Complete heart transplant; rethink your faith!

Complete heart transplant; rethink your faith!

Eiyer una alergy na karanga? au kambale?

ushawahi kuona mtu aliyepata side effects za blood transfusion?

sikuhizi watu wengine tunakula dozi za malaria mara mbilimbili. kutakuwa na nguvu ya ziada kwa wanaopona mara moja sio?

mimi nina sinusitus. nikaambiwa a daktari, tukiwaweka watu fit kabisa kwenye chumba ambacho hakina hewa, wewe utazimia wa kwanza. kutakuwa na nguvu za ziasa sio?

watoto huwa wanaanza kuongea/kutambaa/kutembea katika muda tofauti. kutakuwa na nguvu za ziada sio?

kuna wanariadha walikimbia from Dar to Moro. wamefika, wamekunywa maji, mmoja akafa right after. kutakuwa ba nguvu ya ziada.

kuna wamama hawasikiagi uchungu wakati wa labour.

etc etc

kwakweli kumuingiza Mungu on such medical issues shows Ignorance...and too much faith....hata Yesu alisema imani kama mbegu ya haladari tu inatosha kuamsha mlima.

but i'll leave u guys to it..

Aisee .......

Hebu slow down kwanza maana naona una speed sana na unataka kuandika mambo mengi sana kwa wakati mmoja

Nilichokiandika hujakielewa na huenda ni kwasababu hujajua msingi wa kilichonifanya niandike,nilichoandika nimeandika kutokana na swali ambalo limeulizwa na sijaona mtu akilijibu

Nafahamu kuwa watu wanaweza kutopona ugonjwa unaofanana kwasababu tofauti tofauti kama vile kuchelewa kutibiwa au kupata dawa tofauti n.k

Lakini swali lililoulizwa ni tofauti sana kwani linazungumzia watu wa ugonjwa ule ule na mazingira yote ya maradhi yanafanana na wote walitinbiwa na daktari mmoja kwenye mazingira yale yale

Kwa kifupi vitu vyote vimefanana kwenye kesi zote mbili lakini mmoja anapona na mwingine anakufa
Hapo ndipo tunahoji sababu,hakuna aliyejibu hili kisayansi tofauti na kupiga kelele tu hapa

Mifano yako uliyotoa ya watu na watoto sijui wanaotambaa au wanariadha haifai kwenye aina ya swali lililoulizwa!
 
Aisee .......

Hebu slow down kwanza maana naona una speed sana na unataka kuandika mambo mengi sana kwa wakati mmoja

Nilichokiandika hujakielewa na huenda ni kwasababu hujajua msingi wa kilichonifanya niandike,nilichoandika nimeandika kutokana na swali ambalo limeulizwa na sijaona mtu akilijibu

Nafahamu kuwa watu wanaweza kutopona ugonjwa unaofanana kwasababu tofauti tofauti kama vile kuchelewa kutibiwa au kupata dawa tofauti n.k

Lakini swali lililoulizwa ni tofauti sana kwani linazungumzia watu wa ugonjwa ule ule na mazingira yote ya maradhi yanafanana na wote walitinbiwa na daktari mmoja kwenye mazingira yale yale

Kwa kifupi vitu vyote vimefanana kwenye kesi zote mbili lakini mmoja anapona na mwingine anakufa
Hapo ndipo tunahoji sababu,hakuna aliyejibu hili kisayansi tofauti na kupiga kelele tu hapa

Mifano yako uliyotoa ya watu na watoto sijui wanaotambaa au wanariadha haifai kwenye aina ya swali lililoulizwa!

mimi nimeona inafaa....the point is behind every medical issue, there is a great history.

"watu wa
ugonjwa ule ule na mazingira yote ya
maradhi yanafanana na wote
walitinbiwa na daktari mmoja kwenye
mazingira yale yale"

una maanisha nini mazingira ya maradhi?

still, hali ya kuwa na wagonjwa wawili wenye hostoria EXACTLY ileile prior to the sickness is too ideal....

hawawezi kuwa na kazi ileile (eg. mkulima na accountant), economic status ileile physical fitness ileile, nutrition ileile, imani ile ile, walikunywa dawa zilizile kabla ya kumwona daktari, emotional state ileile, social life ileile etc. all those play great part in one's physical and mental health and recovery process.

inakuwaje mtu unatoa mfano wa namna hiyo??
 
you guys can search on psychological influences on
surgical recovery
 
Kama unaamini kwamba Mungu hayupo na Daktari ndio mwisho wa mambo yote, kwa nini wagonjwa wengine wasipone, wengine wapone, wengine wafe na wengine wasife?

