COINCIDENCE: Moja ya ushahidi wa uwepo wa Mungu

COINCIDENCE: Moja ya ushahidi wa uwepo wa Mungu

Whether hakipo kwa sababu hakiwezekani kuwepo au kinawezekana kuwapo lakini hakipo tu, katika kujibu suala la hakipo, that is what is called a "difference without a distinction".

Kama natafuta viatu ili nivae nitoke nje, nikikuta viatu vyangu havipo ninapotegemea vipo, it wouldn't matter to me kama inawezekana au haiwezekani kwa viatu hivyo kuwapo hapo ninapotegemea viwepo. The fact will remain havipo.

Katika kuhoji uqepo wa mungu, I go a step further na kuonyesha kwamba mungu wenu hawezi kuwapo kwa sababu ya logical consistency. Kwamba huwezi kutafuta viatu vyako juu ya kakaa ya moto, kwa sababu vingekuwa hapo vingekwishaungua.

Idea ya mungu wenu inajichanganya. Upande mmoja ana uwezo, ujuzi na upendo wote, upande mwingine kaumba dunia ambayo maovu yanawezekana. Kwa nini?

Kwanza kabisa umeshindwa kueleza unajuaje visivyokuwepo.

Tuendelee..sawa ushasema kuwa Mungu hawezekani kuwepo kwa sababu ya hiyo inayoita contradiction. Sasa kinachotakiwa kufanyika ni kutoa ushahidi wa uwepo wake,hivyo ukipatikana ushahidi wa uwepo wake na hiyo contradiction pia itakuwa imeondoka kwa sababu hiyo ndiyo inayokufanya wewe useme haizekani kuwepo kwa Mungu au hakuna Mungu.


1.Je,Unayazungumziaje yaliyomo
kwenye vitabu vya dini ambavyo
ndiyo vilivyokuja kueleza masuala ya kuwepo kwa Mungu?

2.Je,una majibu gani ya msingi katika maswali yaliyokosa majibu yenye kutumika kama dalili za uwepo wa Mungu?
 
Kwanza kabisa umeshindwa kueleza unajuaje visivyokuwepo.

Tuendelee..sawa ushasema kuwa Mungu hawezekani kuwepo kwa sababu ya hiyo inayoita contradiction. Sasa kinachotakiwa kufanyika ni kutoa ushahidi wa uwepo wake,hivyo ukipatikana ushahidi wa uwepo wake na hiyo contradiction pia itakuwa imeondoka kwa sababu hiyo ndiyo inayokufanya wewe useme haizekani kuwepo kwa Mungu au hakuna Mungu.


1.Je,Unayazungumziaje yaliyomo
kwenye vitabu vya dini ambavyo
ndiyo vilivyokuja kueleza masuala ya kuwepo kwa Mungu?

2.Je,una majibu gani ya msingi katika maswali yaliyokosa majibu yenye kutumika kama dalili za uwepo wa Mungu?

Kwanza kabisa umeshindwa kuelewa logical consistency as a litmus test. I am not even sure you understand what a litmus test is.

Ukishindwa kuondoa contradiction, hata yakitokea maneno mawinguni kwamba mungu yupo bado hujatatua contradiction.

Masuala yako.

1. Maneno ya vitabu vya mungu ndiyo hayo ninayokuambia yana contradiction. Ambazo hujaweza kuzitengua. Halafu wewe unanirudisha katika maneno ya vitabu vya mungu, hivi hata unaelewa ninachoandika hapa?

2. Maswali gani hayo? Kumbuka pia, kinachotakiwa hapa ni kuthibitishwa kwamba mungu yupo. Mimi kukosa majibu ya maswali fulani kunathibitisha kwamba mimi sina jibu la kila swali, hakuthibitishi kuwapo kwa mungu.
 
Kwanza kabisa umeshindwa kuelewa logical consistency as a litmus test. I am not even sure you understand what a litmus test is.

Ukishindwa kuondoa contradiction, hata yakitokea maneno mawinguni kwamba mungu yupo bado hujatatua contradiction.

Masuala yako.

1. Maneno ya vitabu vya mungu ndiyo hayo ninayokuambia yana contradiction. Ambazo hujaweza kuzitengua. Halafu wewe unanirudisha katika maneno ya vitabu vya mungu, hivi hata unaelewa ninachoandika hapa?

2. Maswali gani hayo? Kumbuka pia, kinachotakiwa hapa ni kuthibitishwa kwamba mungu yupo. Mimi kukosa majibu ya maswali fulani kunathibitisha kwamba mimi sina jibu la kila swali, hakuthibitishi kuwapo kwa mungu.

