Coming soon: New Kawe City (Uptown Kawe)

Siasa hizi tu, unajua eneo hilo nani anajenga? Unadhani nani ataukwamisha huu mradi? Hapa sio NSSF mkuu wangu. Taratiiibu, tuweke kando siasa. Mradi huu unafaa au haufai?
 
Hakuna linaloshindikana hapo. Hivi vyote vinavyoonekana kwenye picha viko ndani ya uwezo wetu.
 
The new city of kigamboni imekufa?series nchi hii haziishi.
Simple, viongozi wetu (upinzani na watawala) mmewauliza kinachoendelea wakasemaje?

Hakuna mwanasiasa mwenye huruma na wewe. Mjenga nchi ni mwananchi, mnashindwa nini kutumia hii fomula?

 
Siasa pembeni, mradi mzuri...:yo:
Trust me hapo unafurahia picha tu, hiyo michoro ni mikakati ya kutuibia tu. Kama kweli wanapenda kuendeleza hii nchi, wamalize kwanza mradi wa Kigamboni. Kesho watakuja na mapichapicha mengine ya kupaendeleza Manzase, tutakusanyika hivi hivi kushangaa picha na kusifia. Mafisadi yameshajua sisi tunapenda mipicha, so wataiproduce sana kabla ya utawala huu kuisha ila hakuna mradi utasimama.
 
Unajua hii miradi yote inatakiwa kwenda na mipango mingine parallel sio issue ya kujenga majengo tu....who are going to be consumers of services in those planned cities? Hapo namaanisha kupanga hizo nyumba, ofisi n.k.

Lingine ni kuwa wanahitajika competent workers kwa maana ya kuwa well educated au tunjenga ili wakenya, waganda na rwandese waje wafanye kazi?
 
Is Dar everthing in Tz
 
I saw this coming lol
wasiwasi wangu ni kuwa,je itatekelezwa kwa kiwangi kinachoonekana kwenye ramani!nakumbuka ramani ya mlimani city ilivyo kuwa na jengo lililopo sasa!tofauti kabisa!!
 
Changes are only take place on books,practically ni sanaa tu,
Nadhani umeandika kwakuwa ndivyo ilivyozoeleka. Lakini wewe ni verified user, be smart.

Nimeshakwambia eneo limeshatengwa na wanaokaa maeneo hayo wako on alert. Wacha kukata tamaa, tumia formula ya Nyumbu nimekupa hapo juu

 
Mipango 'kabambe' as always, Kigoma will soon be African Dubai/
 

Mkuu,
Nadhani huu ni mradi wa watu binafsi..
 
Simple, viongozi wetu (upinzani na watawala) mmewauliza kinachoendelea wakasemaje?

Hakuna mwanasiasa mwenye huruma na wewe. Mjenga nchi ni mwananchi, mnashindwa nini kutumia hii fomula?

is this also coming soon!!ha ha ha just kidding!
 
Kwa kunza na hili
Wasaidizi wa JK hawatufahamishi juu ya miradi hii, wacha tujifahamishe wenyewe.

Hii mambo inakuja karibuni. Nadhani itakuwa ni maeneo ya Tanganyika Peckers.





Kuna mwenye kujua progress ya hii project?
 
wasiwasi wangu ni kuwa,je itatekelezwa kwa kiwangi kinachoonekana kwenye ramani!nakumbuka ramani ya mlimani city ilivyo kuwa na jengo lililopo sasa!tofauti kabisa!!
Safi, umeongea mambo ya kuongeleka sasa.

Twende sawa. Serikali itueleze, mkandarasi na mhandisi (aliyesimamia) wa barabara ya Sam Nujoma wapo hai? Si wakati muafaka kuwapeleka Kisutu wajibu kwanini walichakachua barabara hiyo? Barabara ni mbovu kabisa, lami kama walimwaga ugali juu tu. Mawaziri bado wapo hai? Wanaendelea na siasa? Wananchi mnawachekea tu?

Apply this!



Serikali iwe makini na ujenzi wa Barabara ya Morogoro, uchakachuaji uliotokea Sam Nujoma uwe fundisho kwetu na tusirudie makosa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…