Kiranga
Platinum Member
- Jan 29, 2009
- 78,790
- 128,275
Teh teh et Freethinkers.
Hakuna minyororo ya msahafu wa dini hapo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Teh teh et Freethinkers.
Yani wewe unaniuliza mie tena?
Mie ndiyo nimekuuliza hapo hadi sasa nimeshindwa kuelewa hiyo tafsiri uliyotoa.
Kiranga hujui kama unakufuru Ila Mungu Mwenyez Muumba wa vitu vyote amekuona na amekusikia utajibu on the judgement day!
Kweli wote ni wakristo
Mungubwenu anajipinga.
Huku tunaambiwa ana uwezo wote, ana upendo wote, ana uwezo wa kufanya chochote anachotaka.
Huku kwingune tunaambiwa kaumba ulimwengu ambao mabaya yanawezekana.
Kwa nini hakuumba ulimwengu ambao mabaya hayawezekani?
Habari za mungu uzushi.
Hakuna minyororo ya msahafu wa dini hapo.
Umeniuliza "hapo" wapi?
Ina maana huelewi contradiction ni kitu gani?
Minyororo ipo huko mnaposhindwa kumuelewesha mtu mnachoelewa na kuishia kutoa jibu jepesi tu kuwa huyo mtu hana elimu.
Kupinga ni jambo rahisi.
Unaweza kunithibitishia kuwa kusema hakuna Mungu si uzushi?
Nakushauri sasa uchunguze na imani yako badala ya kuchunguza mambo ya Pope kuwa ni Atheist,au chunguza zaidi kuhusu huyo pope.
Tunarudi kule kule. Tatizo la elimu ndogo.
Kuthibitusha ni suala linalohusika na vilivyopo. Kama mungu yupo, mimi naweza kukuuliza wewe uthibitishe. Kama hayupo, huwezi kuniuliza mimi nithibitushe kwamba hayupo. One cannot prove a negative.
Ni sawa na mimi nokuulize uanze kuthibitisha kutokuwepo kwa taa ya dhahabu inayoelea sebuleni mwako.
Kama hii taa gaipo, utaanzia wapi kuthibitisha kwamba haipo?
Bora kuwa na elimu ndogo kuliko kuwa na upeo mdogo.
Hujaelewa swali.
mkuuu kiranga labda jibu ni hili kaumba yote hayo mabaya kuwezekana kwa sababu ndo alivotaka na tafsiri ya kitendawili hicho anaijua yeye na hakuna mwanadam atakaeweza kukitegua......tafsiri ya kwamba hili ni baya ni kwa maono yako na yangu ya kibanadamu......kama unakataa basi tuambie wewe vilivyopo duniani vizuri na vibaya vimetokea wapi au vimeletwa na nani??at least utushawishi kuamini uyatakayo.....usiseme sijui mana hata katika mtihani ukiwa hujui basi unafeli mtihani pia usitoe mfano wa maumbo ya geometry au square root ya mbili...tuliosoma hesabu ndo tunakuelewa ..wasiopita huko unawachanganya...tafuta mfano rafiki kwa wootee
Upeo mdogo zaidi ya kutoelewa swali ni kusema swali halijaeleweka bila kuelewesha halijaeleweka wapi na vipi.
Unawezaje kusema hakuna Mungu kwa uhakika kabisa halafu ukashindwa kuthibitisha ni vp hakuna Mungu? Unakimbilia kusema Mungu kajipinga wakati umeambiwa uthibitishe kutokuwepo kwake.
Wahanga wa ukristo mnatabu sana.