Colombia kufungua ubalozi wake Palestina mjini Ramallah

Colombia kufungua ubalozi wake Palestina mjini Ramallah

Webabu

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2010
Posts
8,870
Reaction score
14,258
Baada ya nchi tatu za Ulaya kuamua kuitambua Palestina rasmi kama taifa sawa na mataifa mengine duniani,nchi ya Colombia imepiga hatua zaidi kwa kuamua kufungua ubalozi kabisa mjini Ramallah.

Nchi zilizoamua kuachana na ukiritimba wa Ulaya na kuamua kuitambua Palestina ni Ireland Spain na Norway.
Colombia ni miongoni mwa mataifa ya mwanzo kuvunja uhusiano na Israel baada ya kuivamia Gaza hapo mwishoni mwa mwaka jana.
---
BOGOTA (Reuters) -Colombian President Gustavo Petro has ordered the opening of an embassy in the Palestinian city of Ramallah, Foreign Minister Luis Gilberto Murillo told journalists on Wednesday.

"President Petro has given the order that we open the Colombian embassy in Ramallah, the representation of Colombia in Ramallah, that is the next step we are going to take," Murillo said.

Murillo added he believes more countries will soon begin backing the recognition of a Palestinian state before the United Nations, efforts Colombia has already supported.

At the beginning of this month, Petro, who had already recalled the Colombian ambassador from Tel Aviv, said he would break diplomatic relations with Israel over its actions in Gaza. The embassy was closed on May 3.

Petro has heavily criticized Israeli Prime Minister Benjamin Netanyahu and has requested to join South Africa's case accusing Israel of genocide at the International Court of Justice.

Israeli Foreign Minister Israel Katz accused Petro of being "antisemitic and full of hate" following Colombia's decision to cut ties with the Middle Eastern country, saying the move was a reward for Hamas.

Ramallah, in the West Bank, serves as the administrative capital of the Palestinian Authority.

On May 10, the United Nations General Assembly overwhelmingly backed a Palestinian bid to become a full U.N. member by recognizing it as qualified to join and recommended the U.N. Security Council "reconsider the matter favorably."

Israel has been rooting out Hamas in Gaza over a brutal rampage by Hamas militants in Israel on Oct. 7 in which 1,200 people were killed and more than 250 taken hostage. Nearly 36,000 Palestinians have been killed in the war, according to the Gaza health ministry.

Israel's response has drawn heavy international criticism, with aid access into southern Gaza disrupted since it stepped up military operations in Rafah, a move that the U.N. says has forced 900,000 people to flee and has raised tensions with neighboring Egypt.

Colombia was not the first Latin American country to cut ties with Israel.

Bolivia broke with relations with Israel at the end of October last year while several other countries in Latin America, including Chile and Honduras, have recalled their ambassadors.

(Reporting by Julia Symmes Cobb, additional reporting by Oliver Griffin; Editing by Sandra Maler)

Colombia's Petro orders the opening of embassy in Palestinian territory

 
Tanzania Kwa Sasa haina msimamo kabisa.inakuwa inaangalia mataifa makubwa yanataka Nini ndiyo na yenyewe inaiga.hapa itaangalia Israel na marekani wanaamua nini.kuwa na kiongozi legelege ni aibu sana kimataifa
 
Baada ya nchi tatu za Ulaya kuamua kuitambua Palestina rasmi kama taifa sawa na mataifa mengine duniani,nchi ya Colombia imepiga hatua zaidi kwa kuamua kufungua ubalozi kabisa mjini Ramallah.

Nchi zilizoamua kuachana na ukiritimba wa Ulaya na kuamua kuitambua Palestina ni Ireland Spain na Norway.
Colombia ni miongoni mwa mataifa ya mwanzo kuvunja uhusiano na Israel baada ya kuivamia Gaza hapo mwishoni mwa mwaka jana.
---
BOGOTA (Reuters) -Colombian President Gustavo Petro has ordered the opening of an embassy in the Palestinian city of Ramallah, Foreign Minister Luis Gilberto Murillo told journalists on Wednesday.

"President Petro has given the order that we open the Colombian embassy in Ramallah, the representation of Colombia in Ramallah, that is the next step we are going to take," Murillo said.

Murillo added he believes more countries will soon begin backing the recognition of a Palestinian state before the United Nations, efforts Colombia has already supported.

At the beginning of this month, Petro, who had already recalled the Colombian ambassador from Tel Aviv, said he would break diplomatic relations with Israel over its actions in Gaza. The embassy was closed on May 3.

Petro has heavily criticized Israeli Prime Minister Benjamin Netanyahu and has requested to join South Africa's case accusing Israel of genocide at the International Court of Justice.

Israeli Foreign Minister Israel Katz accused Petro of being "antisemitic and full of hate" following Colombia's decision to cut ties with the Middle Eastern country, saying the move was a reward for Hamas.

Ramallah, in the West Bank, serves as the administrative capital of the Palestinian Authority.

On May 10, the United Nations General Assembly overwhelmingly backed a Palestinian bid to become a full U.N. member by recognizing it as qualified to join and recommended the U.N. Security Council "reconsider the matter favorably."