Kwa maana nyingine unamaanisha mungu ndiye anayeamua huyu afe na huyu asife?.
Nikiumwa ntaenda hospitali kutibiwa lakini bado nna amini kwamba Mungu anawatumia madaktari kuleta uponyaji kwangu.
Huo uponyaji kwa nini uwe na mashaka ndani yake?,kwamba inawezekana kufa ama kupona?.Kwa nini basi aache watu wafe na wengine wapone?.Yule anayekufa anatofauti gani na aliyepona kwa mtazamo wako?
 
mimi nimeona inafaa....the point is behind every medical issue, there is a great history.

"watu wa
ugonjwa ule ule na mazingira yote ya
maradhi yanafanana na wote
walitinbiwa na daktari mmoja kwenye
mazingira yale yale"

una maanisha nini mazingira ya maradhi?

still, hali ya kuwa na wagonjwa wawili wenye hostoria EXACTLY ileile prior to the sickness is too ideal....

hawawezi kuwa na kazi ileile (eg. mkulima na accountant), economic status ileile physical fitness ileile, nutrition ileile, imani ile ile, walikunywa dawa zilizile kabla ya kumwona daktari, emotional state ileile, social life ileile etc. all those play great part in one's physical and mental health and recovery process.

inakuwaje mtu unatoa mfano wa namna hiyo??

Unanilaumu mimi kwa kuwa na jambo ambalo umesema ni la ki fikra zaidi

Lakini na wewe unaendelea kufanya jambo lile lile ambalo umelipinga kwangu kwa kusema "hawawezi" hivi au "hawawezi" au vile bila kusema ni kwanini haiwezekani na kuleta ushahidi wa kutokuwezekana jambo linalokufanya na wewe uingine kwenye ishu ile ile ya kifikra zaidi

Nikuulize,inakuwaje unatoa maelezo ya namna hiyo yasiyokuwa na ushahidi wa kuonesha kuwa nimekosea?

Kwanini jambo lisijirudie hivyo hivyo?

Mi nakupa ushahidi wa watu wawili kufanya mambo yanayofanana: William Shao: Wanaotaka kuona yaliyofichika

Haya wewe ushahidi wako uko wapi?
 
Kiukweli maisha yetu yako mikononi mwa MUNGU pekee na wala si katika mikono ya madaktari ambao nao ni wanadam kama sisi
Kama mgonjwa atatibiwa na kupona basi ni mapenzi ya Mungu na kama atafariki basi ni wakati wake umefika

Always GOD is greater than every thing.
 
Unanilaumu mimi kwa kuwa na jambo ambalo umesema ni la ki fikra zaidi

Lakini na wewe unaendelea kufanya jambo lile lile ambalo umelipinga kwangu kwa kusema "hawawezi" hivi au "hawawezi" au vile bila kusema ni kwanini haiwezekani na kuleta ushahidi wa kutokuwezekana jambo linalokufanya na wewe uingine kwenye ishu ile ile ya kifikra zaidi

Nikuulize,inakuwaje unatoa maelezo ya namna hiyo yasiyokuwa na ushahidi wa kuonesha kuwa nimekosea?

Kwanini jambo lisijirudie hivyo hivyo?

Mi nakupa ushahidi wa watu wawili kufanya mambo yanayofanana: William Shao: Wanaotaka kuona yaliyofichika

Haya wewe ushahidi wako uko wapi?

