COINCIDENCE: Moja ya ushahidi wa uwepo wa Mungu

COINCIDENCE: Moja ya ushahidi wa uwepo wa Mungu

Una hakika tunaogopa kueleza au unaamini hivyo blindly tu kama unavyoamini kuwapo kwa mungu?

Nikikuonesha sehemu nilipoandika kuhusu hilo awali utasemaje?

Wewe ndiyo unaamini blindly tu maana sioni msingi wa unachoamini,naona hoja tu za kupinga tena hazina mashiko.

Ukinionesha nitasema wewe ni atheist unaejiamini na unachokiamini tofauti na wenzio ambao hawajiamini kwa wanachokiamini ila hujipa moyo tu.
 
Wewe ndiyo unaamini blindly tu maana sioni msingi wa unachoamini,naona hoja tu za kupinga tena hazina mashiko.

Ukinionesha nitasema wewe ni atheist unaejiamini na unachokiamini tofauti na wenzio ambao hawajiamini kwa wanachokiamini ila hujipa moyo tu.

Kati yako uliyetoa conclusion kwamba tunaogopa blindly na mimi niliyekujibu kwamba umekosea na wengine tushaelezea hilo awali, nani anaamini blindly hapa?

Hoja yako imekosa msingi. Kwa hiyo ukiona huyu atheist hajiamini hilo linathibitisha kuwepo kwa mungu?
 
Hoja yako imekosa msingi. Kwa hiyo ukiona huyu atheist hajiamini hilo linathibitisha kuwepo kwa mungu?

Ni wapi niliposema hivyo au nilipokusudia hivyo? Au wewe mwenzetu hoja za kumpinga mungu ndiyo unazichukulia ndiyo uthibitisho wa kuonesha hakuna mungu?maana kuna watu wanaamini uwepo wa mungu lakini wanampinga.

Halafu mbona hauoneshi upoeleza kwanini uliamua kuwa atheist?au muongo tu nawe ndiyo walewale.
 
Ni wapi niliposema hivyo au nilipokusudia hivyo? Au wewe mwenzetu hoja za kumpinga mungu ndiyo unazichukulia ndiyo uthibitisho wa kuonesha hakuna mungu?maana kuna watu wanaamini uwepo wa mungu lakini wanampinga.

Halafu mbona hauoneshi upoeleza kwanini uliamua kuwa atheist?au muongo tu nawe ndiyo walewale.

Nimeuliza swali. Unafahamu tofauti ya swali na statement?

Ningekuonesha nikivyoanza kuwa atheist kama ungekuwa na hoja ya msingi. Kwa mfano, ungeema kuwa mimi kukuonesha hivyo kutakusaidia ku prove kuwepo kwa mungu.

Ndiyo maana njkakuukiza atheist akishindwa kukuonesha hilo itakuwaje? Ukasema atakuwa hajiamini.

Nikaona habari n, ima haina mashiko na hujaweza kujenga hoja ya kufuagikiwa katika hilo.

Huna hoja ya msingi.

Kama unataka kuona nilivyoanza kuwa atheist seatrch for "The Philosophy of Religion: An Anthology". Kitabu nikichokitaja kwamba kilinifungua macho kuacha kuamini kagika kuwapo kwa mungu.

In any case, hakuna cha msingi kitakachobadilika ukijua nikivyoanza kuwa atheist au usipojua, kwa sababu nishakuuliza bii habari unataka kuiendelezaje ukabaki kujambajamba ushuzi mchafu intellectually.

Usijaribu kutikisa kibox cha kibirigi unachojua kimejaa.

Na usijaribu kumtishia mtu mzima nyau.
 
Nimeuliza swali. Unafahamu tofauti ya swali na statement?

Ningekuonesha nikivyoanza kuwa atheist kama ungekuwa na hoja ya msingi. Kwa mfano, ungeema kuwa mimi kukuonesha hivyo kutakusaidia ku prove kuwepo kwa mungu.

Ndiyo maana njkakuukiza atheist akishindwa kukuonesha hilo itakuwaje? Ukasema atakuwa hajiamini.

