COINCIDENCE: Moja ya ushahidi wa uwepo wa Mungu

COINCIDENCE: Moja ya ushahidi wa uwepo wa Mungu

Hujaelewa na sifikiri kwamba unaweza kuelewa kirahisi nilichoandika.

Which solidifies my point that you are not qualified to chip in in this debate.

Unaweza kuniambia ulichoelewa ni nini ?

Sijaelewa msomi. Kwa sababu haiwezekani nitake uthibitisho wa jambo fulani, sasa mtu atakaponiambia "nimethibitisha kitu ndotoni, kwa sababu nimeota ni uthibitisho wangu". Si tu kwamba atakuwa bado hajathibitisha bali pia atakuwa ameongea utumbo kabisa.

Sasa labda msomi unieleza, inapotokea mtu anaambiwa athibitishe jambo fulani halafu huyo anayeambiwa athibitishe anasema kwamba "nimethibitisha kitu ndotoni" je,kweli kauli hiyo ni uthibitisho(siulizi kwamba ni uthibitisho sahihi au si sahihi) kwa maana kwamba inafaa kuitwa ni uthibitisho?


Halafu haujanijibu swali hili:

Hivi uthibitisho hauwi wa ukweli kama hakijatumika kipimo cha
mwenyekutaka huo uthibitisho au uthibitisho unaweza ukawa wa ukweli ila usikubaliwe kwa sababu kipimo cha mtaka huo uthibitisho hakipo?
 
Kwa hiyo angeumba ulimwengu huo, huyo mungu muweza yote angeshindwa kykufanya uamini kwamba yupo?

Mungu wenu sio tu hayupo, kimantiki hawezekaniki kuwepo kwa sababu anajipinga yeye mwenyewe.

Mungu hawezekani kuwepo kwa sababu anajipinga????
 
Kwa nini mungu mwenye uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote aumbe ulimwengu unaoruhusu ajali kutokea na viumbe wake kuumia vikali na hata kufa?

Wakati alikuwa na uwezo wote wa kuumba ulimwengu ambao ajali haiwezekani.

ukiumia, ukilala njaa, hata ukifa bado wewe/nafsiyako. Ni mali yake tu' hana hasara. Ilimradi ametoa muongozo wa jinsi ya kuishi maisha mazuri/ anayotaka watu waishi. Ukiishi kinyume na apendavo au ukaishi yeye apendavo. Bado binadamu yupo kwenye mtihani tu! matatizo/ raha unazopata ni kitu kingine cha kukukumbusha uwepo wake.
 
Kiranga, huyu jamaa anaweza kua ni ishmael yule mwehu uliyempiga ban either kwa ujuha tu au kwa kua level yake ya kuelewa ni ndogo au kama ulivyosema cognitive dissionance......

ninachoshukuru sasa ivi kwa hawa watu ni kwamba hamna tena apa anayekuja na ushahid wa uwepo wa mungu ni blah blah tu!!! mungu wao all powerful, all knowing all wise all loving hataki kujitokeza kujidhirisha ili tujue kweli yupo??? hataki au he doesnt care???

wanatukuza kitu wasichoweza hata kukielezea kwa mistari michache yenye kuleta maana!!!

Muulize Kiranga ni kwanini hadi sasa bado anaendelea kujadiliana na mtu ambaye ni blah blah tu,ana uelewa mdogo,na ambaye hajatoa ushahidi wa mungu?
 
Mungu hawezekani kuwepo kwa sababu anajipinga????

Idea ya kuwapo jwa mungu inajopinga yenyewe kama isea ya "pembetatu duara" katika Euclidean geometry.

Mungu hayupo na ninwa kufikirika zaidi kama "pembetatu duara".

Pembetatu duara haiwezi kuwepo kwa sababu idea yake ina contradiction, inajipinga yenyewe. Kitu kikiwa pembetatu hakiwezi kuwa duara, na kikiwa duara hakiwezi kuwa pembetatu.

Vivyo hivyo, mungu mwenye iwezo wote, ujuzi wote na upendo wote (let's call that "a" ) ambaye pia kaumba ulimwengu huu na kautawala tangu mwanzo (b) hawezi juwepo kwa sababu a and b are contradictory.

Mungu mwenye a hawezi kuumba b.

