Complete heart transplant; rethink your faith!

Complete heart transplant; rethink your faith!

Let us see if the person will answer your prior posts. I bet you are invisible to her/him.

I will provoke him, he is crazy with science just like me, And of course scientists like debates. Its their fav hobbie apart from video games and comic books 🙂
 
Pisha niongee na watu wanojua nidhamu ya mijadala,sio wewe

UNaifahamu nidhamu wewe au ndio milugha ya ajabu tu unafikiri ndio nidhamu? Si nilikwambia na wewe utaingia kule kwenye ile option yenu? Sasa wewe na yule mna tofauti gani?
 
UNaifahamu nidhamu wewe au ndio milugha ya ajabu tu unafikiri ndio nidhamu? Si nilikwambia na wewe utaingia kule kwenye ile option yenu? Sasa wewe na yule mna tofauti gani?

Ignore list ni haki ya kila mtu anaweza kutumia muda wowote.Na wala haina masharti ukishindwa kudhibiti lugha ya nidhamu na heshima katika mijadala usilalamike mtu akikuweka huko.

Afu kwa nn unarudia kila siku swala la Kiranga kukuweka Ignore list.Ilikuuma sana?.Kama hivyo mbona hujabadilika?.Kwa nn unashindwa kujadili mada kwa heshima?.Mbona wenzako wanauliza na kujibu kwa nidhamu!.Unadhani kumu-attack mtu personal ni kwa matusi ni ujanja?.hujui kwamba kuna watu humu wanakuheshimu na wanafikiri una kitu kichwani!.kwa nn unalazimisha nami nifikirie kukuweka kule?.Badilika kijana mambo mengine hayahitaji PhD.
Umewahi fuatilia mijadala yangu na Samaritan ?.Huyu jamaa naweza sema ana kitu kichwani na uzuri kitu kama hajui huwa anakuwa wazi na kuomba msaada,hajawahi kuandika lugha za kebehi wala matusi humu.Huwa najifunza vitu vingi sana katika majibu yake na huwezi kukuta sijamjibu swali lake na kama sijui ama sikuelewa huwa nakiri na anafafanua.Hiyo ndio mijadala ya watu makini.
Sio mtu hakubali kushindwa,yaani unaona kabisa huwezi kujibu swali badala yake unaanza kuuliza vimaswali nyemelezi mara ohh eti Evidence maana yake nn?.Yaan uko jukwaa hili hujui maana ya Evidence ?.kwa nn usiseme tu huwezi swali?.Halafu hakuna anayeweza kujibu kila kitu kwa hiyo sio lazima ujue kila kitu.Kuwa kama jamaa yako yule mwingine akishindwa hasemi ila anaalika watu, hiyo ni bora kuliko kutukana

Ni hayo tu,ukijirekebisha tutajadili kwa marefu na mapana mada yoyote.
 
Last edited by a moderator:
Ignore list ni haki ya kila mtu anaweza kutumia muda wowote.Na wala haina masharti ukishindwa kudhibiti lugha ya nidhamu na heshima katika mijadala usilalamike mtu akikuweka huko.

Afu kwa nn unarudia kila siku swala la Kiranga kukuweka Ignore list.Ilikuuma sana?.Kama hivyo mbona hujabadilika?.Kwa nn unashindwa kujadili mada kwa heshima?.Mbona wenzako wanauliza na kujibu kwa nidhamu!.Unadhani kumu-attack mtu personal ni kwa matusi ni ujanja?.hujui kwamba kuna watu humu wanakuheshimu na wanafikiri una kitu kichwani!.kwa nn unalazimisha nami nifikirie kukuweka kule?.Badilika kijana mambo mengine hayahitaji PhD.
Umewahi fuatilia mijadala yangu na Samaritan ?.Huyu jamaa naweza sema ana kitu kichwani na uzuri kitu kama hajui huwa anakuwa wazi na kuomba msaada,hajawahi kuandika lugha za kebehi wala matusi humu.Huwa najifunza vitu vingi sana katika majibu yake na huwezi kukuta sijamjibu swali lake na kama sijui ama sikuelewa huwa nakiri na anafafanua.Hiyo ndio mijadala ya watu makini.
Sio mtu hakubali kushindwa,yaani unaona kabisa huwezi kujibu swali badala yake unaanza kuuliza vimaswali nyemelezi mara ohh eti Evidence maana yake nn?.Yaan uko jukwaa hili hujui maana ya Evidence ?.kwa nn usiseme tu huwezi swali?.Halafu hakuna anayeweza kujibu kila kitu kwa hiyo sio lazima ujue kila kitu.Kuwa kama jamaa yako yule mwingine akishindwa hasemi ila anaalika watu, hiyo ni bora kuliko kutukana

Ni hayo tu,ukijirekebisha tutajadili kwa marefu na mapana mada yoyote.
Umesha maliza kujitetea na kumtetea mdini mwenzako? Naona unalalamika tu kama vile mtoto mdogo anaonewa na kaka yake. Pole sana kwa maumivu.

