COINCIDENCE: Moja ya ushahidi wa uwepo wa Mungu

COINCIDENCE: Moja ya ushahidi wa uwepo wa Mungu

Sijaona ulipokatazwa.

Unajuaje kwamba mimi ndiye wa kupata kuelewa na si wewe?

Wewe unasema kuwa idea ya Mungu inajipinga, kwa sababu mungu anasema ana sifa ya upendo na huku kaumba ulimwengu ambao maovu
yanawezekana,kwahiyo ukahitimisha kuwa hakuna mungu kwa hoja yako hiyo kirahisi kabisa. Sasa kutokana na hilo hitimisho lako ndiyo nikakupa mfano wa mtu
ambaye anajisifu kwa usafi,ila siku
alipokupeleka ktk nyumba ambayo
huwa anasema ni yake ukaikuta ni
chafu. Sasa kwa tukio kama hilo ambalo pia haiwezekani mtu kuwa
msafi na akawa na nyumba ambayo chafu hivyo ni kujipinga,kwa hivyo uhitimishe kuwa huyo jamaa si msafi na wala nyumba si yake. Sasa hivyo ndivyo ambavyo kama wewe ufanyavyo kwa kuoenesha kuwa et idea ya mungu inajipinga na kuhitimisha kuwa hakuna mungu. Si ndivyo??
 
Sawa jiuliz hv nani anatoa jua mashark kila cku hv nani anaeyajaz na kuyatoa maj baharn kla cku hv kwa nn tunakufa wkt tunapnda sanai maisha hv ukiiumwa mbona unakua unalegea sana nani anae kuumisha sawa inabd ufkir huu ulimwengu haukuja tu bali uliletwa ok kama haukubali mm naamini iko cku utakubali lkn mida hautoruhusu
 
wewe unasema kuwa idea ya mungu inajipinga, kwa sababu mungu anasema ana sifa ya upendo na huku kaumba ulimwengu ambao maovu
yanawezekana,kwahiyo ukahitimisha kuwa hakuna mungu kwa hoja yako hiyo kirahisi kabisa. Sasa kutokana na hilo hitimisho lako ndiyo nikakupa mfano wa mtu
ambaye anajisifu kwa usafi,ila siku
alipokupeleka ktk nyumba ambayo
huwa anasema ni yake ukaikuta ni
chafu. Sasa kwa tukio kama hilo ambalo pia haiwezekani mtu kuwa
msafi na akawa na nyumba ambayo chafu hivyo ni kujipinga,kwa hivyo uhitimishe kuwa huyo jamaa si msafi na wala nyumba si yake. Sasa hivyo ndivyo ambavyo kama wewe ufanyavyo kwa kuoenesha kuwa et idea ya mungu inajipinga na kuhitimisha kuwa hakuna mungu. Si ndivyo??
kwa nini nyumba yako chafu ILIHALI WEWE NDO MWENYE MAMLAKA YOTE AU UMESHINDWA KUSAFISHA NAKUACHA WATOTO WAKO WATESEKE
 
Sawa jiuliz hv nani anatoa jua mashark kila cku hv nani anaeyajaz na kuyatoa maj baharn kla cku hv kwa nn tunakufa wkt tunapnda sanai maisha hv ukiiumwa mbona unakua unalegea sana nani anae kuumisha sawa inabd ufkir huu ulimwengu haukuja tu bali uliletwa ok kama haukubali mm naamini iko cku utakubali lkn mida hautoruhusu

Kwa hiyo kutokujua ulimwengu ulipotoka ndio tuamini kwamba kuna mungu?,basi kubali kwamba mungu ni idea ya mwanadamu na hakuna ushahidi kwamba yupo

Lakini nashangaa kwamba karne hii kuna watu mpo hamjua na mnaukiza eti kwa nini jua linatoka mashariki kila siku,kwa nn tunazeeka na tunakufa,et nani anaweka na kutoa maji baharini.Aisee hiz n akili nyepesi sana.kwa hiyo wewe hayo ukiyafikilia basi unaamua kumuumba mungu tu from no where,basi kama huwezi kuamini kwamba dunia ilitokea from no where kwa nini unaamini mungu(kama yupo)kwamba alitokea tu from no where.Huu ni udhaifu sana ndugu.
 
Kwa hiyo kutokujua ulimwengu ulipotoka ndio tuamini kwamba kuna mungu?,basi kubali kwamba mungu ni idea ya mwanadamu na hakuna ushahidi kwamba yupo

Lakini nashangaa kwamba karne hii kuna watu mpo hamjua na mnaukiza eti kwa nini jua linatoka mashariki kila siku,kwa nn tunazeeka na tunakufa,et nani anaweka na kutoa maji baharini.Aisee hiz n akili nyepesi sana.kwa hiyo wewe hayo ukiyafikilia basi unaamua kumuumba mungu tu from no where,basi kama huwezi kuamini kwamba dunia ilitokea from no where kwa nini unaamini mungu(kama yupo)kwamba alitokea tu from no where.Huu ni udhaifu sana ndugu.