Nikaona habari n, ima haina mashiko na hujaweza kujenga hoja ya kufuagikiwa katika hilo.

Huna hoja ya msingi.

Kama unataka kuona nilivyoanza kuwa atheist seatrch for "The Philosophy of Religion: An Anthology". Kitabu nikichokitaja kwamba kilinifungua macho kuacha kuamini kagika kuwapo kwa mungu.

In any case, hakuna cha msingi kitakachobadilika ukijua nikivyoanza kuwa atheist au usipojua, kwa sababu nishakuuliza bii habari unataka kuiendelezaje ukabaki kujambajamba ushuzi mchafu intellectually.

Usijaribu kutikisa kibox cha kibirigi unachojua kimejaa.

Na usijaribu kumtishia mtu mzima nyau.

Kumbe walewale tu wasiojiamini kwa wanachokiamini na kubaki kujipa.(halafu kibaya zaidi umeshindwa kuelewa maana ya hayo maneno).

Mikwara yote na maneno ya ajabuajabu halafu mwishoni unanitajie kitabu wakati hata hii hoja unayotumia hapa kupinga mungu nayo ipo kwenye vitabu.
Imani uliyonayo sasa ina majibu ya maswali au mashaka uliyokuwa nayo kwenye imani yako ya mwanzo. Maana hata hivyo vitabu huwezi kusoma na ukaviamini bila kupitia hali yenye kukusuma na kushawishika kuamini.


Hoja za kupinga mungu hazithibitisha kutokuwepo kwa Mungu na ndiyo maana hadi sasa bado tunabishana tu hapa.
 
Kumbe walewale tu wasiojiamini kwa wanachokiamini na kubaki kujipa.(halafu kibaya zaidi umeshindwa kuelewa maana ya hayo maneno).

Mikwara yote na maneno ya ajabuajabu halafu mwishoni unanitajie kitabu wakati hata hii hoja unayotumia hapa kupinga mungu nayo ipo kwenye vitabu.
Imani uliyonayo sasa ina majibu ya maswali au mashaka uliyokuwa nayo kwenye imani yako ya mwanzo. Maana hata hivyo vitabu huwezi kusoma na ukaviamini bila kupitia hali yenye kukusuma na kushawishika kuamini.


Hoja za kupinga mungu hazithibitisha kutokuwepo kwa Mungu na ndiyo maana hadi sasa bado tunabishana tu hapa.

Hujaweza kuthibitisha mungu yupo.

Hujaweza kuondoa contradiction kumhusu mungu wako.

Bado unauliza maswali yasiyo kichwa wala mguu kama vile "u atheist wenu mmeanzaje?" .

Ukiulizwa swali hili lina msingi gani katika kujibu hoja muhimu, unasema ooh, ni kiqngalia tu atheist gani anajiamini.

Inaonekana wewe ndiye hujiamini katika hoja zako kiasi cha kushindwa kuuliza maswali yaliyojikita katika hoja na kuendekeza habari za kutoka kwenye maswali ya nsingi kwa kuuliza historia ya atheists wamekuwaje hivyo.

Unakuwa ni sawa na mfa maji ambaye anazama, hahui kuogelea, akiona hata unywele anataka kuudaka eti umsaidie kuelea.

Hilo swali lako katika context ya the major argument hapa ni kama unywele.

Wewe jinsi nilivyokunyuka intellectually kwa kujuuliza maswali usiyoweza kuyajibu ni sawa na mfa maji asiyejua kuogelea anayezama.

Kukimbilia kuuliza maswali ya atheists wameanzaje kuwa hivyo ni kuonesha mfa maji anatapatapa mpaka sasa kakosa cha kushika anashika mpaka unywele ili aendelee kuelea.
 
Hujaweza kuthibitisha mungu yupo.

Hujaweza kuondoa contradiction kumhusu mungu wako.

Bado unauliza maswali yasiyo kichwa wala mguu kama vile "u atheist wenu mmeanzaje?" .

Ukiulizwa swali hili lina msingi gani katika kujibu hoja muhimu, unasema ooh, ni kiqngalia tu atheist gani anajiamini.

