Aibu.Habari za hivi punde ni kuuwawa kwa kiongozi wa mapambo wa jeshi la Rwanda nchi Congo.
Majeshi ya Rwanda yapo nchini Congo yakisaidiana na majeshi ya M23.
Mara kadhaa Paul Kagame amekuwa akikanusha kuhusika kwa nchi yake katika machafuko nchini Congo.
Kufuatia kifo cha Col Joseph Karegire ambaye alikuwa kiongozi mkuu wa operesheni nchini Congo sasa ni wazi tena pasipo shaka kabisa Jeshi la Rwanda limekuwa likishirikiana na M23 bega kwa bega.
Sio Kongo hata mauaji ya Kimbari Viongozi wote wa Kiafrika walikuwa kimya bila Kagame kupambana huenda hata hao Watutsi kidogo wa Rwanda waliopona mauaji wangeuwawa wote.
Na Mobutu alituma hadi majeshi kuingilia mgogoro wa Rwanda badala ya kuwa msuluhishi.
Nyerere pia hakusikilizwa ndio maana alipokwenda Kigali alilia sana wakati wa mazishi ya wahanga wa Genocide.
Wacongo hawakutaka nchi yao na jeshi lao kuongozwa na wanyarwanda ndio maana Mzee Kabila aliamua kumtimua Kabarebe baada ya kelele kuwa nyingi, hilo liliukera Sana utawala wa Kigali, ndio chanzo cha kuivamia upya Drc na kuanzisha vita vya pili vya Drc...kuna kipindi James Kabarebe, afisa wa RDF, alikuwa ndio Mkuu wa Majeshi ya DRC.
..sasa huyu bwana alimkorofisha nini Mzee Kabila mpaka yeye na wenzake wakatimuliwa?
..Wacongo walishawapa Rwanda usukani wa jeshi la DRC, na free pass ya kuwauwa Interahamwe vile watakavyoona inafaa.
..Rwanda ingeishi vizuri na Mzee Kabila sidhani kama leo tungekuwa tunazungumzia hii vita, na watu zaidi ya millioni 6 kuuwawa kinyama.
Nilikuwa namuangalia James Kabarebe akihojiwa na TV moja ya Ufaransa alikuwa anasema kuwa walipofika Kinshasa alimpigia Kabila na kumwambia kuwa kazi ilikuwa tayari wameshaiteka Kinshasa yote...kuna kipindi James Kabarebe alikuwa ndio Mkuu wa Majeshi ya DRC.
..sasa huyu bwana alimkorofisha nini Mzee Kabila mpaka yeye na wenzake wakatimuliwa?
..Wacongo walishawapa Rwanda usukani wa jeshi la DRC, na free pass ya kuwauwa Interahamwe vile watakavyoona inafaa.
..Rwanda ingeishi vizuri na Mzee Kabila sidhani kama leo tungekuwa tunazungumzia hii vita, na watu zaidi ya millioni 6 kuuwawa kinyama.
Nilikuwa namuangalia James Kabarebe akihojiwa na TV moja ya Ufaransa alikuwa anasema kuwa walipofika Kinshasa alimpigia Kabila na kumwambia kuwa kazi ilikuwa tayari wameshaiteka Kinshasa yote.
Kabila akafurahi sana akaruka na Ndege hadi Kinshasa na kuapishwa kuwa raisi wa Zaire baada ya muda Kabarebe akwa anataka kurudi nyumbani lakini kabila akakataa na kumwambia abaki awe Mkuu wa majeshi ya Zaire kiasi anatafuta CDF mwingine.
Nitaitafuta hiyo clip niiweke hapa.
Please msikilize mwanzo mwisho ina subtitles za English
View: https://youtu.be/mECN7JSsnxY?si=LttxtXb-YglaedgN
Kwa kirundi lakini 🤔
Fdlr iliasisiwa na Kabila snr. baada ya kupingana na Rwanda na kudai Majeshi ya Rwanda yaondoke Kongo...muda wote Kabarebe alipokuwa Mkuu wa Majeshi ya DRC alishindwa nini kuwamaliza Fdlr na Interahamwe?