Kungekuwa na hoja za kuonesha hakuna Mungu basi leo hii nyie msingeitwa wapinga Mungu na sie tungeitwa wazusha mungu.

Kupinga ni rahisi sana,unaweza hata ukampinga baba yako kwa kusema hujafanana naye.
 
Nikikubali kwamba it takes a living being to create a living being, that living being will also need another living being to create it, and that one will need another living being to create it, without an end to this chain of living beings.

No place for an almighty god in this universe.

Unakataa?

nilikataa,nikasubiri niulizwe why nakataa,sijaulizwa.Creation iliyopo ndio inayokataa theory yako.There is no need for a chain of living beings creating one after the other.Maumbile yaliyopo na kanuni zinazoyaongoza yanaonyesha fact moja tu,kwamba yanatokana na tendo fulani moja lililotokea mwanzo wa maumbile(beginning of existence/time),ambalo lilileta matokeo yaliyotokana na ubunifu fulani,na matokeo hayo ni timilifu(CONCLUSIVE),wala hakuna matokeo mapya na ubunifu mpya baada ya hapo.Hii inamaanisha muumbaji ni mbunifu,mwenye kusudi,na akili ya kubuni na kuumba hii creation,ambamo viumbe hai wamo na ndio the most advanced and complex design.Ni mantiki kuamini Muumbaji huyo ni SOMEBODY(living being) na sio SOMETHING.Pili,kama ni hivyo,hii inamaanisha pia si lazima tukirudisha muda nyuma tukute chain.Kama hakuna chain kuja mbele kwetu,kukiwa hakuna ubunifu mpya na matokeo mapya,then so far aliyebuni hii creation anabakia pekee kuwa superior kwayo na mtimilifu,asiyehitaji kitu.Hakuna kinachotulazimisha kudhani kwamba kuna chain ya creators behind otherwise na creation hii ingelikuwa na principles zinazoonyesha uwezekano wa kuleta ubunifu mpya na matokeo mapya. Haiendani na uhalisia tuusomao katika creation pekee iliyopo,hakuna uwezekano wa "Mungu mpya" ndani ya existing creation.Hivyo inabakia tu kwamba aliyeumba hii ndio the only one sole Creator,na huyo ni living being,and no other Creator before or after him.Kwa upande wangu THERE IS A PLACE FOR SOMEONE ALMIGHTY,THE LIVING CREATOR.
 
nilikataa,nikasubiri niulizwe why nakataa,sijaulizwa.Creation iliyopo ndio inayokataa theory yako.There is no need for a chain of living beings creating one after the other.Maumbile yaliyopo na kanuni zinazoyaongoza yanaonyesha fact moja tu,kwamba yanatokana na tendo fulani moja lililotokea mwanzo wa maumbile(beginning of existence/time),ambalo lilileta matokeo yaliyotokana na ubunifu fulani,na matokeo hayo ni timilifu(CONCLUSIVE),wala hakuna matokeo mapya na ubunifu mpya baada ya hapo.Hii inamaanisha muumbaji ni mbunifu,mwenye kusudi,na akili ya kubuni na kuumba hii creation,ambamo viumbe hai wamo na ndio the most advanced and complex design.Ni mantiki kuamini Muumbaji huyo ni SOMEBODY(living being) na sio SOMETHING.Pili,kama ni hivyo,hii inamaanisha pia si lazima tukirudisha muda nyuma tukute chain.Kama hakuna chain kuja mbele kwetu,kukiwa hakuna ubunifu mpya na matokeo mapya,then so far aliyebuni hii creation anabakia pekee kuwa superior kwayo na mtimilifu,asiyehitaji kitu.Hakuna kinachotulazimisha kudhani kwamba kuna chain ya creators behind otherwise na creation hii ingelikuwa na principles zinazoonyesha uwezekano wa kuleta ubunifu mpya na matokeo mapya. Haiendani na uhalisia tuusomao katika creation pekee iliyopo,hakuna uwezekano wa "Mungu mpya" ndani ya existing creation.Hivyo inabakia tu kwamba aliyeumba hii ndio the only one sole Creator,na huyo ni living being,and no other Creator before or after him.Kwa upande wangu THERE IS A PLACE FOR SOMEONE ALMIGHTY,THE LIVING CREATOR.

Complexity inahitaji muumba au haihitaji?
 
