.

1. Wenye upendo na uwezo hawaachi wanaowapenda wapatwe na mabaya.

2. Mungu wenu mnasema ana uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote.

3. Ulimwengu huu una mabaya mengi tu.

4. Ulimwengu huu kuwa na mabaya una contradict idea kwamba mungu mwenye uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote yupo na kauumba ulimwengu huu. Kwa sababu tumeona hapo juu kwamba wenye uwezo na upendo hawaachi wanaowapenda wapatwe na mabaya kama wanaweza kuyazuia.

Unajibu kana kwamba kuna mwafaka wa Mimi nawe juu ya kanuni inayotumika kutambua mabaya kiasi wewe ukajua kuwepo kwa mema na mabaya.
Nimekwambia Mimi Kama mkristo maisha ni zaidi ya kifo.

Wewe eleza namba unavoweza kutambua wema na uovu ndiyo uweze kuuliza kuhusu Mungu na Uovu
Wawezaje tambua wema na uovu ?
 
Nishakujibu kama mara nne au zaidi. Jibu langu hujalichambua, unarudi kusema sijajibu tu.

Nimekwambia kwamba.

1. Wenye upendo na uwezo hawaachi wanaowapenda wapatwe na mabaya.

2. Mungu wenu mnasema ana uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote.

3. Ulimwengu huu una mabaya mengi tu.

4. Ulimwengu huu kuwa na mabaya una contradict idea kwamba mungu mwenye uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote yupo na kauumba ulimwengu huu. Kwa sababu tumeona hapo juu kwamba wenye uwezo na upendo hawaachi wanaowapenda wapatwe na mabaya kama wanaweza kuyazuia.

Ulitumia ulimwengu UPI kujua hilo ?maana ulimwengu pekee uliopo ni huu . hiyo probable ulimwengu wako unadefine vipi upendo na mabaya ?
 
Unajibu kana kwamba kuna mwafaka wa Mimi nawe juu ya kanuni inayotumika kutambua mabaya kiasi wewe ukajua kuwepo kwa mema na mabaya.
Nimekwambia Mimi Kama mkristo maisha ni zaidi ya kifo.

Wewe eleza namba unavoweza kutambua wema na uovu ndiyo uweze kuuliza kuhusu Mungu na Uovu
Wawezaje tambua wema na uovu ?

Mabaya ni pamoa na yote yanayowafika viumbe bila ya wao kutaka.

Kma wewe ni mkristo hilo jambo la mungu wako kumfoa mwana wake wa pekee tu aje kuukomboa ukimwengu linamaanisha kwamba ulimwengu una mabaya, otherwise kulikuwa hamna haja ya Yesu kuja kusulubiwa.

Sasa kwa nini mungu muweza yote, mjuzi wa yote na mwenye uoendo wote aumbe ulimwengu ambao unarubusu mabaya mpaka afikie point ya kumtoa mwanawe aje kuukomboa ulimwengu kutoka kwenye mabaya wakati aliweza kuumba ulimwengu ambao mabaya hayawezekani tangu mwanzo?
 
Hivi kwanini atheists mnaogopa kueleza ni vp mliacha imani zenu na kuanza kuamini kuwa hakuna mungu? Maana sie mnatuambia tumefuata wazazi wetu tu,lakini nyie hamuelezi ni kwanini mliacha imani za wazazi wenu na kuwa wakanaji mungu.


Usahihi wa imani yako haupimwi kwa imani kubwa uliyonayo kwa hicho unachokiamini.

Na si ajabu kuufanya uongo uonekane kama ukweli ila huwezi kuugeuza uongo kuwa ndiyo ukweli wenyewe.
 
Ulitumia ulimwengu UPI kujua hilo ?maana ulimwengu pekee uliopo ni huu . hiyo probable ulimwengu wako unadefine vipi upendo na mabaya ?

Niitumia ulimwengu huu, kwa nini nihitaji ulimwengu mwingine zaidi ya huu?

Sikwambii ulimwengu wangu na define vioi mabaya na uoendo, maana nikikwambia hivyo utasema wewe huamini katika ulimwengu wangu.