1. Wewe lini ulisha wai leta evidence kuwa hakuna Mungu?
2. Wewe lini ulisha wai leta evidence kuwa evolution ex nihilo ni impeccable?
3. Wewe unaye chekelea mataptap lini ulisha wai sema kwa hekima?
4. Wewe lini ulisha wai kiri kuwa umeshindwa zaidi ya kukimbia maswali na kurudiarudia vitu ambavyo huvijui?

******
a. Wewe umesha kiri kuwa ni Muislam wa kuzaliwa
b. Wewe umesha kiri kuwa unachuki na Yesu Mungu kama dini yako na ya kuzaliwa inavyo sema
c. Wewe umesha kiri kuwa unamwogopa Allah
********

i. Wewe lini ulisha wai jibu maswali yangu?
ii. Wewe lini ulisha wai saidia "negative god" wako?
iii. Wewe lini ulisha wai kubali kuwa assumptions ni sawa na faith?

***************
Z. Huyo unaye mpigia debe anafahamu udhaifu wake na ndio maana anatumia ile kitu ya "IGNORE" anapo shindwa.
Y. Wewe unayo haki ya kutumia IGNORE Function maana ndio mwisho wa kufikria kwako na yule jamaa yako.
X. Wewe huna nidhamu kama yule unaye mtete kwa kumtukana Mungu wetu. Hivyo jifunze kwanza nidham kabla ya kuomba upewe nidhamu.

Natanguliza pole zangu kwako wewe usie fahamu nini maana ya mijadala na unatumia ignore option katika mjadala. Huo nao ni Msiba kwako.

Mwisho, jifunzeni kubakia kwenye mada na sio kuchomekeza mivitu ambayo havina uhusiano na mada. You don't need applied math to comprehend that.

Watakabahu,
 
Samaritan hapa point yako hasa ni nini,?

Nnachomaanisha ni kwamba, natambua mchango wa madaktari na kuheshimu sana nafasi au sehemu ya kazi wanayoifanya linapokuja suala la kutibu ugonjwa.

Kama umemuelewa mleta thread anasema madaktari wanapaswa kusifiwa na kupongezwa kwa kazi nzuri wanayoifanya (Sina tatizo na hilo). Tatizo langu ni pale anaposema mgonjwa akipona anayesifiwa ni Mungu wakati Daktari ndio kafanya kazi yake.

Nikahoji kwamba, pamoja na kazi nzuri wanayoifanya madaktari, wana kikomo chao. Kama sio hivyo tungekua na Nyerere, Mandela, Mama Theresa, ongezea na orodha ya watu wengine mashuhuri unaowafahamu wewe ambao walikua na uwezo wa kutibiwa na madaktari bora duniani lakini bado hawakupona.

Najua hapo ndio tofauti inapoanzia baada ya suala la imani kuingizwa kwenye mjadala. Binafsi kama naumwa nikaenda hospitali nikatibiwa na daktari, ntashukuru kwa Mungu aliyenipa neema ya kupona wakati huohuo nikitambua mchango wa daktari kwangu. Nnachoamini ni kwamba, kama wakati wangu wa kuishi hapa duniani umefika, hata kama ntapelekwa hospitali gani, ntakufa tu. na kama bado madaktari watanitubu ntapona.
 