B ipo tunaiona.

Hivyo convlusuon jibkwamba huyo mungu hayupo, angekiwepo tusingeona b.
 
Idea ya juwapo jwa mungu inajopinga yenyewe kama isea ya "pembetatu duara" katika Euclidean geometry.

Mungu hayupo na ninwa kufikirika zaidi kama "pembetatu duara".

Pembetatu duara haiwezi kuwepo kwa sababu idea yake ina contradiction, inajipinga yenyewe. Kitu kikiwa pembetatu hakiwezi kuwa duara, na kikiwa duara hakiwezi kuwa pembetatu.

Vivyo hivyo, mungu mwenye iwezo wote, ujuzi wote na upendo wote (let's call that "a" ) ambaye pia kaumba ulimwengu huu na kautawala tangu mwanzo (b) hawezi juwepo kwa sababu a and b are contradictory.

Mungu mwenye a hawezi kuumba b.

B ipo tunaiona.

Hivyo convlusuon jibkwamba huyo mungu hayupo, angekiwepo tusingeona b.

Hehe..nakumbuka uliwahi kusema kwamba ili tuseme kwamba kajipinga inabidi ithibitike kwanza kama yupo,maana kisichokuwepo hakiwezi kujipinga. Lakini nashangaa leo unaposema mungu hawezi kuwepo kwa sababu anajipinga.

Swala la kujipinga na kitu kutokuwezekana kuwepo ni vitu viwili tofauti.

Naomba urudie tafsiri ya kujipinga halafu tuone kweli "pembetatu duara" inasifa za kujipinga?
 
Hehe..nakumbuka uliwahi kusema kwamba ili tuseme kwamba kajipinga inabidi ithibitike kwanza kama yupo,maana kisichokuwepo hakiwezi kujipinga. Lakini nashangaa leo unaposema mungu hawezi kuwepo kwa sababu anajipinga.

Swala la kujipinga na kitu kutokuwezekana kuwepo ni vitu viwili tofauti.

Naomba urudie tafsiri ya kujipinga halafu tuone kweli "pembetatu duara" inasifa za kujipinga?

Neno langu la kwanza katika jibu ulilolinukuu ni "idea". Ama hujulielewa ama una cognitive dissonance kubwa tu inayokufanya ujifanye hujalielewa. Either way it is pitiful.

Nimesema kwa makusudi kabisa kwamba idea inajipinga, rudia kusoma.

Nimesema pia kwamba idea ya pembetatu mviringo inawezekana kuwapo bila kuwezekana kuwapo kwa pembetatu mviringo yenyewe, kwa kuwa idea inajipinga na pembetatu haiwezi kuwa mviringo na mviringo hauwezi kuwa pembetatu.

Ushaelewa tofauti ya idea ya mungu wako kujipinga na mungu kujipinga?

Mungu hawezi kujipinga, kwa sababu hayupo. Ukiona sehemu ninaandika "mungu wako anajipinga" the meaning ni kwamba hiyo idea ya mungu wako inajipinga kama vile "pembetatu mviringo".
 
ukiumia, ukilala njaa, hata ukifa bado wewe/nafsiyako. Ni mali yake tu' hana hasara. Ilimradi ametoa muongozo wa jinsi ya kuishi maisha mazuri/ anayotaka watu waishi. Ukiishi kinyume na apendavo au ukaishi yeye apendavo. Bado binadamu yupo kwenye mtihani tu! matatizo/ raha unazopata ni kitu kingine cha kukukumbusha uwepo wake.

Sijaomba mahubiri.

Nimeomba uthibitisho kwamba mungu yupo.

