COINCIDENCE: Moja ya ushahidi wa uwepo wa Mungu

COINCIDENCE: Moja ya ushahidi wa uwepo wa Mungu

Denial mnayo nyie ambao mna deny kwamba kuna vitu hamjui.
Ni kweli kuna vitu sivijui wala hujakosea
Mkifika kwenye vitu ambavyo hamjui, mnashindwa kukubali kwamba hamjui, mnampachika mungu ambaye hata hanumuelewi kiasi cha kuweza kumuelezea vizuri.
Inawezekana siwezi kumjua Mungu kwasababu sina uwezo huo,lakini naweza kujua mambo ambayo yanaweza kunionesha kwamba yupo lakini pia najua mambo yanayomhusu Mungu ambayo yameniongoza kujibu maswali yako yote
Ndipo hapo mnapokuja na majibu kama "mungu kaamua mwenyewe tu".
Sijapata kukujibu hivyo mahali popote,labda uwe unaota ....
Nyie ndiyo mna denial mna deny kwamba kuna vitu hamjui. Mnampachika mungu kama jibu rahisi kwa maswali magumu ambayo hamna majibu yake.
Nishakuambia kwamba sikatai kwamba kuna vitu sijui nashangaa unaendela tu kulalama
Hatujampachika Mungu majibu rahisi labda huyo Mungu ni wa kwako wewe na sio ninaemjua mimi kwasababu hakuna mwenye uwezo huo
Nimekuomba unipe post number ulipotoa majibu.

Hujanipa.
Sikupi na sina haja ya kufanya hivyo kwasababu nilishafanya hivyo zaidi ya mara tano na haikusaidia,tena hili nilianza kulifanya mwaka juzi huko kwenye uzi wa GAZETI na hukuelewa,kitu gani kikufanye uelewe leo?

Denial itakumaliza wewe ....

CC: Ishmael .....!!
 
Last edited by a moderator:
Ni kweli kuna vitu sivijui wala hujakosea

Inawezekana siwezi kumjua Mungu kwasababu sina uwezo huo,lakini naweza kujua mambo ambayo yanaweza kunionesha kwamba yupo lakini pia najua mambo yanayomhusu Mungu ambayo yameniongoza kujibu maswali yako yote

Sijapata kukujibu hivyo mahali popote,labda uwe unaota ....

Nishakuambia kwamba sikatai kwamba kuna vitu sijui nashangaa unaendela tu kulalama
Hatujampachika Mungu majibu rahisi labda huyo Mungu ni wa kwako wewe na sio ninaemjua mimi kwasababu hakuna mwenye uwezo huo

Sikupi na sina haja ya kufanya hivyo kwasababu nilishafanya hivyo zaidi ya mara tano na haikusaidia,tena hili nilianza kulifanya mwaka juzi huko kwenye uzi wa GAZETI na hukuelewa,kitu gani kikufanye uelewe leo?

Denial itakumaliza wewe ....

CC: Ishmael .....!!

Acha longolongo sema tu huna jibu.
 
Last edited by a moderator:
Umesema kumpa kila mmoja kile anachotaka ni upendo.

Mimi nataka uwezo wa kurudi nyuma na kuruka mbele masafa ya mbali katika muda.
Kiranga unataka kumfundisha mungu njisi anavyotakiwa kukumba wewe ili uelewe kwamba yupo? kwa nini husemi ugependa kukumba mungu uwe na speed kama upepo ili uwe unawahi safari zako

Sijapewa uwezo huo.
kwa hiyo ukipewa ndio utaelewa mungu yupo. Eiyer kweli tunakazi mtumishi.

Kwa kuwa kumpa kila mmoja kile anachotaka ni upendo, kwa mujibu wako mwenyewe, na mimi hicho ndicho ninachotaka, na sijapewa, basi mungu hana upendo.

Pamoja na kwamba unapewa maelezo yakutosha lakn hutaki kuelewa ni uzibitisho tosha unapenda ligi.
 
Last edited by a moderator:
Siwezi kukupa hoja mpya wakati ya awali hujaijibu.