Nnachomaanisha ni kwamba, natambua mchango wa madaktari na kuheshimu sana nafasi au sehemu ya kazi wanayoifanya linapokuja suala la kutibu ugonjwa.
Okay,hata sisi tunatambua pia mchango wao,ndio maana mleta uzi alisema wanastahili kusifiwa wao.
Kama umemuelewa mleta thread anasema madaktari wanapaswa kusifiwa na kupongezwa kwa kazi nzuri wanayoifanya (Sina tatizo na hilo). Tatizo langu ni pale anaposema mgonjwa akipona anayesifiwa ni Mungu wakati Daktari ndio kafanya kazi yake.
Hapa yuko sahihi,maana ikiwa mgojwa yule asingetibiwa na daktar ni wazi kwamba uwzekano wa yeye kuendelea kuendelea kuishi ni asilimia chache sana.kwa maneno mengine mgonjwa angekufa.Sasa mleta mada akahoji uwezo wa mungu wenye upendo wote uko wapi?.Ukishawahi kujiuliza tiba ya appendex kiimani ni ipi ama mungu kasema nini kuhusu Hilo ?.Hakika hajasema chochote na njia pekee ya kumnusuru mgojwa wa appendix ni operation (sayansi) sio maombi.
Nikahoji kwamba, pamoja na kazi nzuri wanayoifanya madaktari, wana kikomo chao. Kama sio hivyo tungekua na Nyerere, Mandela, Mama Theresa, ongezea na orodha ya watu wengine mashuhuri unaowafahamu wewe ambao walikua na uwezo wa kutibiwa na madaktari bora duniani lakini bado hawakupona.
Nakubali ndio kwamba kuna wakati mgojwa anashindikana na kufariki,kwa maelezo yako hapo juu unamaanisha kwamba hapo ndio uwezo ama uwepo wa mungu wako unapothibitika
!,Hili ni tatizo pia.Ndio mana huwa namuita god of gaps(sio tusi ni sifa yake kutokana na mnavyomtambulisha).Kwamba pale tatizo linaposhindikana ndipo anadhihirika kwamba yupo na yeye ndiye mwenye jibu.Kwa maana nyingine ni kwamba yuko responsible na vifo vinavyotokea nikirejea ulichosema kwamba daktar wakati mwingine hawezi na inabidi mgonjwa afe.Lakini hiyo haimaanishi mungu yupo.
Najua hapo ndio tofauti inapoanzia baada ya suala la imani kuingizwa kwenye mjadala. Binafsi kama naumwa nikaenda hospitali nikatibiwa na daktari, ntashukuru kwa Mungu aliyenipa neema ya kupona wakati huohuo nikitambua mchango wa daktari kwangu. Nnachoamini ni kwamba, kama wakati wangu wa kuishi hapa duniani umefika, hata kama ntapelekwa hospitali gani, ntakufa tu. na kama bado madaktari watanitubu ntapona.

Je unapokufa ukiwa katika matibabu nani kasababisha?.Mungu kapenda ufe ?ama daktari kashindwa?.Je nani yuko responsible na vifo?ni mungu ama shetani maana maelezo yenu yanatofautiana.Wenzenu husema shetani ndiye mtoa roho za watu lakini wewe kwa maelezo yako ni mungu ndiye anapenda tufe.
Karibu........
 
Okay,


Je unapokufa ukiwa katika matibabu nani kasababisha?.Mungu kapenda ufe ?ama daktari kashindwa?.Je nani yuko responsible na vifo?ni mungu ama shetani maana maelezo yenu yanatofautiana.Wenzenu husema shetani ndiye mtoa roho za watu lakini wewe kwa maelezo yako ni mungu ndiye anapenda tufe.
Karibu........

Sasa unataka kufahamu nani anasababisha kifo! Very funny.

Kutokana na imani yako kuwa Madaktari ndio kila kitu na kuwa Mungu hayupo, yafuatayo ni majibu sahih kwa maswali yako.

BOLD BLACK: Daktari ndie kasababisha kifo.
RED: Imani yako inapinga uwepo wa Mungu. Hivyo swali lako halina mshiko. Unless ukiri kuwa Mungu yupo.
BLUE: Daktari kashindwa ni sahih maana yeye ndie mnaye sema anaponya watu.
PURPLE: Daktari aliye shindwa kuwaponya watu.
GREEN: Hao wote hawapo maana imani yako inapinga uwepo wao.

Majibu umesha yapata kutokana na imani yako kuwa Daktari anahusika kwa asilimia mia katika mauwaji ya watu.
 
Majibu umesha yapata kutokana na imani yako kuwa Daktari anahusika kwa asilimia mia katika mauwaji ya watu.
Okay basi kili kwamba daktar anahusika kwa 100% katika. mauji ya wagonjwa!Kubaliana na mimi ili tufunge mjadala maana naona tunakaribia kuwa pamoja.
 
Okay,hata sisi tunatambua pia mchango wao,ndio maana mleta uzi alisema wanastahili kusifiwa wao.