Inaonekana wewe ndiye hujiamini katika hoja zako kiasi cha kushindwa kuuliza maswali yaliyojikita katika hoja na kuendekeza habari za kutoka kwenye maswali ya nsingi kwa kuuliza historia ya atheists wamekuwaje hivyo.

Unakuwa ni sawa na mfa maji ambaye anazama, hahui kuogelea, akiona hata unywele anataka kuudaka eti umsaidie kuelea.

Hilo swali lako katika context ya the major argument hapa ni kama unywele.

Wewe jinsi nilivyokunyuka intellectually kwa kujuuliza maswali usiyoweza kuyajibu ni sawa na mfa maji asiyejua kuogelea anayezama.

Kukimbilia kuuliza maswali ya atheists wameanzaje kuwa hivyo ni kuonesha mfa maji anatapatapa mpaka sasa kakosa cha kushika anashika mpaka unywele ili aendelee kuelea.

Mbona unakuwa mkali mkuu ukiulizwa kilichokufanya kuwa atheist?unatoa hadi mipasho.

Halafu suala la contradiction maelezo yangu ya mwisho yalikuwa ni haya:

"Kupinga ni suala rahisi sana kila mara narudia haya maneno.Umekariri kuwa hoja yenu haiwezi kujibiwa na ndiyo maana unahaha. Kumbuka umesha ambiwa kwanini huu ulimwengu upo hivi na kuelezwa kusudio la Mungu, ila wewe unasema mungu hawezi kuumba ulimwengu huu kwa sababu ya sifa yake ya upendo, uwezo wote na ujuzi. Nikakuuliza je,mungu angeumba ulimwengu ambao hauna tabu yeyote ndiyo ingekuwa hajajipinga? Ukajibu ndiyo, nikakwambia je, vp akitokea mtu na kudai kuwa ulimwengu huo utapingana na sifa ya mungu "adh-dhaaru"?? Ukasema ndiyo maana unasema mungu hawezi kuwepo kwa sababu sifa zake zinajipinga.

Mpaka hapo ilikuwa tumefikia
kwamba kumbe hata kama mungu angeumba ulimwengu wenye raha tupu bila tabu yeyote pia ingeonekana anajipinga na sifa zake nyengine pia,kwahiyo hoja hapa si kwanini kaumba ulimwengu huu,maana (kwa vigezo ulivyotumia kusema
ulimwengu huu unamfanya
anajipinga) hata angeumba
ulimwengu unaoona wewe ndiyo ungekuwa unafaa bado pia ingeonekana kuna contradiction.

Ndiyo maana unaambiwa
umemtengeneza mungu ktk kichwa chako,kwa sababu unataka kujua uwepo wa mungu kwa kuchagua baadhi ya sifa,kubali sifa zote hizo maana ndiyo sifa zake hizo.
"
 
Niitumia ulimwengu huu, kwa nini nihitaji ulimwengu mwingine zaidi ya huu?

Sikwambii ulimwengu wangu na define vioi mabaya na uoendo, maana nikikwambia hivyo utasema wewe huamini katika ulimwengu wangu.

Nakuambia kuhusu ukristo unaouamini, iki uone conyradiction katika imani yako.

Suppose nataka kuamini ukristo, nimkubali mungu wa ukristo. Na wewe una nafasi hapa ya kunielewesha mungu wa ukrisgo nimuelewe na nimkubali. Nina maswali ukiyajibu vizuri nitamkubali mungu wa ukristo.

Bibkia inasema kwamba mungu ni uoendo na anapenda viumbe wake. Upendo huu unaendana na kuwafanyia mazuri. Yesu amesema ndege hawapandi wala hawalimi lakini mungu anawapa riziki, kwa kiwa anawapenda.

Kwa nini mungu hakuumba ulimwengu ambao mabaya hayawezekani? Bibia inatambua kuwapo kwa mabaya duniani. Tunaona jinsi gharika ikivyoifika dunia, moto wa Sodoma na Gomorah etc. Mpaka mungu akaamua kumtoa mwanawe iki auokoe ulimwengu usipotee kwenye mabaya bali upate uzima wa milele, kwa hiyo mabaya yapo mpaka kwenye biblia.