Nina hoja kibao za kujadili na mtu anayeweza kunionesha ana uwezo wa kuzijadili, au angalau kamsoma Anselm, Augustine, Russell, Mbiti etc.

Lakini kama hamjaweza kusoma a,e,i,o,u kutaka kijadili Kantian philosophy ni kama kumfundisha mbuzi kupiga gitaa.

Halafu huwezi kusema huwezi kuiga tabia yangu ya kupenda ubishi huku unaendelea kunibishia.

That is as much a contradiction as saying mungu mwenye uwezo wote, ujuzi wote na uoendo wote kaumba ulimwengu huu wenye mabaya wakati alikuwa na uwezo wa kuumba ulimwengu ambao mabaya hayawezekani.

Inaonekana contradiction ipo katika damu yako.

Nishasoma wengi sana tangu mwaka 1998 huko hadi leo

Nimewasoma hadi akina Munga Tehenani na akina Ludovick Kashole ambao naweza kusema inawezekana wala hata huwajui au hujapata kusoma vitabu vyao bula hata kuwataja akina Alvin Platinga na Ravi Zacharia

Hakuna unachodai ambacho hakijajibiwa hapa na nje ya hapa!
 
Pamoja na kwamba unapewa maelezo yakutosha lakn hutaki kuelewa ni uzibitisho tosha unapenda ligi.

Maelezo gani yameondoa hiyo contrafiction? Unaweza kunioa post number hapa?
 
Pamoja na kwamba unapewa maelezo yakutosha lakn hutaki kuelewa ni uzibitisho tosha unapenda ligi.

Jamaa ana ugonjwa mbaya sana ....

Anakuomba wewe uwezo anaotaka aupate utadhani wewe ndie Mungu ....

Hahahahaa .......!!
 
Nishasoma wengi sana tangu mwaka 1998 huko hadi leo

Nimewasoma hadi akina Munga Tehenani na akina Ludovick Kashole ambao naweza kusema inawezekana wala hata huwajui au hujapata kusoma vitabu vyao bula hata kuwataja akina Alvin Platinga na Ravi Zacharia

Hakuna unachodai ambacho hakijajibiwa hapa na nje ya hapa!

Nipe post number tu.

Ukishindwa hilo utaonekana unazusha bila ushahidi.
 

Post inaanza kwa kuonesha mtu hana uelewa wa kuelewa kwamba mtu anaweza kutumia idea ya kuwepo kwa mungu kuipinga idea ya kuwepo kwa mungu.

Muandishi hajui kitu kinaitwa "immanent critique".

Mpaka hapo tu kashaonesha utapiamlo wa kielimu.

Kwa mtu kama huyo kusema kwamba "pembetatu duara haiwezi kuwapo kwa sababu pembetatu haiwezi kuwa duara na duara haliwezi kuwa pembetatu" ni kukubali kwamba pembetatu duara ipo.
 
Last edited by a moderator:
Kwanza kabisa nipe maana ya non sequitur na contradiction.

Halafu nioneshe non sequitur yangu iko wapi na contradiction niliyoiandika iko wapi.

Isije kuwa una parrot ninachosema na kunirudishia mimi hata bila ya kuelewa maana yake.

hahahaha kiranga unafikiri hatujui kingereza ndomana umekazania vijineno viwili tu hivo hata kwa kiswahili inaelekea huvijui.....mdogo wangu wa std2 anayaelezea vzur sana....ulimwengu huu wa google,dictionaries tele,utamringishia nani lugha...
 
Hoja sio kutazama sifa hizo nyingine, hoja ni sifa nilizozitaja.

Ukishasema mungu ana mapenzi yote, uwezo wote na ujuzi qote wa kumlisha kiumbe wake, huwezi kutegemea mungu huyo kumlaza kiumbe na njaa au kumuacha kiumbe huyo apatwe na ukame na njaa.

Kwa nini mungu mwwnye uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote kaumba ulimwengu ambao mabaya yanawezekana wakati alikuwa na uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote wa kuumba ulimwengu ambao mabaya hayawezekani?