Hapa yuko sahihi,maana ikiwa mgojwa yule asingetibiwa na daktar ni wazi kwamba uwzekano wa yeye kuendelea kuendelea kuishi ni asilimia chache sana.kwa maneno mengine mgonjwa angekufa.Sasa mleta mada akahoji uwezo wa mungu wenye upendo wote uko wapi?.Ukishawahi kujiuliza tiba ya appendex kiimani ni ipi ama mungu kasema nini kuhusu Hilo ?.Hakika hajasema chochote na njia pekee ya kumnusuru mgojwa wa appendix ni operation (sayansi) sio maombi.

Nakubali ndio kwamba kuna wakati mgojwa anashindikana na kufariki,kwa maelezo yako hapo juu unamaanisha kwamba hapo ndio uwezo ama uwepo wa mungu wako unapothibitika
!,Hili ni tatizo pia.Ndio mana huwa namuita god of gaps(sio tusi ni sifa yake kutokana na mnavyomtambulisha).Kwamba pale tatizo linaposhindikana ndipo anadhihirika kwamba yupo na yeye ndiye mwenye jibu.Kwa maana nyingine ni kwamba yuko responsible na vifo vinavyotokea nikirejea ulichosema kwamba daktar wakati mwingine hawezi na inabidi mgonjwa afe.Lakini hiyo haimaanishi mungu yupo.


Je unapokufa ukiwa katika matibabu nani kasababisha?.Mungu kapenda ufe ?ama daktari kashindwa?.Je nani yuko responsible na vifo?ni mungu ama shetani maana maelezo yenu yanatofautiana.Wenzenu husema shetani ndiye mtoa roho za watu lakini wewe kwa maelezo yako ni mungu ndiye anapenda tufe.
Karibu........

Nashukuru kwa uchambuzi wako mkuu, naomba nijumuishe jibu langu rahisi kwamba, hautambui uwepo wa Mungu lakini wakati huohuo unataka uweke vigezo vya Mungu wako, Mungu nnayemwamini mimi anafanya chochote kwa jinsi na utaratibu wake.

Na uzuri iko wazi kabisa kwamba binadamu wanakufa na hilo limeelezwa wazi kabisa kwamba duniani tunapita ni makao ya muda tu. Kwa muktadha huo, kifo sio kitu cha kushangaza kwa Mungu. Unachotakiwa kujua ni huyo Mungu usiyemwamini taratibu zake zikoje na zinafanyaje kazi. Ila kwa kuwa wewe na imani hamkai chungu kimoja, inakua shida kwa sababu pasipo imani hauwezi kumpendeza Mungu.

Kwa nini uite kifo kama ni ishara ya kushindwa kwa Mungu ambaye hajakataa uwepo wa kifo na taratibu zote ziko wazi?
Kama nnachokiongea ni uongo, au uelewa wangu hauko sawa jaribu kutafuta kifo kimeelezewaje katika Biblia takatifu, ukiona Biblia haijakitaja kabisa, njoo useme kwamba Mungu hatambui kifo na mtu akifa Mungu ameshindwa.

Huwezi kuchukua sehemu ya maandiko au upande mmoja unajengea hoja fulani wakati unaacha maeneo mengine mkuu, lazima uchukue full package. Mungu ana taratibu zake.
 
Nashukuru kwa uchambuzi wako mkuu, naomba nijumuishe jibu langu rahisi kwamba, hautambui uwepo wa Mungu lakini wakati huohuo unataka uweke vigezo vya Mungu wako, Mungu nnayemwamini mimi anafanya chochote kwa jinsi na utaratibu wake.
Utaratibu gani huo?.Mkuu tatizo hapa ni ukuu,utukufu na upendo wa mungu mkuu.Sidhani kama hii kauli inamaanisha hasa maana ya ukuu na upendo.Mungu mwenye upendo hawezi kuacha viumbe wake waishi namna hii.Vilema,walemavu,maskini,matajiri!.Ukuu wake uko wapi?.
Na uzuri iko wazi kabisa kwamba binadamu wanakufa na hilo limeelezwa wazi kabisa kwamba duniani tunapita ni makao ya muda tu. Kwa muktadha huo, kifo sio kitu cha kushangaza kwa Mungu. Unachotakiwa kujua ni huyo Mungu usiyemwamini taratibu zake zikoje na zinafanyaje kazi. Ila kwa kuwa wewe na imani hamkai chungu kimoja, inakua shida kwa sababu pasipo imani hauwezi kumpendeza Mungu.
Kwa nn mpaka imani?.Kwa nini nihangaike kumjua mungu wangu alieniumba kwa upendo wote?.Kwa nn nimsome kwenye vitabu!anashindwa nn kujidhihilisha kwangu(kwetu) tukamwona na hata tusioamini tukamwamini.Kwa nn aongee na watu wake kwa kutumia vitabu wakati uwezo wote anao?.Ulishawahi kujiuliza vipofu,viziwi na mataahila tangu utoto wanamjuaje mungu/?.
Kwa nini uite kifo kama ni ishara ya kushindwa kwa Mungu ambaye hajakataa uwepo wa kifo na taratibu zote ziko wazi? .
Kifo asili yake katika vitabu vya dini ni nini?.Sio kitendo kile cha kula tunda?.Je mungu hakujua jambo hilo kabla hata hajaumba ulimwengu?.Hakika alijua sasa iweje kifo kiwe adhabu kwa jambo alilolipanga/alilolijua kabla?.
Kama nnachokiongea ni uongo, au uelewa wangu hauko sawa jaribu kutafuta kifo kimeelezewaje katika Biblia takatifu, ukiona Biblia haijakitaja kabisa, njoo useme kwamba Mungu hatambui kifo na mtu akifa Mungu ameshindwa.
Kifo ni asili ya viumbe hai wote.Hakuna nguvu inayokontro kwamba huyu afe na yule asife.
 