Israel has been rooting out Hamas in Gaza over a brutal rampage by Hamas militants in Israel on Oct. 7 in which 1,200 people were killed and more than 250 taken hostage. Nearly 36,000 Palestinians have been killed in the war, according to the Gaza health ministry.

Israel's response has drawn heavy international criticism, with aid access into southern Gaza disrupted since it stepped up military operations in Rafah, a move that the U.N. says has forced 900,000 people to flee and has raised tensions with neighboring Egypt.

Colombia was not the first Latin American country to cut ties with Israel.

Bolivia broke with relations with Israel at the end of October last year while several other countries in Latin America, including Chile and Honduras, have recalled their ambassadors.

(Reporting by Julia Symmes Cobb, additional reporting by Oliver Griffin; Editing by Sandra Maler)

Colombia's Petro orders the opening of embassy in Palestinian territory

cha muhimu wakitaka kutembelea palestina, watatakiwa kuomba visa Israel. hapo sasa.
 
cha muhimu wakitaka kutembelea palestina, watatakiwa kuomba visa Israel. hapo sasa.
Hilo litabadilika.
Yani kwa baadhi ya mataifa kuanza kukubali utaifa wa Palestina kutafanya haki za Palestina kuwa taifa kamili zidaiwe,moja wapo internal and external sovereignty.
 
Hilo litabadilika.
Yani kwa baadhi ya mataifa kuanza kukubali utaifa wa Palestina kutafanya haki za Palestina kuwa taifa kamili zidaiwe,moja wapo internal and external sovereignty.
likiwa na mipaka ipi sasa? manake hata kuingia Gaza na westbank lazima uombe visa ya Israel. wao eneo loote lile wanaamini lipo ndani ya Israel, utawafanya nini Israel hadi wakubali kwamba kuna maeneo ya wapalestina yanayostahili kuwa nchi?
 
likiwa na mipaka ipi sasa? manake hata kuingia Gaza na westbank lazima uombe visa ya Israel. wao eneo loote lile wanaamini lipo ndani ya Israel, utawafanya nini Israel hadi wakubali kwamba kuna maeneo ya wapalestina yanayostahili kuwa nchi?
Kwa mipaka ya sasa ama ya zamani.
Kama ramani ya 1947 haitatumika basi itatumika mipaka ya sasa hivi.
Kwani haujui kama West bank ina mipaka yake!?
Ngojea ubalozi ufunguliwe wa Colombia hapo Ramallah ambako ndio current capital city of Palestine,halafu uone Israel atakubali vipi.
 
Kwa mipaka ya sasa ama ya zamani.
Kama ramani ya 1947 haitatumika basi itatumika mipaka ya sasa hivi.
Kwani haujui kama West bank ina mipaka yake!?
Ngojea ubalozi ufunguliwe wa Colombia hapo Ramallah ambako ndio current capital city of Palestine,halafu uone Israel atakubali vipi.
yaani hiyo mipaka unaijua wewe, hivi tunavyoongea walowezi wanamiminika toka nchi mbalimbali wanavamia westbank. wanachotaka, hadi kufika wakati fulani westbank iwe na wayahudi wengi kuliko wapalestina ili iwe nguvu kuwaondoa. westbank wao wanaiita JUDEO SAMARIA ina wayahudi si chini ya laki sita hadi sasa, wamejenga na wanaishi, kuwaondoa watu laki 6 ili uwaachie wapalestina sio rahisi.
 
yaani hiyo mipaka unaijua wewe, hivi tunavyoongea walowezi wanamiminika toka nchi mbalimbali wanavamia westbank. wanachotaka, hadi kufika wakati fulani westbank iwe na wayahudi wengi kuliko wapalestina ili iwe nguvu kuwaondoa. westbank wao wanaiita JUDEO SAMARIA ina wayahudi si chini ya laki sita hadi sasa, wamejenga na wanaishi, kuwaondoa watu laki 6 ili uwaachie wapalestina sio rahisi.
WestBank hakuna yahudi idadi hiyo.
Maeneo ambayo yalojengwa ni mpakani na JENIN.
Huko ndio Israel walijenga na mwaka huu wakatoa order ya kuvunja zaidi nyumba za wakazi wa Jenin ili kutanua makazi ya walowezi wa kizayuni,ndicho chanzo cha oktoba 7.
Mipaka inajulikana ni wapi inaishia hata katika documents.
Ni suala la kuliamsha tu ili kuidai mipaka,je wewe unadhani waarabu watakaa kimya pasi na kuitambua mipaka yao!?
Just think bro,hili ni kama bomu siku itafika litalipuka.
Sasa hivi kwa vurugu za sasa wayahudi wengi wamekimbia makazi yao ya Jenin,hawaaminiani na wapalestina.
Labda vita iishe watarejea.
 