Hujajibu swali hili.

Basi hoja yako itakuwa haina maana yeyote hapa,na ushahidi wa kuwa hoja yako haina maana ni huko kulalamika kiumbe kulala na njaa. Kwa sababu mungu ndiyo mwenye sifa ya kumpa mjaa wake rizki na huchagua amtakaye.
Sasa unapokuja na madai yako ya kiumbe kulala na njaa yanakuwa hayana maana.


Mungu ana sifa zake.
 
Hoja sio kutazama sifa hizo nyingine, hoja ni sifa nilizozitaja.

Ukishasema mungu ana mapenzi yote, uwezo wote na ujuzi qote wa kumlisha kiumbe wake, huwezi kutegemea mungu huyo kumlaza kiumbe na njaa au kumuacha kiumbe huyo apatwe na ukame na njaa.

Kwa nini mungu mwwnye uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote kaumba ulimwengu ambao mabaya yanawezekana wakati alikuwa na uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote wa kuumba ulimwengu ambao mabaya hayawezekani?

Hujajibu swali hili.

kwahiyo kushindwa kufanya hivo ndo inamaanisha hayupo?
 
Post inaanza kwa kuonesha mtu hana uelewa wa kuelewa kwamba mtu anaweza kutumia idea ya kuwepo kwa mungu kuipinga idea ya kuwepo kwa mungu.

Muandishi hajui kitu kinaitwa "immanent critique".

Mpaka hapo tu kashaonesha utapiamlo wa kielimu.

Kwa mtu kama huyo kusema kwamba "pembetatu duara haiwezi kuwapo kwa sababu pembetatu haiwezi kuwa duara na duara haliwezi kuwa pembetatu" ni kukubali kwamba pembetatu duara ipo.

Mimi nasikitishwa sana na wewe pale unapotaka mungu ageumba ulimwengu na mtu kama unavyotaka wewe.
na pale unapojaribu kueleweshwa na watu wenye uelewa unaaza kuleta vimisemo na vihesabu vya ujaja vilivyobuniwa na binadamu tu. kukataa mungu hayupo kwa sababu ya kukosa kuona upendo na kuacha kukumba kama unavyotaka wewe ni dalili za wazi hauna hoja ya kukitete kile unachokiamini.
na Ninakusihi tu, unapojaribu kuleta hoja katika swala hili tumia lugha inayoeleweka kwa wengi hii itasaidia kukuelewa watu wengi kwamba hauna ujualo kwa kile unachokataa hakipo.
 
Mimi nasikitishwa sana na wewe pale unapotaka mungu ageumba ulimwengu na mtu kama unavyotaka wewe.
na pale unapojaribu kueleweshwa na watu wenye uelewa unaaza kuleta vimisemo na vihesabu vya ujaja vilivyobuniwa na binadamu tu. kukataa mungu hayupo kwa sababu ya kukosa kuona upendo na kuacha kukumba kama unavyotaka wewe ni dalili za wazi hauna hoja ya kukitete kile unachokiamini.
na Ninakusihi tu, unapojaribu kuleta hoja katika swala hili tumia lugha inayoeleweka kwa wengi hii itasaidia kukuelewa watu wengi kwamba hauna ujualo kwa kile unachokataa hakipo.

Kitu ambacho mpaka sasa hujaelewa au hutaki kuelewa ni kwamba, mimi sio kwamba nataka mungu angeumba ulimwengu kama ninavyotaka mimi.

La hasha. Ukisema hivyo unathibitisha madai yangu kwamba huelewi hoja yangu.

Hoja yangu si kwamba mungu hajaumba ulimwengu ninaotaka mimi.

Hoja yangu ni kwamba huyo mnayemsema kuwa mungu hajaumba ulimwengu ambao unafanana na sifa zake.

Swali ni.

Kwa nini mungu mwenye uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote (sifa zote hizi zinamtaka aumbe ulimwengu ambao hauwezwkaniki kiwa na mabaya) kaensa kuumba ulimwengu ambao mabaya yanawezekana?