Utaratibu gani huo?.Mkuu tatizo hapa ni ukuu,utukufu na upendo wa mungu mkuu.Sidhani kama hii kauli inamaanisha hasa maana ya ukuu na upendo.Mungu mwenye upendo hawezi kuacha viumbe wake waishi namna hii.Vilema,walemavu,maskini,matajiri!.Ukuu wake uko wapi?.

Kwa nn mpaka imani?.Kwa nini nihangaike kumjua mungu wangu alieniumba kwa upendo wote?.Kwa nn nimsome kwenye vitabu!anashindwa nn kujidhihilisha kwangu(kwetu) tukamwona na hata tusioamini tukamwamini.Kwa nn aongee na watu wake kwa kutumia vitabu wakati uwezo wote anao?.Ulishawahi kujiuliza vipofu,viziwi na mataahila tangu utoto wanamjuaje mungu/?.

Kifo asili yake katika vitabu vya dini ni nini?.Sio kitendo kile cha kula tunda?.Je mungu hakujua jambo hilo kabla hata hajaumba ulimwengu?.Hakika alijua sasa iweje kifo kiwe adhabu kwa jambo alilolipanga/alilolijua kabla?.

Kifo ni asili ya viumbe hai wote.Hakuna nguvu inayokontro kwamba huyu afe na yule asife.

Turahisishe mambo ndugu yangu. Hatuwezi kufikia muafaka kwenye hili jambo kwa sababu msingi wa tofauti zetu ni imani na hasa kuhusu Mungu. Na kwa sababu lengo langu sio kuibuka kidedea ila, kujifunza, ntaishia hapa kwa leo.

Kinachonipa faraja ni kwamba Biblia bado iliongelea suala la kuwepo watu ambao hawataamini kwamba Mungu yupo (Warumi 1:19-21na Yeremia 29:12-13)

Warumi 1:19-21
"Kwa kuwa mambo ya Mungu yanayojulikana yamekuwa dhahiri ndani yao, kwa maana Mungu aliwadhihirishia.
Kwa sababu mambo yake yasiyoonekana tangu kuumbwa ulimwengu yanaonekana, na kufahamika kwa kazi zake; yaani, uweza wake wa milele na Uungu wake; hata wasiwe na udhuru;
kwa sababu, walipomjua Mungu hawakumtukuza kama ndiye Mungu wala kumshukuru; bali walipotea katika uzushi wao, na mioyo yao yenye ujinga ikatiwa giza"

Yeremia 29:12-13
"Nanyi mtaniita, mtakwenda na kuniomba, nami nitawasikiliza.
Nanyi mtanitafuta na kuniona, mtakaponitafuta kwa moyo wenu wote"
 
There are so many of such cases and in fact, wakati mwingine anaye fariki ni mwenye afadhali.
1. Kutoka na jibu lako hapo juu, linakubaliana nami kuwa Dawa sio inayo ponya.
2. Kutokana na jibu lako hapo juu, linakubali kuwa Daktari anacho fanya ni kutibu tu.
3. Kutoka na jibu lako hapo juu, linakubali kuwa uponyaji wa mgonjwa si tegemezi katika Dawa.

Kumbe ndio maana tuna kuwa na vifo ingawa mgonjwa amepewa dawa. Uponyaji sasa unaanza kuonekana sio kutoka kwa madaktari wanao toa treatment na au kunywa dawa but upo kwa mwengine ambaye haonekani.