*sigh*

we are talking about medical issues nawe unaingiza siasa. fine. how many such cases za kennedy na Lincoln?

ungetoa mfano wa wagonjwa wawili waliokuwa na the exact history (mental, physical and socio-economic) wakafanyiwa operation mmoja akafa, ingekuwa bora zaidi. na mfano mmoja kweli?? wakati maelfu wanakufa?

nilichosema si cha kufikirika wala sioni haja ya kutoa mfano because what i said was self evident. its normal to get different reactions to different medical procedure because WE ARE ALL DIFFERENT.

naona pia mmenda mbali kwenye surgeries. mngebaki tu kwenye pain killers. wengine wanapoa wengine hawapoi. it must be God somehow.

tunaweza tukaenda mbali zaidi na kuulizana, kifo ni ubongo kukosa oxygen au ni roho kutoka??

we will get nowhere
 
*sigh*

we are talking about medical issues nawe unaingiza siasa. fine. how many such cases za kennedy na Lincoln?

ungetoa mfano wa wagonjwa wawili waliokuwa na the exact history (mental, physical and socio-economic) wakafanyiwa operation mmoja akafa, ingekuwa bora zaidi. na mfano mmoja kweli?? wakati maelfu wanakufa?

nilichosema si cha kufikirika wala sioni haja ya kutoa mfano because what i said was self evident. its normal to get different reactions to different medical procedure because WE ARE ALL DIFFERENT.

naona pia mmenda mbali kwenye surgeries. mngebaki tu kwenye pain killers. wengine wanapoa wengine hawapoi. it must be God somehow.

tunaweza tukaenda mbali zaidi na kuulizana, kifo ni ubongo kukosa oxygen au ni roho kutoka??

we will get nowhere

Well said mkuu
 
kama Mungu ndio nguvu ya mwisho, mbona wengine wapone na wengine wasipone? utasemaje? kuna nguvu ya juu kuliko Mungu?

mtu hajui kwanini mgonjwa huyu wa malaria kafa na yule kapona. so anasema ni Mungu.

Hivi tuna tofauti gani na watu wa kale walioamini kuwa vilema walikuwa wameadhibiwa na Mungu?

Dah. Hii thread imenishangaza kweli.

Mimi thread haijanishangaza, naomba upitie vizuri nilipoanza kutoa maelezo yangu toka mwanzo vinginevyo thread itaendelea kukushangaza.

Mungu ana nguvu ya mwisho, hajasema watu hawataugua au hawatakufa, na maelezo ya kwa nini watu wanakufa au kwa nini magonjwa yapo. Sasa kipi kikushangaze mtu akifa au kuugua, kama hayo mambo hayapo kwenye Biblia, unaweza kupinga.

Tatizo linakuja hapa, kama Daktari ana uwezo wote ina maana dunia inatakiwa iwe huru kuhusu vifo na magonjwa (Death free world) Je, Biblia imesema hivyo kwamba hakuna magonjwa wala vifo?
 
Kwa maana nyingine unamaanisha mungu ndiye anayeamua huyu afe na huyu asife?.

Huo uponyaji kwa nini uwe na mashaka ndani yake?,kwamba inawezekana kufa ama kupona?.Kwa nini basi aache watu wafe na wengine wapone?.Yule anayekufa anatofauti gani na aliyepona kwa mtazamo wako?

Nionyeshe kwenye Biblia sehemu inayoelezea kwamba tutaishi duniani milele bila vifo wala magonjwa.
Kwa sababu naona hicho cha watu kufa au kuugua wakati Mungu yupo kinakufanya usahau kwamba vitu vinaenda kwa mpangilio wake, kama kuna mahali umewahi kuona Mungu ametoa ahadi ya kuishi bila kufa au kuugua hapa duniani, naomba uniwekee hapa mkuu.

Kama haipo ina maana mtu kufa au kuugua kwa Mungu sio kitu cha ajabu. Kwa nini kiwe kitu cha kushangaza kwako.
Na ningetegemea kwa sababu Madaktari ndio wenye uwezo wote na wa mwisho kuhusu mgonjwa suala la kupona liwe asilimia 100 na pasiwe na kumtaja Mungu.

Unaongeleaje madaktari wacha Mungu ambao, pamoja na kazi nzuri wanayoifanya bado wanaamini kwamba kuna nguvu kuu iliyo juu ya uwezo wao. Shukran
 
*sigh*

we are talking about medical issues nawe unaingiza siasa. fine. how many such cases za kennedy na Lincoln?

ungetoa mfano wa wagonjwa wawili waliokuwa na the exact history (mental, physical and socio-economic) wakafanyiwa operation mmoja akafa, ingekuwa bora zaidi. na mfano mmoja kweli?? wakati maelfu wanakufa?

nilichosema si cha kufikirika wala sioni haja ya kutoa mfano because what i said was self evident. its normal to get different reactions to different medical procedure because WE ARE ALL DIFFERENT.