Hujathibitisha.
 
mkuu Kiranga huo ulimwengu ambao hauna mabaya na una mazuri tu upo lakin sio huu wa hapa duniani..kuna mahali nilikunote umeandika kuwa kama kweli yupo angeweza kuumba VYOVYOTE ALIVYOTAKA ..sasa hapo kwenye vyovyote alivotaka ndo kataka dunia sasa iwe hivi..alafu sayari zingine ziwe vile zilivyo..kuuuubwa halafu hazina viumbe...akataka jua liwe limesimama na sayari zinaliznguka.binadamu aende chooni,wewe uwe binadamu na sio nguruwe,.ndo kataka hvo na hataki kupangiwa...jaribu kusoma pia na qurani amebainisha mambo mengi sana mule..kwamba yeye ndo aliiumba dunia na ameiponda sana kuwa si lolote si chochote kaiweka kama bosheni tu na kaahidi kuwapa ulimwengu huo unaofikiria wewe wale wateule wake.
...najua wewe ni msomi mzuri utasoma na kuelewa
 
Last edited by a moderator:
Neno langu la kwanza katika jibu ulilolinukuu ni "idea". Ama hujulielewa ama una cognitive dissonance kubwa tu inayokufanya ujifanye hujalielewa. Either way it is pitiful.

Nimesema kwa makusudi kabisa kwamba idea inajipinga, rudia kusoma.

Nimesema pia kwamba idea ya pembetatu mviringo inawezekana kuwapo bila kuwezekana kuwapo kwa pembetatu mviringo yenyewe, kwa kuwa idea inajipinga na pembetatu haiwezi kuwa mviringo na mviringo hauwezi kuwa pembetatu.

Ushaelewa tofauti ya idea ya mungu wako kujipinga na mungu kujipinga?

Mungu hawezi kujipinga, kwa sababu hayupo. Ukiona sehemu ninaandika "mungu wako anajipinga" the meaning ni kwamba hiyo idea ya mungu wako inajipinga kama vile "pembetatu mviringo".

Chukua mfano wa Masikini na Tajiri. Tutakapo mkuta masikini anaishi nyumba ambayo ni mbaya hatutoshangaa kwa sababu tunajua ni masikini hivyo hana UWEZO wa kujenga nyumba nzuri.
Lakini tukimkuta tajiri anaishi nyumba mbaya,hili litatushangaza kwa sababu tunajua UWEZO wa kujenga nyumba nzuri anao kwa sababu ni tajiri.

Lakini hata hivyo huyo tajiri kutokujenga nyumba nzuri haimfanyi kuwa si tajiri sababu anaishi nyumba mbaya na uwezo wa kujenga nyumba nzuri anao.

Sasa Mungu anaposema ana uwezo wote na upendo halafu wewe unapoona dunia ina maovu kwanini ukurupuke na kusema hakuna Mungu?
 
Chukua mfano wa Masikini na Tajiri. Tutakapo mkuta masikini anaishi nyumba ambayo ni mbaya hatutoshangaa kwa sababu tunajua ni masikini hivyo hana UWEZO wa kujenga nyumba nzuri.
Lakini tukimkuta tajiri anaishi nyumba mbaya,hili litatushangaza kwa sababu tunajua UWEZO wa kujenga nyumba nzuri anao kwa sababu ni tajiri.

Lakini hata hivyo huyo tajiri kutokujenga nyumba nzuri haimfanyi kuwa si tajiri sababu anaishi nyumba mbaya na uwezo wa kujenga nyumba nzuri anao.

Sasa Mungu anaposema ana uwezo wote na upendo halafu wewe unapoona dunia ina maovu kwanini ukurupuke na kusema hakuna Mungu?

hayajui mamlaka huyo,..
 
Chukua mfano wa Masikini na Tajiri. Tutakapo mkuta masikini anaishi nyumba ambayo ni mbaya hatutoshangaa kwa sababu tunajua ni masikini hivyo hana UWEZO wa kujenga nyumba nzuri.
Lakini tukimkuta tajiri anaishi nyumba mbaya,hili litatushangaza kwa sababu tunajua UWEZO wa kujenga nyumba nzuri anao kwa sababu ni tajiri.

Lakini hata hivyo huyo tajiri kutokujenga nyumba nzuri haimfanyi kuwa si tajiri sababu anaishi nyumba mbaya na uwezo wa kujenga nyumba nzuri anao.

Sasa Mungu anaposema ana uwezo wote na upendo halafu wewe unapoona dunia ina maovu kwanini ukurupuke na kusema hakuna Mungu?

Sawa.

Unaweza kuwa na tajiri ana uwezo wa kuwa na nyumba nzuri lakini haishi katika nyumba nzuri.

Rais anayemaliza muda wake wa Uruguay Jose Mujica anaendesha ki Volkswagen Beetle na kupenda maisha ya chini.

