COINCIDENCE: Moja ya ushahidi wa uwepo wa Mungu

COINCIDENCE: Moja ya ushahidi wa uwepo wa Mungu

We unaporojo tupu.

Cha kukushauri tu ni kwamba kuwa makini na unachokiandika.

Unapenda ubishi lakini hauwezi.

Kama nina porojo tupu ungeweza kuzionesha hizo porojo ziko wapi.

Kusema mimi nina porojo tupu bila kuzionesha ziko wapi ndiyo porojo tupu yenyewe.

Narudia kwa msisitizo ili wote waelewe.

Kwa kusema mimi nina porojo tupu bila kuonesha porojo ni zipi na kwa nini ni porojo, wewe ndiye unajionesha kuwa na porojo tupu.

Kati ya mimi niliyekupa nafasi ya kuthibitisha kwamba mungu yupo na wewe unayesema mungu yupo lakini hujaweza kuthibitisha kwamba yupo nani anahitaji kuwa makini na anachoandika? Nani ana porojo tupu?

Kati yangu mimi niliyekuonyesha contradiction ya mungu wako ambaye mnasema ana ujuzi wote, upendo wote na uwezo wote lakini kaumba ulimwengu ambao mabaya yanawezekana, na wewe ambaye ymeshindwa kuitengua hiyo contradiction, nani anahitaji kuandika kuwa makini? Nani ana porojo tupu?

Kati yako wewe unayesema binadamu kaumbwa na mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote na mimi nikiyekuuliza kama binadamu kaumbwa na mungu mjuzi hivyo mbona anakunya mavi, a very inefficuent misuse of energy, ina maana mungu hakujua kuwa energy efficient, ukashindwa kunijibu, nani anahitaji kuandika kwa makini? Nani ana porojo tupu?

Kati yangu mimi niliyeuliza kama mungu wenu kweli anapenda watu wawe huru kuchagua mbona hajatupa uhuru wa kuchagua kama tunataka kuzaliwa au hatutaki kuzaliwa, na wewe uliyeshindwa kunijibu, nani anahitaji kuandika kwa makini? Nani ana porojo tupu?

Kati yangu mimi niliyekuuliza kama mungu wenu kweli anapenda watu wawe na uhuru wa kuchagua, mbona hajatupa uhuru wa kurudi nyuma kwenye muda tubadili makosa tuliyofanya, na wewe uliyeshindwa kunijibu, nani anahitaji kuandika kwa makini? Nani ana porojo tupu?

Kati yangu mimi ninayepoint out vitu specific katika arguments zangu na wewe unayeleta majibu ya jumla jumla kama "wewe una porojo tu" ambayo hata hayachambui kitu, nani anahitaji kuandika kwa makini? Nani ana porojo tupu?

To the very contrary.

Wewe ndiye unahitaji kuandika kwa makini zaidi ya umakini wa zaidi wowote ninaohitaji mimi.

Wewe ndiye mwenye porojo tupu.

Hata unaposema mimi nina porojo tupu, ni porojo tupu.

Nimekuuliza maswali, umeshindwa kuyajibu, huwezi kuniambia siwezi ubishi.

Wewe uliyeshindwa kujibu maswali ndiye usiyeweza ubishi.
 
Kama nina porojo tupu ungeweza kuzionesha hizo porojo ziko wapi.

Kusema mimi nina porojo tupu bila kuzionesha ziko wapi ndiyo porojo tupu yenyewe.

Narudia kwa msisitizo ili wote waelewe.

Kwa kusema mimi nina porojo tupu bila kuonesha porojo ni zipi na kwa nini ni porojo, wewe ndiye unajionesha kuwa na porojo tupu.

Kati ya mimi niliyekupa nafasi ya kuthibitisha kwamba mungu yupo na wewe unayesema mungu yupo lakini hujaweza kuthibitisha kwamba yupo nani anahitaji kuwa makini na anachoandika? Nani ana porojo tupu?

Kati yangu mimi niliyekuonyesha contradiction ya mungu wako ambaye mnasema ana ujuzi wote, upendo wote na uwezo wote lakini kaumba ulimwengu ambao mabaya yanawezekana, na wewe ambaye ymeshindwa kuitengua hiyo contradiction, nani anahitaji kuandika kuwa makini? Nani ana porojo tupu?