Kwa nini mungu hakuumba ulimwengu ambao mabaya hayawezekani?

Mabaya na mazuri huwezi kuyatambua kwa kutumia sayansi. Ulivyokariri hubadiliki. Nimekuomba unipe kanuni unayotumia kutambua mabaya na mazuri unarukaruka na maneno tu.
Mimi Kama Mkristo natambua uwepo wa mabaya duniani na namna yanavyotuathiri binadamu lakini pia ninatumaini kwa kuw maisha yangu hayaishii duniani hii. Kwakuwa Mungu wangu aliniambia "njooni kwangu ninyi nyote msumbukao na kulemew na mizigo nami nitawapumzisha"
Wewe maisha yako yanakomea kwenye kifo ndiyo Sababu unahangaishwa na uyaitayo mabaya kwa kukosa tumaini kwako.

Niambie kanuni ya kifalsafa u ayotumja kutambua mabaya na mema nje ya Mungu ili nikusaidie...
 
Mnataka ushahidi wa uwepo wa mungu,mkianza kupewa ushahidi mara mnasema kwanza mpaka iondolewe contradiction,ikianza kujadiliwa hiyo contradiction mnaanza tena kusema tutoe ushahidi wa kuwepo kwa mungu.

Mkiambiwa basi thibitisheni kuwa kweli mungu hakuna mnasema kisichokuwepo hakithibitishiki,mkiulizwa kanuni gani inatumika kujua visivyokuwepo?mnakuwa wakali.

Sie mnatuambia tunafuata imani tulizowakutanazo wazazi wetu, ila nyie mkiulizwa kidogo tu ni kipi kilichowatoa kwenye imani zenu na kuanza kupinga mungu? mnaanza kupanic na wengine wanakaa kimya kabisa hawajibu.
 
Mbona unakuwa mkali mkuu ukiulizwa kilichokufanya kuwa atheist?unatoa hadi mipasho.

Halafu suala la contradiction maelezo yangu ya mwisho yalikuwa ni haya:

"Kupinga ni suala rahisi sana kila mara narudia haya maneno.Umekariri kuwa hoja yenu haiwezi kujibiwa na ndiyo maana unahaha. Kumbuka umesha ambiwa kwanini huu ulimwengu upo hivi na kuelezwa kusudio la Mungu, ila wewe unasema mungu hawezi kuumba ulimwengu huu kwa sababu ya sifa yake ya upendo, uwezo wote na ujuzi. Nikakuuliza je,mungu angeumba ulimwengu ambao hauna tabu yeyote ndiyo ingekuwa hajajipinga? Ukajibu ndiyo, nikakwambia je, vp akitokea mtu na kudai kuwa ulimwengu huo utapingana na sifa ya mungu "adh-dhaaru"?? Ukasema ndiyo maana unasema mungu hawezi kuwepo kwa sababu sifa zake zinajipinga.

Mpaka hapo ilikuwa tumefikia
kwamba kumbe hata kama mungu angeumba ulimwengu wenye raha tupu bila tabu yeyote pia ingeonekana anajipinga na sifa zake nyengine pia,kwahiyo hoja hapa si kwanini kaumba ulimwengu huu,maana (kwa vigezo ulivyotumia kusema
ulimwengu huu unamfanya
anajipinga) hata angeumba
ulimwengu unaoona wewe ndiyo ungekuwa unafaa bado pia ingeonekana kuna contradiction.

Ndiyo maana unaambiwa
umemtengeneza mungu ktk kichwa chako,kwa sababu unataka kujua uwepo wa mungu kwa kuchagua baadhi ya sifa,kubali sifa zote hizo maana ndiyo sifa zake hizo.
"

Unaelewa contradiction ni nini?

Unajuaje kwamba angeumba ulimwengu ninaouona mimi unafaa kungekuwa na contradiction? Contradicgion gani? Unaweza kuitaja kwa hatua nne angalau nne, kwamba mungu angeumba ulimwengu ambao hauna mabaya hivi, ikawa hivi, hili litapingana na hili na kuleta contradiction?
 