Wewe unasema kuwa idea ya Mungu inajipinga, kwa sababu mungu anasema ana sifa ya upendo na huku kaumba ulimwengu ambao maovu
yanawezekana,kwahiyo ukahitimisha kuwa hakuna mungu kwa hoja yako hiyo kirahisi kabisa. Sasa kutokana na hilo hitimisho lako ndiyo nikakupa mfano wa mtu
ambaye anajisifu kwa usafi,ila siku
alipokupeleka ktk nyumba ambayo
huwa anasema ni yake ukaikuta ni
chafu. Sasa kwa tukio kama hilo ambalo pia haiwezekani mtu kuwa
msafi na akawa na nyumba ambayo chafu hivyo ni kujipinga,kwa hivyo uhitimishe kuwa huyo jamaa si msafi na wala nyumba si yake. Sasa hivyo ndivyo ambavyo kama wewe ufanyavyo kwa kuoenesha kuwa et idea ya mungu inajipinga na kuhitimisha kuwa hakuna mungu. Si ndivyo??

Huwezi kuwa na mtu msafi mwenye nyumba chafu.

Mtu anayejisema msafi akikuonesha nyumba chafu, strictly speaking, ama ni msafi lakini nyumba si yake, ama si msafi.

Huwezi kuwa na mtu msafi mwenye nyumba chafu kama usivyoweza kurusha shilingi halafu ikatua pande zote mbili zinaangalia juu, hizo outcomes mbili ni mutually exclusive.

Vivyo hivyo huwezi kuwa na mungu mwenye uwezo wote, ujuzi wote an upendo wote ambaye kaumba ulimwengu unaowezekana kufanyika mabaya, wakati alikuwa na uwezo wote wa kuumba ulimwengu ambao mabaya hayawezekani.
 
Huwezi kuwa na mtu msafi mwenye nyumba chafu.

Mtu anayejisema msafi akikuonesha nyumba chafu, strictly speaking, ama ni msafi lakini nyumba si yake, ama si msafi.

Huwezi kuwa na mtu msafi mwenye nyumba chafu kama usivyoweza kurusha shilingi halafu ikatua pande zote mbili zinaangalia juu, hizo outcomes mbili ni mutually exclusive.

Vivyo hivyo huwezi kuwa na mungu mwenye uwezo wote, ujuzi wote an upendo wote ambaye kaumba ulimwengu unaowezekana kufanyika mabaya, wakati alikuwa na uwezo wote wa kuumba ulimwengu ambao mabaya hayawezekani.

Sasa hapo ndipo nilipokuwa nataka kujua kuwa ikiwa ktk huo mfano umehitimisha kuwa ama huyo mtu si msafi kama ambavyo anajisifu ama ni msafi ila nyumba si yake. Je.kwanini kwa Mungu uhitimishe moja kwa moja tu kuwa mungu hakuna?

Lengo la kuuliza hivyo ni kwamba hilo hitimisho lako linafanya tusitizame mambo mengine ya Mungu ambayo ni dalili za wazi za uwepo wake na uumbaji.
 
Sasa hapo ndipo nilipokuwa nataka kujua kuwa ikiwa ktk huo mfano umehitimisha kuwa ama huyo mtu si msafi kama ambavyo anajisifu ama ni msafi ila nyumba si yake. Je.kwanini kwa Mungu uhitimishe moja kwa moja tu kuwa mungu hakuna?

Lengo la kuuliza hivyo ni kwamba hilo hitimisho lako linafanya tusitizame mambo mengine ya Mungu ambayo ni dalili za wazi za uwepo wake na uumbaji.

Kwa sababu mtu msafi na mwenye nyumba chafu hayupo.

Vivyo hivyo, mungu mwenye uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote ambaye kaumba ulimwengu unaowezekana kuwa na mabaya ingawa alikuwa na uwezo wa kuumba ulimwengu ambao hauna mabaya hayupo.

Tuanzie hapo kwanza.
 
Kwa sababu mtu msafi na mwenye nyumba chafu hayupo.

Vivyo hivyo, mungu mwenye uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote ambaye kaumba ulimwengu unaowezekana kuwa na mabaya ingawa alikuwa na uwezo wa kuumba ulimwengu ambao hauna mabaya hayupo.

Tuanzie hapo kwanza.

Ndiyo kwa mfano wa mtu ukasema ama huyo mtu si msafi ama nyumba si yake. Sasa nachouliza mimi kwanini kwa Mungu hizo "ama" hazikuwepo?
 
Kwa sababu mtu msafi na mwenye nyumba chafu hayupo.

Vivyo hivyo, mungu mwenye uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote ambaye kaumba ulimwengu unaowezekana kuwa na mabaya ingawa alikuwa na uwezo wa kuumba ulimwengu ambao hauna mabaya hayupo.

Tuanzie hapo kwanza.



MwenyeziMungu ni mwenye Qudra.Mambo ya kheri na mambo ya sharri yote hutoka kwake.
Yaani tunasema hakuna uwezo wala nguvu za ainayoyote isipokuwa huwezekana kufanyika kwake kwa uwezo wa MwenyeziMungu.
Lakini akabainisha kwamba kheri zote huleta yeye kwa rehema zake lakini mabaya huyaleta kutokana na mikono yenu.