Nakuambia kuhusu ukristo unaouamini, iki uone conyradiction katika imani yako.

Suppose nataka kuamini ukristo, nimkubali mungu wa ukristo. Na wewe una nafasi hapa ya kunielewesha mungu wa ukrisgo nimuelewe na nimkubali. Nina maswali ukiyajibu vizuri nitamkubali mungu wa ukristo.

Bibkia inasema kwamba mungu ni uoendo na anapenda viumbe wake. Upendo huu unaendana na kuwafanyia mazuri. Yesu amesema ndege hawapandi wala hawalimi lakini mungu anawapa riziki, kwa kiwa anawapenda.

Kwa nini mungu hakuumba ulimwengu ambao mabaya hayawezekani? Bibia inatambua kuwapo kwa mabaya duniani. Tunaona jinsi gharika ikivyoifika dunia, moto wa Sodoma na Gomorah etc. Mpaka mungu akaamua kumtoa mwanawe iki auokoe ulimwengu usipotee kwenye mabaya bali upate uzima wa milele, kwa hiyo mabaya yapo mpaka kwenye biblia.

Kwa nini mungu hakuumba ulimwengu ambao mabaya hayawezekani?
 
Mabaya ni pamoa na yote yanayowafika viumbe bila ya wao kutaka.

Kma wewe ni mkristo hilo jambo la mungu wako kumfoa mwana wake wa pekee tu aje kuukomboa ukimwengu linamaanisha kwamba ulimwengu una mabaya, otherwise kulikuwa hamna haja ya Yesu kuja kusulubiwa.

Sasa kwa nini mungu muweza yote, mjuzi wa yote na mwenye uoendo wote aumbe ulimwengu ambao unarubusu mabaya mpaka afikie point ya kumtoa mwanawe aje kuukomboa ulimwengu kutoka kwenye mabaya wakati aliweza kuumba ulimwengu ambao mabaya hayawezekani tangu mwanzo?
Kuzaliwa kwako wewe ulutaka ?
Mimi sijakaa ulimwengu kuwa na mabaya, natambua uwepo wake ni kwa sababu Mungu yupo naye ndiye mweye kanuni inayoniwezesha kuyajua.
Wewe kwako Mungu hayupo. Uetambuaje uwepo wa mabaya na unatumia kanuni gani kutambua Jema toka kwenye baya...
 
Hivi kwanini atheists mnaogopa kueleza ni vp mliacha imani zenu na kuanza kuamini kuwa hakuna mungu? Maana sie mnatuambia tumefuata wazazi wetu tu,lakini nyie hamuelezi ni kwanini mliacha imani za wazazi wenu na kuwa wakanaji mungu.


Usahihi wa imani yako haupimwi kwa imani kubwa uliyonayo kwa hicho unachokiamini.

Na si ajabu kuufanya uongo uonekane kama ukweli ila huwezi kuugeuza uongo kuwa ndiyo ukweli wenyewe.

Una hakika tunaogopa kueleza au unaamini hivyo blindly tu kama unavyoamini kuwapo kwa mungu?

Nikikuonesha sehemu nilipoandika kuhusu hilo awali utasemaje?
 
Kuzaliwa kwako wewe ulutaka ?
Mimi sijakaa ulimwengu kuwa na mabaya, natambua uwepo wake ni kwa sababu Mungu yupo naye ndiye mweye kanuni inayoniwezesha kuyajua.
Wewe kwako Mungu hayupo. Uetambuaje uwepo wa mabaya na unatumia kanuni gani kutambua Jema toka kwenye baya...

Hujajibu swali nililokuuliza.

Kuzaliwa kwangu sijataka, na hilo linaonyesha uongo wa habari nzima ya kwamba mungu anapenda viumbe wake wawe na "free will". Free will iko wapi wakati tunazaliwa bila kutaka?

Mabaya ni yote yanayotupata bila sisi kutaka. Kwa nini tupatwe na tusiyoyataka wakati mungu angeweza kuumba ulimwengu ambao hakuna usilolitaka litakalokufika?
 
Back
Top Bottom