Kati yako wewe unayesema binadamu kaumbwa na mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote na mimi nikiyekuuliza kama binadamu kaumbwa na mungu mjuzi hivyo mbona anakunya mavi, a very inefficuent misuse of energy, ina maana mungu hakujua kuwa energy efficient, ukashindwa kunijibu, nani anahitaji kuandika kwa makini? Nani ana porojo tupu?

Kati yangu mimi niliyeuliza kama mungu wenu kweli anapenda watu wawe huru kuchagua mbona hajatupa uhuru wa kuchagua kama tunataka kuzaliwa au hatutaki kuzaliwa, na wewe uliyeshindwa kunijibu, nani anahitaji kuandika kwa makini? Nani ana porojo tupu?

Kati yangu mimi niliyekuuliza kama mungu wenu kweli anapenda watu wawe na uhuru wa kuchagua, mbona hajatupa uhuru wa kurudi nyuma kwenye muda tubadili makosa tuliyofanya, na wewe uliyeshindwa kunijibu, nani anahitaji kuandika kwa makini? Nani ana porojo tupu?

Kati yangu mimi ninayepoint out vitu specific katika arguments zangu na wewe unayeleta majibu ya jumla jumla kama "wewe una porojo tu" ambayo hata hayachambui kitu, nani anahitaji kuandika kwa makini? Nani ana porojo tupu?

To the very contrary.

Wewe ndiye unahitaji kuandika kwa makini zaidi ya umakini wa zaidi wowote ninaohitaji mimi.

Wewe ndiye mwenye porojo tupu.

Hata unaposema mimi nina porojo tupu, ni porojo tupu.

Nimekuuliza maswali, umeshindwa kuyajibu, huwezi kuniambia siwezi ubishi.

Wewe uliyeshindwa kujibu maswali ndiye usiyeweza ubishi.

Maelezo marefu yote uliyotoa hayajabadilisha chochote. Kiranga nakwambia mara kwa mara ubishi hauwezi,labda kwa hao wasiokujua.

Kilichofanya nikwambia una porojo hata haujakigusia,matokeo yake umekuja kujaza milawama kibao zisizo na msingi.

Umesema mie pengine nafikiri mambo sawa na line ya reli,lakini umeshindwa kutoa japo mfano mmoja tu ambao ungethibitisha ulichokisema. Na ndiyo maana nikakwambia unaleta porojo tu.

Matokeo yake umekuja na lawama kibao et sijajibu maswali yako na kusema mie ndiye mwenye porojo.
Ushasahau hata tulikuwa tukifanya nini kama kawaida yako.

Tunachofanya ni kuchambua hizi imani zetu mbili ambapo ndiyo tutaweza kujibiana maswali yetu kwa ufasaha, ila nashangaa umekazana kusema hujajibiwa maswali yako.

Halafu la mwisho Kiranga umeshindwa kueleza ni vp mtu anajipinga hadi sasa,lakini ajabu umekazana kudai kusema kuwa Mungu amejipinga,lakini hata hivyo ulishasema kuwa ili mungu ajipinge inabidi awepo na ndiyo ukasema kwanza nithibitishe kuwepo kwa mungu. Lakini ajabu unakuja kusema umeonesha kujipinga kwa mungu.

Laiti mie ningekuwa hapa kwa ajiri ya ubishi basi ningetumia njia ya kukuonesha jinsi unavyojipinga ktk maneno yako basi ningekuwa nishachukua point, ila sipo hapa kwa kubishana. Na wala huna uwezo huo.
 
Maelezo marefu yote uliyotoa hayajabadilisha chochote. Kiranga nakwambia mara kwa mara ubishi hauwezi,labda kwa hao wasiokujua.

Kilichofanya nikwambia una porojo hata haujakigusia,matokeo yake umekuja kujaza milawama kibao zisizo na msingi.

Umesema mie pengine nafikiri mambo sawa na line ya reli,lakini umeshindwa kutoa japo mfano mmoja tu ambao ungethibitisha ulichokisema. Na ndiyo maana nikakwambia unaleta porojo tu.

Matokeo yake umekuja na lawama kibao et sijajibu maswali yako na kusema mie ndiye mwenye porojo.
Ushasahau hata tulikuwa tukifanya nini kama kawaida yako.

Tunachofanya ni kuchambua hizi imani zetu mbili ambapo ndiyo tutaweza kujibiana maswali yetu kwa ufasaha, ila nashangaa umekazana kusema hujajibiwa maswali yako.