Kwani we unachokitaka si ushahidi wa uwepo wake?
 
Kwani we unachokitaka si ushahidi wa uwepo wake?

sio yeye ndio dhana nzima ya hii thread kuanzishwa? hata heading inavyosema kwamba muanzilishaj wa mada alikua anataka kujaribu kuprove kuwepo wa mungu.... so we will b happy to have your proof of god existance kama huna jua uko kwenye thread tofauti hii thread imeanzishwa na mtu anayetaka kuto authibitisho wa uwepo wa mungu!!!
 
Kwani we unachokitaka si ushahidi wa uwepo wake?

Ambao uko logically consistent. Kitu ambacho hujaweza kunipa. A contradiction regarding the central nature of your god still exists.

Ni kama vile unaniambia kwamba una ushahidi kwamba kuna bachelor ambaye ameoa mke. Nakwambia mpaka hapo tu hakuwezi kuwapo na bachelor ambaye ana mke kamuoa, kwa sababu bachelor hana mke, na mwenye mke si bachelor. Wewe unaniambia yna ushahidi.

Kabla ya kunipa ushahidi niambie ni vipi bachwlor anaweza kuwa na mke wakati huo huo na akabaki kuwa bachelor.

Kabla ya kuniambia kuhusu ushahidi wa kuwapo kwa mungu, kwanza address contradiction ya mungu wako kuwa na uwezo wote, upendo wote na ujuzi wote halafu akaumba ulimwengu ambao mabaya yanawezekana licha ya kuwa na uwezo wa kuumba ulimwengu ambao mabaya hayawezekani.
 
Ambao uko logically consistent. Kitu ambacho hujaweza kunipa. A contrafiction regarding the central nature of your god still exists.

Ni kama vile unaniambia kwamba una ushahidi kwamba kuna bachelor ambaye ameoa mke. Nakwambia mpaka hapo tu hakuwezi kuwapo na bachelor ambaye ana mke kamuoa, kwa sababu bachelor hana mke, na mwenye mke si bachelor. Wewe unaniambia yna ushahidi.

Kabla ya kunipa ushahidi niambie ni vipi bachwlor anaweza kuwa na mke wakati huo huo na akabaki kuwa bachelor.

Kabla ya kuniambia kuhusu ushahidi wa kuwapo kwa mungu, kwanza address contradiction ya mungu wako kuwa na uwezo wote, upendo wote na ujuzi wote halafu akaumba ulimwengu ambao mabaya yanawezekana licha ya kuwa na uwezo wa kuumba ulimwengu ambao mabaya hayawezekani.

Nadhani bona sasa unaona kuwa Kiranga ndiyo anayekucheleweshea unachokitaka.


Ngoja nikuulize,hivi huu ulimwengu ungekuwa hauna maovu kama usemavyo na watu wangekuwa wanaishi bila tabu yeyote je,hali hiyo ndiyo ingekuwa mungu hajipingi?
 
Last edited by a moderator:
Nadhani bona sasa unaona kuwa Kiranga ndiyo anayekucheleweshea unachokitaka.


Ngoja nikuulize,hivi huu ulimwengu ungekuwa hauna maovu kama usemavyo na watu wangekuwa wanaishi bila tabu yeyote je,hali hiyo ndiyo ingekuwa mungu hajipingi?

Katika ulimwengu huo, ukisema kuna mungu mjuzi wa yote, muweza yote na mwenye upendo wote, hupati contradiction ya ku challenge assertion hiyo.

Katika ulimwengu tulionao ambao maovu yanawezekana, ukisema kuna mungu mwenye uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote kauumba ulimwengu huu, mtu anaweza kukuambia kwamba ulimwengu wenyewe ulivyo unakusuta. Kwamba ulimwengu wenyewe ulivyo tu, jinsi unavyoruhusu maovu, unaleta contradiction kubwa kukingana na statement kwamba ulimwengu umeumbwa na mungu mwenye uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote.
 
Last edited by a moderator:
Katika ulimwengu huo, ukisema kuna mungu mjuzi wa yote, muweza yote na mwenye upendo wote, hupati contradiction ya ku challenge assertion hiyo.

Katika ulimwengu tulionao ambao maovu yanawezekana, ukisema kuna mungu mwenye uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote kauumba ulimwengu huu, mtu anaweza kukuambia kwamba ulimwengu wenyewe ulivyo unakusuta. Kwamba ulimwengu wenyewe ulivyo tu, jinsi unavyoruhusu maovu, unaleta contradiction kubwa kukingana na statement kwamba ulimwengu umeumbwa na mungu mwenye uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote.