Analipwa $ 12,000 kwa mwezi, lakini anatoa sadaka asilimia 90 ya mshahara wake.

Sababu yake ya kufanya hivyo ni kwamba yeye anataka kuishi maisha ya kawaida kama raia wa kawaida wa Uruguay. Anaamini katika usawa wa binadamu na hataki tais awe na maisha tofauti sana na wananchi wake. Ameahawahi kitoa maneno kwamba angependa kuona marais wote wa dunia wanaishi kama wananchi wao wa kawaida.

Kwa hiyo huyu tais kwa atandards za mtu wa kawaida wa Uruguay ni tajiri, lakini anaishi maisha ya kawaida.

Na katoa sababu zake, nzuri tu, kaeleweka kwa nini kaishi maisha ya kawaida.

Maelezo yake hayana major contradiction.

Mungu wenu hamuwezi kumuelezea kwa nini alikuwa na uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote wa kuumba ulimwengu usio na mabaya, lakini hakuumba ulimwengu huo?

Hapa nilichofanya ni kwamba nimekuuliza swali hili, na wewe inajibu kwa kusema "mungu kaamua tu kuumba hivyo ingawa alikuwa na uwezo wa kuumba vingine".

For the sake of argument, hilo si jibu la swali langu.

For the sake of argument, nimekubali kwamba OK, mungu kaumba ulimwengu huu kama ulivyo. Hili si jambo ambalo nataka kuli challenge.

Nilichouliza, ambacho mpaka sasa hujakijibu, ni kwamba, kwa nini mungu kauumba ulimwengu huu na sio ule ambao hauna uwezekano wa mabaya?

Ukinijibu kwamba mungu alikuwa/ ana iwezo wa kuumba ulimwengu usio na mabaya lakini hakuamua tu kuumba ulimwengu huo, bado hujajibu swali langu la kwa nini kaamua kuumba ulimwengu huu na sio ule.

Hujajibu ulichoulizwa, na ulichojibu hujaulizwa.
 
mkuu Kiranga huo ulimwengu ambao hauna mabaya na una mazuri tu upo lakin sio huu wa hapa duniani..kuna mahali nilikunote umeandika kuwa kama kweli yupo angeweza kuumba VYOVYOTE ALIVYOTAKA ..sasa hapo kwenye vyovyote alivotaka ndo kataka dunia sasa iwe hivi..alafu sayari zingine ziwe vile zilivyo..kuuuubwa halafu hazina viumbe...akataka jua liwe limesimama na sayari zinaliznguka.binadamu aende chooni,wewe uwe binadamu na sio nguruwe,.ndo kataka hvo na hataki kupangiwa...jaribu kusoma pia na qurani amebainisha mambo mengi sana mule..kwamba yeye ndo aliiumba dunia na ameiponda sana kuwa si lolote si chochote kaiweka kama bosheni tu na kaahidi kuwapa ulimwengu huo unaofikiria wewe wale wateule wake.
...najua wewe ni msomi mzuri utasoma na kuelewa

Sijauliza kuhusu ulimwengu unaousema upo lakoni huwezi kuuthibitisha kwamba upo.

Nimeuliza kuhusu ulimwengu huu ambao wote tunauona na kuujua.

Halafu, ukisema kaamua kuuumba ulimwengu huu ulivyo unakuwa ama hujaelewa awali langu au umeeelewa na kushindwa kulijibu hivyo inalikwepa.

Swali langu si kama mungu kaamua au hajaamua kuumba ulimwengu huu. Hili si ninalouliza.

Nililouloza ni awali jingine, ambalo hujalijibu.

Nalo no, kwa nini kauumba ulimwengu huu kama ulivyo, ukiwa una uwezekano wa kuwa na mabaya, wakati alikuwa na uwezo wa kuumba ulimwengu ambao hautuhusu mabaya?

Hujajibu swali hili.

Swali nililouliza hujajibu, na ulilojibu si nililouliza.
 