Mabaya na mazuri huwezi kuyatambua kwa kutumia sayansi. Ulivyokariri hubadiliki. Nimekuomba unipe kanuni unayotumia kutambua mabaya na mazuri unarukaruka na maneno tu.
Mimi Kama Mkristo natambua uwepo wa mabaya duniani na namna yanavyotuathiri binadamu lakini pia ninatumaini kwa kuw maisha yangu hayaishii duniani hii. Kwakuwa Mungu wangu aliniambia "njooni kwangu ninyi nyote msumbukao na kulemew na mizigo nami nitawapumzisha"
Wewe maisha yako yanakomea kwenye kifo ndiyo Sababu unahangaishwa na uyaitayo mabaya kwa kukosa tumaini kwako.

Niambie kanuni ya kifalsafa u ayotumja kutambua mabaya na mema nje ya Mungu ili nikusaidie...

Hujaona nilipokwambia kuhusu muongozo wa mabaya na mazuri?

Unajua kusoma au umejaa upofu wa cognitive dissonance hata kusoma unakuwa hujui?
 
Unaelewa contradiction ni nini?

Unajuaje kwamba angeumba ulimwengu ninaouona mimi unafaa kungekuwa na contradiction? Contradicgion gani? Unaweza kuitaja kwa hatua nne angalau nne, kwamba mungu angeumba ulimwengu ambao hauna mabaya hivi, ikawa hivi, hili litapingana na hili na kuleta contradiction?

Kifo kingekua hamna bado ingekua haina maana ya kuzaliana
 
Hujaona nilipokwambia kuhusu muongozo wa mabaya na mazuri?

Unajua kusoma au umejaa upofu wa cognitive dissonance hata kusoma unakuwa hujui?

Inawezekana sijui kusoma hoja zisizo jibu hoja.
1.Nimekueleza unieleze kanuni ya kimantiki unayotumia kuhigimisha kwamba Mungu na dunia hii hawachangamani.
2.Nimekutaka utoe kanuni ya kisayansi unayotumia kutambua wema kutoka kwenye ubaya. Nimekujuza kwamba wema na ubaya umewekwa Mungu nje ya Mungu hakuna wema wala ubaya.
Unahangaika na bla bla zako
 
Unaelewa contradiction ni nini?

Unajuaje kwamba angeumba ulimwengu ninaouona mimi unafaa kungekuwa na contradiction? Contradicgion gani? Unaweza kuitaja kwa hatua nne angalau nne, kwamba mungu angeumba ulimwengu ambao hauna mabaya hivi, ikawa hivi, hili litapingana na hili na kuleta contradiction?

Contradiction ni kukinzana; sawa vile wewe unaposema hakuna Mungu huku ukitambua uwepo wa mema na mabaya
 
Unaelewa contradiction ni nini?

Unajuaje kwamba angeumba ulimwengu ninaouona mimi unafaa kungekuwa na contradiction? Contradicgion gani? Unaweza kuitaja kwa hatua nne angalau nne, kwamba mungu angeumba ulimwengu ambao hauna mabaya hivi, ikawa hivi, hili litapingana na hili na kuleta contradiction?

Narudia kipande hiki kwanza:

....Kumbuka umesha ambiwa kwanini huu ulimwengu upo hivi na kuelezwa kusudio la Mungu, ila wewe unasema mungu hawezi kuumba ulimwengu huu kwa sababu ya sifa yake ya
upendo, uwezo wote na ujuzi.
Nikakuuliza je,mungu angeumba
ulimwengu ambao hauna tabu
yeyote ndiyo ingekuwa hajajipinga? Ukajibu ndiyo, nikakwambia je, vp akitokea mtu na kudai kuwa ulimwengu huo utapingana na sifa ya mungu "adh-dhaaru"?? Ukasema ndiyo maana unasema mungu hawezi kuwepo kwa sababu sifa zake zinajipinga.
 
Back
Top Bottom