COINCIDENCE: Moja ya ushahidi wa uwepo wa Mungu

COINCIDENCE: Moja ya ushahidi wa uwepo wa Mungu

Yaani wew ukaamua kutokunijibu mimi?,hii hatari.Kama umeshindwa ama unakwepa kuthibitisha kwamba mungu yupo sioni haja ya kuendelea na ngonjera za kujirudia.Ikiwa hata mungu wako humjui na wala huwezi kumuelezea we ni wa ajabu sana.Ukibanwa sana unasema mungu yuko beyond our thinking capacity haha

Ndiyo maana niliamuaga kutokuwajibu chochote,sasa uliposema nimepwaya ni wapi mbona hauoneshi?

Hivi wewe na mwenzio ambao hata huu mjadala mmeshindwa kuuelewa hivi kweli nyie hata hiyo imani yenu mnaielewa kweli? Ndiyo maana nawauliza kipi kilichowaingiza huko mnaogopa kujibu.
 
Ndiyo maana niliamuaga kutokuwajibu chochote,sasa uliposema nimepwaya ni wapi mbona hauoneshi?

Hivi wewe na mwenzio ambao hata huu mjadala mmeshindwa kuuelewa hivi kweli nyie hata hiyo imani yenu mnaielewa kweli? Ndiyo maana nawauliza kipi kilichowaingiza huko mnaogopa kujibu.

Kutokujibu chochote ama kuchangia haimaanishi mjadala umenishinda kijana!,.Wakati mwingine ni bora kukaa kimya kuliko kupoteza muda na watu wasiolewa nini kinaendelea na kuleta mijadala ile ile ya miaka ile.

Wewe unaona sifa sana kuandika vitu visivyoeleweka ili mradi uonekane umeandika?.Kiufupi watu wa mungu hamuna hoja kabisa zaidi ya kukariri kwamba kuna mungu na ni vibaya kumwongelea.

Karibu katika ulimwengu huru!
 
Religion is excellent stuff for keeping common people quiet. Religion is what keeps the poor from murdering the rich.

Ni rahisi sana pia kutoka katika minyororo hii ya kuwa mtumwa wa Idea ya kitu kisichokuwepo
 
Religion has actually convinced people that there's an invisible man living in the sky who watches everything you do, every minute of every day. And the invisible man has a special list of ten things he does not want you to do. And if you do any of these ten things, he has a special place, full of fire and smoke and burning and torture and anguish, where he will send you to live and suffer and burn and choke and scream and cry forever and ever 'til the end of time!



But He loves you. He loves you, and He needs money! He always needs money! He's all-powerful, all-perfect, all-knowing, and all-wise, somehow just can't handle money! Huyu ni mungu wa aina gani?

Mimi ninachopinga humu ni kuwepo kwa kitu/nguvu ama whatever kinacho-control Universal kikiwa mahala fulani ambcho eti wote tunatakiwa tukiabudu,kukiheshimu lakini pia kukitumikia.Wakati huo huo kitu hicho hakijawahi kuonekana zaidi ya masimulizi ya vitabu vya hadithi za maisha ya watu wa mashariki ya kati.

Haiwezekani hata siku koja mungu ambaye ni all-knowing ashindwe kuumba ulimwengu ambao usingekuwa na maovu na huku alikuwa na uwezo huo!,.Niajabu sana kuona mungu(kama yupo)eti anamtupia mzigo kiumbe wake(mwanadamu) et anatakiwa kuyafuata mema ambayo hata hivyo huyo mungu(kama yupo) anajua kabisa kabla kwamba itakuwa ngumu kwa huyu mwanadamu kuweza kuyafuata.

Lakininsio hivyo tu bali huyu mungu eti alishindwa kufikili namna nzur ya kuwasamehe watu wake madhambi zaidi ya kujishisha sijui na kuja eti kufa na kisha kufufuka ili watu wasamehewe dhambi.ni jambo la ajabu sana kuona mungu anashindwa kusamehe mpaka amtese mtoto wake sijui.Halafu hata alichofia hakionekani maana kama ni dhambi mnasema bado zipo sasa sijui ondoleo la dhambi lilikuwa lipi ama dhambi zipi.


Kiufupi mungu wenu haeleweki na inabidi mtafakafi upya,kwa maana ikiwa mungu anapata hasira na huzuni kisha mtu anaropoka humu eti mungu anajua yajayo ni aibu maana ili upate hasira na huzuni lazima upate habar mpya.
 
Kutokujibu chochote ama kuchangia haimaanishi mjadala umenishinda kijana!,.Wakati mwingine ni bora kukaa kimya kuliko kupoteza muda na watu wasiolewa nini kinaendelea na kuleta mijadala ile ile ya miaka ile.

Wewe unaona sifa sana kuandika vitu visivyoeleweka ili mradi uonekane umeandika?.Kiufupi watu wa mungu hamuna hoja kabisa zaidi ya kukariri kwamba kuna mungu na ni vibaya kumwongelea.

Karibu katika ulimwengu huru!

Unaweza kueleza kilichokufanya kuacha imani yako na kuwa mkanaji mungu?
 
Religion has actually convinced people that there's an invisible man living in the sky who watches everything you do, every minute of every day. And the invisible man has a special list of ten things he does not want you to do. And if you do any of these ten things, he has a special place, full of fire and smoke and burning and torture and anguish, where he will send you to live and suffer and burn and choke and scream and cry forever and ever 'til the end of time!



But He loves you. He loves you, and He needs money! He always needs money! He's all-powerful, all-perfect, all-knowing, and all-wise, somehow just can't handle money! Huyu ni mungu wa aina gani?