Kunahaja ya kujifunza somo la TAWHID.
 
MwenyeziMungu ni mwenye Qudra.Mambo ya kheri na mambo ya sharri yote hutoka kwake.
Yaani tunasema hakuna uwezo wala nguvu za ainayoyote isipokuwa huwezekana kufanyika kwake kwa uwezo wa MwenyeziMungu.
Lakini akabainisha kwamba kheri zote huleta yeye kwa rehema zake lakini mabaya huyaleta kutokana na mikono yenu.

Kunahaja ya kujifunza somo la TAWHID.

Hujajibu swali liloulizwa, na kama kuna swali umelijibu, silo uliloulizwa.

Imekuwaje mungu mwenye uwezo wote, uhuzi wote na upendo wote akaumba ulimwengu ambao mabaya yanawezekana wakati alikuwa na kila uwezo na sababu za kuumba ulimwengu ambao mabaya hayawezekani?
 
Ndiyo kwa mfano wa mtu ukasema ama huyo mtu si msafi ama nyumba si yake. Sasa nachouliza mimi kwanini kwa Mungu hizo "ama" hazikuwepo?

Kwa sababu mungu wako, to begin with, ni intersection ya set ya mjuzi wa yote, muweza yote na mwenye upendo wote on the one hand na aliyeuumba ulimwengu huu on the ither.

Umesoma set theory?

Unajua Venn diagram ni nini?

Unaelewa intersection ya sets ni nini?

Ukiongelea intersection ya set A and set B huhitaji kusema kwamba intersection hii ama ni set A ama ni set B kwa sababu intesection by definition ina cover kote, set A na set B.

Tatizo unajadili uwepo wa mungu, najaribu kukueleza logical concepts za mutually exclusive events na Venn diagrams za set theory wakati sina uhakika kama unaelewa hivi ni vitu gani.
 
Najaribu kufikiri niandike nini ila kwa mijadala mingi iliyopita wengi tunashindwa kuelezea uwepo wa MUNGU kwa sababu moja ama mbili hivi.

1:Kwa sababu ya kusoma sana elimu dunia hivyo kuona kuwa kuna uwezekano kwa mwanadamu kuishi bila uwepo wa huyu MUNGU.
2:Kwa sababu ya kukosa elimu pana juu ya uwepo wa MUNGU.

Ila lipo neno linasema hivi
Watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa.

Lipo neno lesemalo Mpumbavu anasema moyoni hakuna MUNGU.
 
Najaribu kufikiri niandike nini ila kwa mijadala mingi iliyopita wengi tunashindwa kuelezea uwepo wa MUNGU kwa sababu moja ama mbili hivi.

1:Kwa sababu ya kusoma sana elimu dunia hivyo kuona kuwa kuna uwezekano kwa mwanadamu kuishi bila uwepo wa huyu MUNGU.
2:Kwa sababu ya kukosa elimu pana juu ya uwepo wa MUNGU.

Ila lipo neno linasema hivi
Watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa.

Lipo neno lesemalo Mpumbavu anasema moyoni hakuna MUNGU.

Lipo neno linalosema waliotunga character ya mungu ambaye hayupo walijinunulia insurance policy ya kukamata wapumbavu wote kwa kuandika kwamba mpumbavu anasema moyoni hakuna mungu.

Kwa kujua kwamba wapumbavu wa kweli wataogopa kuitwa wapumbavu kuliko watakavyoogopa upumbavu wenyewe.
 
Kwa sababu mungu wako, to begin with, ni intersection ya set ya mjuzi wa yote, muweza yote na mwenye upendo wote on the one hand na aliyeuumba ulimwengu huu on the ither.

Umesoma set theory?

Unajua Venn diagram ni nini?

Unaelewa intersection ya sets ni nini?

Ukiongelea intersection ya set A and set B huhitaji kusema kwamba intersection hii ama ni set A ama ni set B kwa sababu intesection by definition ina cover kote, set A na set B.

Tatizo unajadili uwepo wa mungu, najaribu kukueleza logical concepts za mutually exclusive events na Venn diagrams za set theory wakati sina uhakika kama unaelewa hivi ni vitu gani.

Hayo yote ya uweza wote na ujuzi wa Mungu nayajua,lakini sijaona ukieleza ni vp iwe kwa huyo mtu tu ndiyo iwe inawezekana kuwa na moja ktk mawili yasioendana(usafi na nyumba chafu).

Kwa sababu huyo mtu kuwa haiwezekani kuwa na sifa ya usafi halafu akawa na nyumba, si kwamba hana ujuzi wote na uwezo wote.
 
Back
Top Bottom