Tunaweza kuweka two cases za heart transplant na cha kushangaza.

1. Wote wanaweza kupona.
2. Wote wanaweza kuto kupona
3. Mmoja anaweza kupona

Ndio maana science bado inabakia tegemezi kwa asiye onekana.

Ishmael I'm dissapointed by your reasoning here. Were you serious?
 
Read between the lines my dear.

The only thing I see between the lines is too much faith which turns into intellectual laziness and illogical reasoning.

I dont think, you admitting to biological laws, lowers God's glory. Dont you think they infact praise God creations? I see you trying to disregard everything to show that God is Great.

Sasa hadi point ya kusema huyu katibiwa kapona, lakini yule kafa ni kwasababu ya Mungu..............I dont know man.....I'll leave you to it. cant help here.
 
Turahisishe mambo ndugu yangu. Hatuwezi kufikia muafaka kwenye hili jambo kwa sababu msingi wa tofauti zetu ni imani na hasa kuhusu Mungu. Na kwa sababu lengo langu sio kuibuka kidedea ila, kujifunza, ntaishia hapa kwa leo.

Ok sawa,kuna siku nilisema kama ukitaka kujadili mambo haya na kupata japo mwanga,basi weka imani pembeni.Tofauti na hapa ni vigumu kujua tunamaanisha nini tukisema mungu hayupo.Nanyi mkisema yupo lakini haonekani hatutafika mwisho.Wenzako huwa wanajaribu kujadili kwa facts pia lakini baada ya muda hurudi kule kule kwamba ",Naaamini yupo!"
 
The only thing I see between the lines is too much faith which turns into intellectual laziness and illogical reasoning.

I dont think, you admitting to biological laws, lowers God's glory. Dont you think they infact praise God creations? I see you trying to disregard everything to show that God is Great.

Sasa hadi point ya kusema huyu katibiwa kapona, lakini yule kafa ni kwasababu ya Mungu..............I dont know man.....I'll leave you to it. cant help here.

Maybe you are missing something.
1. God is above intellectual
2. God is above logic
3. God is above reasoning

In fact, those things exists because of HIM. When I use the Name of Jesus and someone's demons and/or cancer vanishes, tell me, how can science comprehend that?

My prior reply was dismiss intellect and or science by showing them that, "If Doctors heals", why do we have dead people.

Sasa huyu Mpinga Yesu na Mpinga Mungu Free ideas kakupa heko, kwangu mimi naona ni msiba kwake, maana hajui wapi tulianzia kuzungumza.
 
Last edited by a moderator:
Maybe you are missing something.
1. God is above intellectual
How did you know that?,Who told you about someone/something you haven't seen.?
2. God is above logic

What do you mean by,,Above logic ""?
3. God is above reasoning

Yes!,because he/it is only an idea not a reality
In fact, those things exists because of HIM.
Are you sure or you believe ?
When I use the Name of Jesus and someone's demons and/or cancer vanishes, tell me, how can science comprehend that?

When i use my Tv to see what is happening at Rio de Janeiro in Brazil while sitting on my sofa in Rwanda,tell me the difference.!
My prior reply was dismiss intellect and or science by showing them that, "If Doctors heals", why do we have dead people.

Doctors(human being) try their level best to help the patient get well.But your god has nothing to do with us!,ndo mana hata wewe hujui yuko upande gani!
Sasa huyu Mpinga Yesu na Mpinga Mungu Free ideas kakupa heko, kwangu mimi naona ni msiba kwake, maana hajui wapi tulianzia kuzungumza.
Nimempa heko kwa sababu ameonesha ukomavu kwa kujua udhaifu wako katika mijadala kama hii.
 
Last edited by a moderator:
Nimempa heko kwa sababu ameonesha ukomavu kwa kujui udhaifu wako katika mijadala kama hii.
Wewe hata mbinu unaita udhaifu. Kawaulize Maarabu kwanini walipata kipigo kwenye ile vita ya Six Day War, ndio hukoo kuhisi udhaifu kumbe mwenzako kakusubiria.
 
Wewe hata mbinu unaita ushifu. Kawaulize Maarabu kwanini wapita kipigo kwenye ile vita ya Six Day War, ndio hukoo kuhisi ushifu kumbe mwenzako kakusubiria.

Basi tumia hizo mbinu kushinda mjadala huu kwa kunipa uthibitisho kuwa mungu yupo.
 
Back
Top Bottom