Mimi ninachopinga humu ni kuwepo kwa kitu/nguvu ama whatever kinacho-control Universal kikiwa mahala fulani ambcho eti wote tunatakiwa tukiabudu,kukiheshimu lakini pia kukitumikia.Wakati huo huo kitu hicho hakijawahi kuonekana zaidi ya masimulizi ya vitabu vya hadithi za maisha ya watu wa mashariki ya kati.

Haiwezekani hata siku koja mungu ambaye ni all-knowing ashindwe kuumba ulimwengu ambao usingekuwa na maovu na huku alikuwa na uwezo huo!,.Niajabu sana kuona mungu(kama yupo)eti anamtupia mzigo kiumbe wake(mwanadamu) et anatakiwa kuyafuata mema ambayo hata hivyo huyo mungu(kama yupo) anajua kabisa kabla kwamba itakuwa ngumu kwa huyu mwanadamu kuweza kuyafuata.

Lakininsio hivyo tu bali huyu mungu eti alishindwa kufikili namna nzur ya kuwasamehe watu wake madhambi zaidi ya kujishisha sijui na kuja eti kufa na kisha kufufuka ili watu wasamehewe dhambi.ni jambo la ajabu sana kuona mungu anashindwa kusamehe mpaka amtese mtoto wake sijui.Halafu hata alichofia hakionekani maana kama ni dhambi mnasema bado zipo sasa sijui ondoleo la dhambi lilikuwa lipi ama dhambi zipi.


Kiufupi mungu wenu haeleweki na inabidi mtafakafi upya,kwa maana ikiwa mungu anapata hasira na huzuni kisha mtu anaropoka humu eti mungu anajua yajayo ni aibu maana ili upate hasira na huzuni lazima upate habar mpya.

Kwani huu ulimwengu ungekuwa hauna maovu ndiyo ungeamini kuwa mungu yupo?
 
Nyie freethinkers mbona hamuelezi ni kipi kilichowafanya nanyi mkawa ktk wenye kupinga mungu.
 
Religion is excellent stuff for keeping common people quiet. Religion is what keeps the poor from murdering the rich.

Ni rahisi sana pia kutoka katika minyororo hii ya kuwa mtumwa wa Idea ya kitu kisichokuwepo
Wewe ungekuwa poor ungeua rich people?
 
Kwa nini unaamini kuna kilichonipeleka?.

Kwa kifupi hakuna ushahidi wenye kuthibitisha kutokuwepo kwa Mungu,na ukiangalia mazingira halisi yanapingana kabisa na imani ya kusema hakuna mungu. Hivyo lazima kuwe na jambo lililokuwa linakutatiza kwenye imani yako na ndiyo ikapelekea kuingia huko.
 
Kwa kifupi hakuna ushahidi wenye kuthibitisha kutokuwepo kwa Mungu,


Kwa kifupi hakuna ushahidi wenye kuthibitisha kuwepo kwa mungu.

na ukiangalia mazingira halisi yanapingana kabisa na imani ya kusema hakuna mungu.

Mazingira halisi ni yapi?Na kivipi yanapingana ?na yanapingana na imani ipi hiyo unayoimaanisha?.
Hivyo lazima kuwe na jambo lililokuwa linakutatiza kwenye imani yako na ndiyo ikapelekea kuingia huko.

Sikuwa na imani yoyote kabla,..lakini inawezekana nilikuwa nafuata mkumbo tu.Kwamba kwa sababu baba na mama wamenikea katika mazingira ya kikatoliki ama kiislam basi na mimi nikajikuta nafuata dini ama Imani hiyo.
 
Kwa kifupi hakuna ushahidi wenye kuthibitisha kuwepo kwa mungu.



Mazingira halisi ni yapi?Na kivipi yanapingana ?na yanapingana na imani ipi hiyo unayoimaanisha?.


Sikuwa na imani yoyote kabla,..lakini inawezekana nilikuwa nafuata mkumbo tu.Kwamba kwa sababu baba na mama wamenikea katika mazingira ya kikatoliki ama kiislam basi na mimi nikajikuta nafuata dini ama Imani hiyo.

Maelezo yako hapo kwn red inaonesha kabisa ulikuwa na imani yako kabla ya kuwa mpinga mungu. Na kusema kwamba ulikuwa unafuata mkumbo tu kutokana na wazazi maana yake ulikuwa hufuatilii lolote kwn imani yako hiyo hivyo ulikuwa humjui mungu.Kwahiyo hata ingetokea kusoma vitabu vya kichawi basi leo ungekuwa mchawi.
 
Kwa nini mungu mwenye uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote aumbe ulimwengu unaoruhusu ajali kutokea na viumbe wake kuumia vikali na hata kufa?

Wakati alikuwa na uwezo wote wa kuumba ulimwengu ambao ajali haiwezekani.

Imeandikwa kila nafsi itaonja umauti, so kuhusu suala la kifo sidhani kama Mungu anapaswa kulaumiwa. Tuliumbwa kwa udongo na tutarudi udongoni.

Binadamu tunamkosea sana Mungu, ndio maana anaruhusu mabaya yatutokee ili tujue yeye ni nani na ana uwezo, na ndio maana binadamu wengi tukipatwa na Matatizo tunamkimbilia Mungu, kwa kuwa tunaamini yeye ndiye muweza yote
 
Either way, it points to the nonexistence of at least the Judeo Christian godhead.

If it is predetermined, then god lacks justice. Because he punishes and rewards people for a fate he sets out himself for them.

If it is not predetermined, then gods knowledge is not perfect since for fate not to be predetermined it is necessary that he does not know what we will do.

Either way, this god is a hoax.

Let God be God, and Man be Man, let us not criticize him
 
Back
Top Bottom