Je,vp mtu akisema kwamba aina hiyo ya maisha itakuwa inapingana na na sifa yake "Adh-dhaaru"??
 
Je,vp mtu akisema kwamba aina hiyo ya maisha itakuwa inapingana na na sifa yake "Adh-dhaaru"??

Hapo ndipo utapoona mungu wako hawezi kuwapo.

Kwa sababu ana sifa zinazopingana.

Exactly my argument.
 
Hapo ndipo utapoona mungu wako hawezi kuwapo.

Kwa sababu ana sifa zinazopingana.

Exactly my argument.

Haya tuendelee.

Sasa unaposema kwamba hizo sifa zinapingana maana yake ni kuwa haiwezekani hizo sifa kufanya kazi kwa pamoja,kwa maana kwamba haziwezi zote kwa pamoja zikawa za kweli..hivyo ama zipo baadhi ni za kweli na zengine si za kweli ama zote kwa pamoja si za kweli..si ndivyo hivyo ama sivyo?
 
Haya tuendelee.

Sasa unaposema kwamba hizo sifa zinapingana maana yake ni kuwa haiwezekani hizo sifa kufanya kazi kwa pamoja,kwa maana kwamba haziwezi zote kwa pamoja zikawa za kweli..hivyo ama zipo baadhi ni za kweli na zengine si za kweli ama zote kwa pamoja si za kweli..si ndivyo hivyo ama sivyo?

Sifa zinazopingana haziwezi kufanya kazi kwa pamoja kama usivyoweza kuwa na bachelor (marital status) aliyeoa au pembetatu duara.

That is an inherent contradiction.
 
Sifa zinazopingana haziwezi kufanya kazi kwa pamoja kama usivyoweza kuwa na bachelor (marital status) aliyeoa au pembetatu duara.

That is an inherent contradiction.

hivyo ama zipo baadhi ni za kweli na zengine si za kweli ama zote
kwa pamoja si za kweli..si ndivyo
hivyo ama sivyo?
 
hivyo ama zipo baadhi ni za kweli na zengine si za kweli ama zote
kwa pamoja si za kweli..si ndivyo
hivyo ama sivyo?

Zote kwa pamoja si za kweli kama vile shilingi inayorushwa juu na kuangukia pande zote mbili kuwa chini haiwezi kuwa kweli.

Kwenye probability habari hizi zinaitwa "mutually exclusive events". Probability ya kutokea pamoja haipo. Kama mungu wenu ambavyo hayupo.
 
Zote kwa pamoja si za kweli kama vile shilingi inayorushwa juu na kuangukia pande zote mbili kuwa chini haiwezi kuwa kweli.

Kwenye probability habari hizi zinaitwa "mutually exclusive events". Probability ya kutokea pamoja haipo. Kama mungu wenu ambavyo hayupo.

Sifa zote si za kweli au haiwezekani kuwa na sifa hizo kwa pamoja?
 
Kiranga,hizo arguments zako unanikumbusha somo la philosophy.

Somo hilo nililipenda tangu mdogo, nilivyokuwa na miaka 17 nikasoma anthology moja inaitwa "The Philosophy of Religion: An Anthology". That anthology changed my entire outlook towards the existence of god.

Somo la Philosophy nilikuwa na profesa mmoja mnoko sana. Conservative wa kutoka upstate New York. Ex judge neoconservative type. Halafu mimi ultra liberal.

Basi darasani kuanzia siku ya kwanza mpaka ya mwisho mabishano tu. Namuachia atoe lecture kiasi chake halafu maswali kibao, halafu mengine haya ya kuwepo kwa mungu. Mpaka dada mmoja akaniuliza wewe huamini mungu yupo kweli au unaleta ligi tu? Nikamwambia sio tu siamini katika mungu kuwapo, sitaki kuamini, nataka kujua.

Basi nikawa nabishana na yule profesa sana tu. Mpaka nikafikia sehemu nikawa nasema huyu profesa lazima atanifelisha ninavyobishana naye.

Basi tulivyokaribia siku ya mtihani wa mwisho wa hilo darasa, profesa akawa ameniandikia email. Akaniambia wewe huhitaji kuja kwenye mtihani wa mwisho. Nikajua duh, kashanipatia sababu ya kuni disqualify nisifanye mtihani nirudie darasa. Nikamuuliza, kwa nini sihitaji kuja? Akasema kazi yako throughout the class na high class participation imeshakupitisha. Nikamuuliza sasa nimepita kwa alama gani kama mtihani wa mwisho sintofanya? Akaniambia umepita kwa A+, yale madongo uliyokuwa unayatoa darasani si level ya lile darasa, yale ni ya level ya masters degree (siku hizo ndiyo kwanza nimeanza college hata sikujua kwamba nilikuwa nalionea lile undergrad class ).