Last edited by a moderator:
kama mungu yupo, basi dini zinakosea sana kuelezea jinsi alivyo na tabia zake...
 
mkuu Kiranga kwa mfano hivi mtu akikupiga na jiwe mahali popote mwilini ukaumia lakin usitoe damu kabisaa wala kuonesha dalili popote kuwa umepigwa..lakin kiuhalisia wewe umepigwa na ukawa na maumivu makali ukaja kwangu kushitaki kuwa umepigwa je mimi nitaamini vipi kwa kweli umepigwa na unasikia maumivu makali saana...hebu niconvince niamini kweli una mamivu makali sana yaliyotokana na kipigo wakati mimi siyaoni....
 
Last edited by a moderator:
Sawa.

Unaweza kuwa na tajiri ana uwezo wa kuwa na nyumba nzuri lakini haishi katika nyumba nzuri.

Rais anayemaliza muda wake wa Uruguay Jose Mujica anaendesha ki Volkswagen Beetle na kupenda maisha ya chini.

Analipwa $ 12,000 kwa mwezi, lakini anatoa sadaka asilimia 90 ya mshahara wake.

Sababu yake ya kufanya hivyo ni kwamba yeye anataka kuishi maisha ya kawaida kama raia wa kawaida wa Uruguay. Anaamini katika usawa wa binadamu na hataki tais awe na maisha tofauti sana na wananchi wake. Ameahawahi kitoa maneno kwamba angependa kuona marais wote wa dunia wanaishi kama wananchi wao wa kawaida.

Kwa hiyo huyu tais kwa atandards za mtu wa kawaida wa Uruguay ni tajiri, lakini anaishi maisha ya kawaida.

Na katoa sababu zake, nzuri tu, kaeleweka kwa nini kaishi maisha ya kawaida.

Maelezo yake hayana major contradiction.

Mungu wenu hamuwezi kumuelezea kwa nini alikuwa na uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote wa kuumba ulimwengu usio na mabaya, lakini hakuumba ulimwengu huo?

Hapa nilichofanya ni kwamba nimekuuliza swali hili, na wewe inajibu kwa kusema "mungu kaamua tu kuumba hivyo ingawa alikuwa na uwezo wa kuumba vingine".

For the sake of argument, hilo si jibu la swali langu.

For the sake of argument, nimekubali kwamba OK, mungu kaumba ulimwengu huu kama ulivyo. Hili si jambo ambalo nataka kuli challenge.

Nilichouliza, ambacho mpaka sasa hujakijibu, ni kwamba, kwa nini mungu kauumba ulimwengu huu na sio ule ambao hauna uwezekano wa mabaya?

Ukinijibu kwamba mungu alikuwa/ ana iwezo wa kuumba ulimwengu usio na mabaya lakini hakuamua tu kuumba ulimwengu huo, bado hujajibu swali langu la kwa nini kaamua kuumba ulimwengu huu na sio ule.

Hujajibu ulichoulizwa, na ulichojibu hujaulizwa.

anhaa kumbe sahivi hushaamini yupo ila unataka kujua kwann kaumba ulemwengu wenye mabaya.au unataka vyote...au unaona tutashindwa kujibu kwann kaumba ulimwengu wenye mabaya kisa unaamini hayupo?

hilo swali lako la kwanini kaumba ulimwengu wenye mabaya nidhambi kwetu sisi wanaimani kulijadili..nlikutolea mfano wachungu kumuuliza mfinyanzi wake kwanini umeniumba hivi...

siku sio nyingi utaenda kuwauliza wazazi wako kwanini mmenizaa mwaafrika....kiranga husitake kila unachoamini uthibitishiwe vingine prove tu mwenyewe fanya research soma reference mbalimbali unaposhindwa uliza experts..ndo uwanasayansi huo,ndo logical thinking hiyo, hatukukurupuka tu kuamini MUNGU yupo kama wewe ulivyo kurupuka kuamini hayupo

sisi tulishakatazwa kuapa bali majibu yetu yawe ndio au hapana..ukiniuliza MUNGU yupo au hayupo ntajibu yupo,..yupo wapi?anaishi pamoja nasi..mbona simuoni?naamini hivo...kwann unaamini hivo?sababu ya moja mbili tatu....basi kitacho baki hapo ni msimamo wako...

ila nakushauri tu uamini kama kweli MUNGU yupo..MUNGU muumbaji...

kwakua thread yako inataka uthibitisho utaupata tu fanya reseach,..kama unataka kumuona utamuona tu mtafute..
 
Back
Top Bottom