WestBank hakuna yahudi idadi hiyo.
Maeneo ambayo yalojengwa ni mpakani na JENIN.
Huko ndio Israel walijenga na mwaka huu wakatoa order ya kuvunja zaidi nyumba za wakazi wa Jenin ili kutanua makazi ya walowezi wa kizayuni,ndicho chanzo cha oktoba 7.
Mipaka inajulikana ni wapi inaishia hata katika documents.
Ni suala la kuliamsha tu ili kuidai mipaka,je wewe unadhani waarabu watakaa kimya pasi na kuitambua mipaka yao!?
Just think bro,hili ni kama bomu siku itafika litalipuka.
Sasa hivi kwa vurugu za sasa wayahudi wengi wamekimbia makazi yao ya Jenin,hawaaminiani na wapalestina.
Labda vita iishe watarejea.
ukiona hauamini sana, basi jaribu hata kugoogle tu, ili pengine uelewe. mwaka jana walikuwa 450,000 mwaka huu inasemekana 600,000. na kadiri vita inavyoendelea, walowezi walikuwa wakivamia mashamba ya wapalestina na kukatakata mizeituni, na wanapora mazima. walowezi wote wanaishi na bunduki nyumbani, hadi majuzi hapa marekani ametishia kushughulikia walowezi. kuna makazi kibao. jaribu kutafiti settlement za wayahudi westbank utapata jibu.

though frankly speaking, nawaonea huruma pia wapalestina, lakini tutafanyaje sasa.
 
Baada ya nchi tatu za Ulaya kuamua kuitambua Palestina rasmi kama taifa sawa na mataifa mengine duniani,nchi ya Colombia imepiga hatua zaidi kwa kuamua kufungua ubalozi kabisa mjini Ramallah.

Nchi zilizoamua kuachana na ukiritimba wa Ulaya na kuamua kuitambua Palestina ni Ireland Spain na Norway.
Colombia ni miongoni mwa mataifa ya mwanzo kuvunja uhusiano na Israel baada ya kuivamia Gaza hapo mwishoni mwa mwaka jana.
---
BOGOTA (Reuters) -Colombian President Gustavo Petro has ordered the opening of an embassy in the Palestinian city of Ramallah, Foreign Minister Luis Gilberto Murillo told journalists on Wednesday.

"President Petro has given the order that we open the Colombian embassy in Ramallah, the representation of Colombia in Ramallah, that is the next step we are going to take," Murillo said.

Murillo added he believes more countries will soon begin backing the recognition of a Palestinian state before the United Nations, efforts Colombia has already supported.

At the beginning of this month, Petro, who had already recalled the Colombian ambassador from Tel Aviv, said he would break diplomatic relations with Israel over its actions in Gaza. The embassy was closed on May 3.

Petro has heavily criticized Israeli Prime Minister Benjamin Netanyahu and has requested to join South Africa's case accusing Israel of genocide at the International Court of Justice.

Israeli Foreign Minister Israel Katz accused Petro of being "antisemitic and full of hate" following Colombia's decision to cut ties with the Middle Eastern country, saying the move was a reward for Hamas.

Ramallah, in the West Bank, serves as the administrative capital of the Palestinian Authority.

On May 10, the United Nations General Assembly overwhelmingly backed a Palestinian bid to become a full U.N. member by recognizing it as qualified to join and recommended the U.N. Security Council "reconsider the matter favorably."

Israel has been rooting out Hamas in Gaza over a brutal rampage by Hamas militants in Israel on Oct. 7 in which 1,200 people were killed and more than 250 taken hostage. Nearly 36,000 Palestinians have been killed in the war, according to the Gaza health ministry.

Israel's response has drawn heavy international criticism, with aid access into southern Gaza disrupted since it stepped up military operations in Rafah, a move that the U.N. says has forced 900,000 people to flee and has raised tensions with neighboring Egypt.

Colombia was not the first Latin American country to cut ties with Israel.

Bolivia broke with relations with Israel at the end of October last year while several other countries in Latin America, including Chile and Honduras, have recalled their ambassadors.

(Reporting by Julia Symmes Cobb, additional reporting by Oliver Griffin; Editing by Sandra Maler)

Colombia's Petro orders the opening of embassy in Palestinian territory

Hii siyo habari we bwege
 
Ni jambo zuri, lakini changamoto ni moja Hamas watavurumisha rockets Israel, IDF wakijibu Hamas wataenda kujificha kwenye ubalozi wa Colombia na watapigwa huko huko ubalozini.
 
ukiona hauamini sana, basi jaribu hata kugoogle tu, ili pengine uelewe. mwaka jana walikuwa 450,000 mwaka huu inasemekana 600,000. na kadiri vita inavyoendelea, walowezi walikuwa wakivamia mashamba ya wapalestina na kukatakata mizeituni, na wanapora mazima. walowezi wote wanaishi na bunduki nyumbani, hadi majuzi hapa marekani ametishia kushughulikia walowezi. kuna makazi kibao. jaribu kutafiti settlement za wayahudi westbank utapata jibu.

though frankly speaking, nawaonea huruma pia wapalestina, lakini tutafanyaje sasa.
Unapopasemea wewe ni maeneo ya mipaka ya Jenin mkuu.
Sio central Westbank.
Na kutokea hapo mwaka huu August wakajaribu kutaka kuongeza tena eneo ili watanue makazi zaidi na wayaingize katika mipaka ya Israel.
Ndipo Hamas wakakiamsha.
 
Back
Top Bottom