Profesa akawa kanizimia mpaka akanialika kwenye ma picnic ya club zao. Mimi nikawa sina muda.

Nikaona duh, mnyamwezi kweli system yake ya elimu inaruhusu dissent hata kama inaonekana kama lack of respect for authority.

Ingekuwa kibongobongo sina hakika kama ningeweza kupeta vile.
 
First thing first.

Haiwezekani kuwa na sifa zote hizo kwa pamoja, kwa hiyo mungu wenu hayupo.

Je,endapo sasa nitaithibitisha sifa moja katika hizo sifa zake kwa kuonesha kuwa hiyo sifa ni yake kweli je,itakuwaje au italeta maana gani kwako?


Kumbuka nazungumzia sifa zake zote kwa ujumla, ambazo unasema kuna nyengine zinapingana na haziwezi kuwa pamoja kwa wakati mmoja.
 
Aisee hii ni hatar kama jibu lako ndiyo hili!.Hivi ulishawahi kuchukua muda kufikiria juu ya tofauti yetu wanadam na wanyama?,okay najua utanijibu kirahisi kwamba sisi tuna utashi,sasa je tukimchukua mtoto mdogo aliyezaliwa jana tukamtenga na wanadamu na kumwela sehem flani safe porini kisha tukamuhudumia kila kitu lakini tusiwe close nae kisha akafikia umri umri fulani kama miaka 5 huku akiwa hajawahi kumwona mwanadamu kabisa zaidi ya kuona wanyama wa mwitu.Hapo tukamwacha bila kumuhudumia chakula.Je unadhani nini kitatokea?,

Okay kwa taarifa yako baada ya muda atakuwa hana tofauti na mnyama wa mwitu kimatendo na hataweza kudevelop lugha zaidi ya kukop zile za wanyama.


Haya sema sasa hapo mtoto huyo atamjuaje mungu wako?,nani atakaye mwelewesha maswala ya uumbaji(kama mnavyoamini?).Binadam wanapata ustaarabu pale tu wanapokuwa katika integration ya wao kwa wao na hapo ndipo wazo la kutafuta asili yake linapoanza kisha tunapata mema na mabaya kisha tunapata idea mbali mbali kama vile uwepo wa mungu,shetani na kadhalika.

Kijana karibu katika ulimwengu huru...

Akili mtaji kweli, wewe ni atheist kwa kuwa ulikuwa exposed kwenye mazingira ambayo hukuwa namna mbadala wa kufikiri zaidi ya kuwa atheist.
Hili ni janga kweli kweli...Ina maana ulipokuwa kichanga wazazi walikupeleka kwenye msitu wa ma atheist wakawa wanakuletea Chakula huku ukiwa huwaoni hatimaye uka adapt mazingira ya Atheism ?
Kwa maana hiyo wanadamu wako vile walivyo kutegemea walikuwa exposed kwenye mazingira Fulani, hawana uamuzi wowote ( freewill) juu ya vile walivyo ?
At times wasiojua kusoma wana raha kwa kuwa majanga Kama hawawezi kuyajua.
 
Mungubwenu anajipinga.

Huku tunaambiwa ana uwezo wote, ana upendo wote, ana uwezo wa kufanya chochote anachotaka.

Huku kwingune tunaambiwa kaumba ulimwengu ambao mabaya yanawezekana.

Kwa nini hakuumba ulimwengu ambao mabaya hayawezekani?

Hayo uliyoambiwa kuhusu Mungu kuwa "Ana uwezo wote, na Ana upendo wote na Ana uwezo wa kufanya chochote " umayaamini kwa ni ukweli ?
Kabla ya kuyatumia kuhukumu uwepo wa Mungu ?
Wewe MTU ambaye hutaki kuamini unataka KUJUA TU, iweje utumie jambo ambalo lisilo na ujuzi kufikia hitimisho ?
PLZ naomba leo jitahidi ujibu hoja then nawe weka hoja Kama unayo.
Ile kawaida yako ya kutojibu hoja kwa ujanja wa kujenga hoja mbadala ndio unaokufanya ushindwe kuzindua ufahamu na kuufahamu ukweli juu ya uwepo wa Mungu ambye ndiye aliyeumba Dunia na Vyote vilivyomo na ndiye Mwanzilishi wa uhai na hekima za kibinadamu
 
Back
Top Bottom