Halafu la mwisho Kiranga umeshindwa kueleza ni vp mtu anajipinga hadi sasa,lakini ajabu umekazana kudai kusema kuwa Mungu amejipinga,lakini hata hivyo ulishasema kuwa ili mungu ajipinge inabidi awepo na ndiyo ukasema kwanza nithibitishe kuwepo kwa mungu. Lakini ajabu unakuja kusema umeonesha kujipinga kwa mungu.

Laiti mie ningekuwa hapa kwa ajiri ya ubishi basi ningetumia njia ya kukuonesha jinsi unavyojipinga ktk maneno yako basi ningekuwa nishachukua point, ila sipo hapa kwa kubishana. Na wala huna uwezo huo.

Post yangu namba 481 umeiruka kama hujaiona vile.
 
quote_icon.png
By Makini ''bila mateso kusingekua na huruma''

Mkuu,
Yaani Mungu amekuwa ''sadist'' /dhalimu na anafurahia aliowaumba wapate mateso au wawe dhalili ili walilie huruma yake, watu-wa-imani mnashindwa kumtetea Mungu wenu ndiyo maana kuna maswali mengi kama kweli Mungu yupo au hayupo!
 
Sisimizi wawili walikuwa wakitembea juu ya mataruma ya reli. Mmoja akamwambia mwenzake ambaye hakuwahi kuamini kama pana gari moshi kabla: "Mataaruma haya gari moshi refu hupita juu yake." Lakini, sisimizi wa pili alipinga "for the sake of an argument" akisema, "Hakuna kitu kama hicho. Kama kweli pana gari moshi refu, basi na lije sasa hapa nilione, alafu nitaamini. La sivyo mimi sitasadiki uzushi wako kabisa." Wakaendelea na safari, gari moshi halikuonekana. Je, gari moshi kweli halipo? Je, steshen master anaweza kuliruhusu gari moshi lije ili kumwondoa ujinga sisimizi asiyeamini, jampo ushahidi upo wa taaruma? Tomaso, aliambiwa, "...wa heri wale wasioona, wakasadiki"(Yohana 20:29). What is greater between the railway or the universe? Design demands an intelligent designer! What about the law of cause and effect? Can a huge universe exist without an intelligent disigner?
 
Kwani Mungu alipomwumba mwanadamu alisema kwamba kwa kuwa nina upendo wote na nguvu zote basi mabaya yote hayatakuwepo duniani? Kinyume chake aliwaambia wazi Adamu na Hawa kwamba mara tu watakapovunja amri yake watafikwa na mabaya! Kiranga na wenzake wanamsingizia Mungu mambo ambayo hakuwahi kutamka. That is their own version.
 
Umezungumzia nini mie sioni namba.

Kama una kifaa chenye mapungufu tafuta unachoweza kuona namba nacho.

It is unfair to ask me about a post l already wrote and gave you the number to.

You are being unconsiderate and self centred.
 
Kama una kifaa chenye mapungufu tafuta unachoweza kuona namba nacho.

It is unfair to ask me about a post l already wrote and gave you the number to.

You are being unconsiderate and self centred.

We mi nishakuzoea huna jipya.
 
Kiranga elimu haina wisho! naomba unithibishie ni wapi paliposemwa au kuandikwa kwamba mungu ana upendo na uwezo wote kama swali lako unavyopenda kuliuliza.
 
Last edited by a moderator:
Kiranga elimu haina wisho! naomba unithibishie ni wapi paliposemwa au kuandikwa kwamba mungu ana upendo na uwezo wote kama swali lako unavyopenda kuliuliza.

Mungu unayemuamini wewe ni mungu gani?
 
Last edited by a moderator:
Mungu unayemuamini wewe ni mungu gani?

Usitaka kuongeza swali juu ya swali, jibu swali ndio na wewe uulize swali.

mimi nigependa kujua chanzo chako cha habari kinachosema Mungu ana upendo na uwezo mkubwa. nijibu swali kutokana na kuuliza
 
Sina jipya kwako kwa sababu yangu ya zamani hujaweza kuyajibu.

Ya zamani hujajibu, unataka jipya?

Ujanja wa kupotezea mada ni wa kitoto sana.

Nimekuuomba unipe japo mfano tu wa vp ulimwengu unaweza ukawa umepatikana tofauti na kusema umeumbwa na mungu au umetokea tu wenyewe? Lakini hadi sasa umeshindwa kufanya hivyo,kwa maana hiyo kama nafikiri kama line ya reli(kama ulivyoniambia) basi na wewe pia itakuwa ndiyo hivyo hivyo.
 