Huu si ulimwengu ambao ninautaka mimi, ni ulimwengubunaotakiwa kuwepo kimantiki kwa sifa za huyo mungu wenu mwenyewe.

Sasa mbona ulimwengu ulioumbwa na huyu mungu unapingana na sifa zake huyu mungu?
 
Umesema kumpa kila mmoja kile anachotaka ni upendo.

Mimi nataka uwezo wa kurudi nyuma na kuruka mbele masafa ya mbali katika muda.

Sijapewa uwezo huo.

Kwa kuwa kumpa kila mmoja kile anachotaka ni upendo, kwa mujibu wako mwenyewe, na mimi hicho ndicho ninachotaka, na sijapewa, basi mungu hana upendo.

Mkuu pale uliponiquote na unakana kwamba hujataka mungu kuumba ulimwengu unautaka wewe! hapo kwenye red yalijiandika.
 
MUNGU hakuumba mabaya yoyote na kama una ushahidi wowote wa mabaya aliyoyaumba unaeza ukayasema, afu mabaya yote yanayotokea hapa duniani ni binadamu ndio mara nyingi wanayasababisha mfano mlipuko wa magonjwa kama UKIMWI ni gonjwa ambalo lilitengenezwa na binadamu.

Pia MUNGU ni mwenye upendo mwingi sana kwa watu wake aliowaumba so sidhani kama anaweza kuwaumbia mabaya mbali na kuwalinda na mabaya yanayosababishwa na shetani muovu.
 
Mkuu pale uliponiquote na unakana kwamba hujataka mungu kuumba ulimwengu unautaka wewe! hapo kwenye red yalijiandika.

In context, using set theory and venn diagrams if possible.

Kama mungu mnasema anapenda kuwapa watu uhuru, na mimi ningependa kuwa na uhuru wa kirudi nyuma katika muda, nikiuliza kama kweli mungu anapenda kuwapa watu uhuru mbona hajanipa mimi uhuru wa kirudi nyuma katika muda kama njia ya kuhoji habari yenu kwa kutumia "immanent critique" utasema namlazimisha mungu aumbe ulimwengu ninaoutaka mimi?

Matakwa yangu yakiwa ni subset ya sifa ya mungu ya kupenda watu wawe huru kuamua watakayo, na mimi nikisema nataka uhuru wa kurudi nyuma katika muda utasema nampangua mungu kuumba ulimwengu ninaoutaka mimi?

Baba yako akikwambia ana shilingi laki mbili za kukuwezesha wewe kufanya shopping yoyote utakayo, ukisema unataka kununua viatu kwa hela hiyo, utakuwa umemlazimisha baba yako kufanya chochote wakati alishasema anakupa uhuru wa kuamua tayari?
 
MUNGU hakuumba mabaya yoyote na kama una ushahidi wowote wa mabaya aliyoyaumba unaeza ukayasema, afu mabaya yote yanayotokea hapa duniani ni binadamu ndio mara nyingi wanayasababisha mfano mlipuko wa magonjwa kama UKIMWI ni gonjwa ambalo lilitengenezwa na binadamu.

Pia MUNGU ni mwenye upendo mwingi sana kwa watu wake aliowaumba so sidhani kama anaweza kuwaumbia mabaya mbali na kuwalinda na mabaya yanayosababishwa na shetani muovu.

First thing first elewa naongelea uwezekano wa mabaya kufanyika, sio tu mungu kuumba mabaya.

Hata ukisema mungu hakuumba mabaya, kwa nini kaumba ulimwengu ambao mabaya yanaweza kufanyika wakati alikuwa na uwezo wa kuumba ulimwengu ambao mabaya hayawezi kufanyika?

Chukulia muda. From our perspective, hatuwezi kurudi nyuma kwenye muda. Tunaenda mbele tu.

Mnaoamini mungu mnaamuni kwamba hivyo ndivyo mungu alivyouumba ulimwengu.

Kwa nini hakuumba ulimwengu ambao mabaya hayawezekani kama ambavyo hatuwezi kurudi nyuma katika muda?
 
Back
Top Bottom