Fdlr iliasisiwa na Kabila snr. baada ya kupingana na Rwanda na kudai Majeshi ya Rwanda yaondoke Kongo.
Wakati Kabarebe yuko Kinshasa kulikuwa hakuna Fdlr kulikuwa Interahamwe tu wa kawaida lakini hawakuwa organised.
Hakika..Rwanda imekua mwiba sana ukanda huu,hata hivyo nyakati hazidumu,kagame enzi yake haipo mbali na mwisho.
Tuseme na ule ukweli mchungu Askari wetu hawakuwa walinda amani bali walikwenda kupigana na Waasi na kwenye Vita ni ua nikuue...RDF imeuwa askari wa Tanzania nchi
Ni Kabila snr ndie alianza kuilaumu Rwanda kwamba inaiba Zahabu za Kongo.what strategic mistakes Rwanda walifanya mpaka kus
Ni Kabila snr ndie alianza kuilaumu Rwanda kwamba inaiba Zahabu za Kongo.
Lakini mimi naamini ilikuwa ni zaidi ya hilo.
Lakini ukimsikiliza vizuri James Kabarebe utaelewa kwanini Kabila Mzee alikwaruzana na Kagame.
View: https://youtu.be/mECN7JSsnxY?si=LttxtXb-YglaedgN
Tuseme na ule ukweli mchungu Askari wetu hawakuwa walinda amani bali walikwenda kupigana na Waasi na kwenye Vita ni ua nikuue.
Kuna kipindi Gari liliniharibikia Nyungwe haikuchukua hata nusu saa Askari wa RDF wakatia timu na kuniambia uko salama.Kuna shida katika uongozi wa serikali na jeshi la Rwanda.
Si urudi tu kwenu Rwanda kwani tatizo liko wapi?Kuna kipindi Gari liliniharibikia Nyungwe haikuchukua hata nusu saa Askari wa RDF wakatia timu na kuniambia uko salama.
Na siku nyingine nikiwa katikati ya Nanga na Ziba gari lilisumbua kidogo usiku nikavamiwa na kupigwa mawe mpaka nilipopiga risasi mbili juu ndio wakakimbia.
Sasa kati ya hizi Nchi mbili ipi ina usalama zaidi?
Mimi niko Africa rudi wewe Mwarabu uliyekuja na Jahazi kwenye Bara letu Misri muliivamia Libya muliivamia haziwatoshi tu?!Si urudi tu kwenu Rwanda kwani tatizo liko wapi?
Kwa nini usiende kwenu?
Kumbe wew ni mrundi! Ndo maana ulkua humpendi chuma,jiwe,mzilankende Anko Magu…Mimi niko Africa rudi wewe Mwarabu uliyekuja na Jahazi kwenye Bara letu Misri muliivamia Libya muliivamia haziwatoshi tu?!
Mfano wako ni irrelevantKuna kipindi Gari liliniharibikia Nyungwe haikuchukua hata nusu saa Askari wa RDF wakatia timu na kuniambia uko salama.
Na siku nyingine nikiwa katikati ya Nanga na Ziba gari lilisumbua kidogo usiku nikavamiwa na kupigwa mawe mpaka nilipopiga risasi mbili juu ndio wakakimbia.
Sasa kati ya hizi Nchi mbili ipi ina usalama zaidi?
Hayo yote ya Genocide- intarahanwe-FDRL ni chaka la kufichama kutimiza malengo makuu...huyu Kabarebe anastahili lawama.
..Kabarebe alikuwa katika nafasi nzuri ya kujenga mahusiano mema kati ya Rwanda na DRC but he dropped the ball.
..muda wote Kabarebe alipokuwa Mkuu wa Majeshi ya DRC alishindwa nini kuwamaliza Fdlr na Interahamwe?
..Eneo la maziwa makuu liko vitani kwa uzembe wa huyu jamaa.