Usitaka kuongeza swali juu ya swali, jibu swali ndio na wewe uulize swali.

mimi nigependa kujua chanzo chako cha habari kinachosema Mungu ana upendo na uwezo mkubwa. nijibu swali kutokana na kuuliza

Nataka kuunganisha hiyo habari na mungu wako, bila ya wewe kiniambia mungu unauemuamini ni yupi nitaunganishaje hiyo habari na wewe?

Naweza kukupa aya za biblia wakati kumbe wewe Muislamu na huamini mungu wa biblia.

Ushaelewa maana ya swali langu?
 
Ujanja wa kupotezea mada ni wa kitoto sana.

Nimekuuomba unipe japo mfano tu wa vp ulimwengu unaweza ukawa umepatikana tofauti na kusema umeumbwa na mungu au umetokea tu wenyewe? Lakini hadi sasa umeshindwa kufanya hivyo,kwa maana hiyo kama nafikiri kama line ya reli(kama ulivyoniambia) basi na wewe pia itakuwa ndiyo hivyo hivyo.

Swali hapa si mfano wa jinsi ya ulimwengu ukawa umepatikana tofauti.

Human ignorance is infinite.

Swali hapa ni jinsi gani ulimwengu hauwezi ukawa umepatikana tofauti.

Mimi sijasema najua ulimwengu ulivyoanza, sasa huwezi kuniuliza hilo swali.

Wewe unayedai kwamba ulimwengu umeumbwa na mungu una wajibu wa kutueleza ni kwa nini ulimwengu huu umeumbwa na mungu na hauwezi kuwa umetokea kwa njia nyingine yoyote.

Mpaka sasa nishakupa swali unieleze imekuwaje mungu mwenye uwezo wote, upendo wote na ujuzi wote kaumba ulimwengu huu, hujanijibu.
 
Nataka kuunganisha hiyo habari na mungu wako, bila ya wewe kiniambia mungu unauemuamini ni yupi nitaunganishaje hiyo habari na wewe?

Naweza kukupa aya za biblia wakati kumbe wewe Muislamu na huamini mungu wa biblia.

Ushaelewa maana ya swali langu?

Biblia!
 
Sisimizi wawili walikuwa wakitembea juu ya mataruma ya reli. Mmoja akamwambia mwenzake ambaye hakuwahi kuamini kama pana gari moshi kabla: "Mataaruma haya gari moshi refu hupita juu yake." Lakini, sisimizi wa pili alipinga "for the sake of an argument" akisema, "Hakuna kitu kama hicho. Kama kweli pana gari moshi refu, basi na lije sasa hapa nilione, alafu nitaamini. La sivyo mimi sitasadiki uzushi wako kabisa." Wakaendelea na safari, gari moshi halikuonekana. Je, gari moshi kweli halipo? Je, steshen master anaweza kuliruhusu gari moshi lije ili kumwondoa ujinga sisimizi asiyeamini, jampo ushahidi upo wa taaruma? Tomaso, aliambiwa, "...wa heri wale wasioona, wakasadiki"(Yohana 20:29). What is greater between the railway or the universe? Design demands an intelligent designer! What about the law of cause and effect? Can a huge universe exist without an intelligent disigner?

Where dd the intelligent designer come from?,who is the designer of the intelligent designer?.If you believe that the intelligent came from nothing why dont you believe that the Universal came from nothing!?
 
Kwani Mungu alipomwumba mwanadamu alisema kwamba kwa kuwa nina upendo wote na nguvu zote basi mabaya yote hayatakuwepo duniani? Kinyume chake aliwaambia wazi Adamu na Hawa kwamba mara tu watakapovunja amri yake watafikwa na mabaya! Kiranga na wenzake wanamsingizia Mungu mambo ambayo hakuwahi kutamka. That is their own version.

Kwa maana hiyo mungu wako hana upendo wote na wema wote?,sasa anatofauti gani na mwanadamu,.kubaliana na mimi kwamba hakuna mungu ila kuna Idea ya mungu na sisi ndio tunaiumba na kuiendekeza hiyo Idea ambayo ni ya kufikirika tu.

""God and religion will remain as a wishfull thinking"hakuna ushahidi wa uwepo wa kitu kama hicho
 
Back
Top Bottom