naona pia mmenda mbali kwenye surgeries. mngebaki tu kwenye pain killers. wengine wanapoa wengine hawapoi. it must be God somehow.

tunaweza tukaenda mbali zaidi na kuulizana, kifo ni ubongo kukosa oxygen au ni roho kutoka??

we will get nowhere

Naanza kutilia mashaka uwezo wako wa kuelewa

Wewe ulisema kuwa nilichokisema mimi hakiko kwenye uhalisia bali kiko kifikra zaidi
Nikakupa mfano wa mambo ya watu wawili tofauti kufanana

Unakuja na kuanza kusema ni mangapi, housegirl ,hebu acha mambo yako bana,ishu hapa sio mangapi au ya akina nani bali ni kama yameshawahi kuitokea au hayajawahi,umeshindwa kuelewa hili?

Nilipokuambia kuwa hili swali linahusu watu wenye ugonjwa ule ule yaani wanafanana kwa kila kitu lakini mmoja anakufa na mwingine anapona hukuelewa?

Kilichopelekea watu kushindwa kujibu swali hili ndicho hicho hicho kinachokufanya wewe ujaribu kutafuta justification ya kukana kile ninachokuambia hapa

Hata kama kungekuwa hakuna mfano wa kukupa bado isingekuwa ni sababu ya kukana jambo hilo kuwepo

Wewe huna mfano hata wa uongo wa ku back up madai yako na sio kweli yenyewe ni self evident kwakuwa hakuna kitu kama hicho bali unatoa madai na unaweka na ushahidi

Kitendo cha watu kupata matibabu na mmoja akapona mwingine akafa hakiwezi kukusaidia kwakuwa naweza kukupa mifano ambayo umeitoa hapo kuwa watu wanaweza kupata tatizo lile lile lakini kuna mambo kama muda wa kuugua na aina ya dawa walizopata

Lakini mimi nazungumzia jambo ambalo wagonjwa wote wawili wanafanana kwa kila kitu na mfano nimekupa ambao wewe uliniambia nikupe na ulidai mfano wa mambo kufanana bila kusema ni aina gani ya mambi hayo

Nakushangaa sasa unabadilika!
 
Last edited by a moderator:
Nionyeshe kwenye Biblia sehemu inayoelezea kwamba tutaishi duniani milele bila vifo wala magonjwa.
Kwa hiyo kifo kiliwekwa na mungu?.Ama ilikuwa adhabu?.Ingekuwa vipi Adam na hawa wasingekosa mbele za mungu?.
Ulishawahi kujiuliza tungeishije watu wote tangu uumbaji mpaka leo?.Huoni kwamba habar hizo ni za kutunga?
Kwa sababu naona hicho cha watu kufa au kuugua wakati Mungu yupo kinakufanya usahau kwamba vitu vinaenda kwa mpangilio wake,
Kama kila kitu ni kwa mpangilio wake basi hata mateso,magonjwa,umaskini,vifo ni mpango wake pia.Je huyu si ndio mungu wa upendo?upendo uko wapi katika hii dunia ilojaa maovu?
kama kuna mahali umewahi kuona Mungu ametoa ahadi ya kuishi bila kufa au kuugua hapa duniani, naomba uniwekee hapa mkuu.
We si umeshasema kila kitu anapanga yeye?.Kwa hiyo tujue kwamba maovu pia ni mpango wa mungu.
Kama haipo ina maana mtu kufa au kuugua kwa Mungu sio kitu cha ajabu. Kwa nini kiwe kitu cha kushangaza kwako.
Na ningetegemea kwa sababu Madaktari ndio wenye uwezo wote na wa mwisho kuhusu mgonjwa suala la kupona liwe 100% na pasiwe na kumtaja Mungu.
Sijasema madaktar wana uwezo 100%,lakini inaonekana uwezo wa mungu wako ni pale daktar anaposhindwa kuzuia kifo.Pale mgonjwa anapokufa ndipo mungu anaonekana kutenda kazi yake!.
Unaongeleaje madaktari wacha Mungu ambao, pamoja na kazi nzuri wanayoifanya bado wanaamini kwamba kuna nguvu kuu iliyo juu ya uwezo wao. Shukran
Sio lazima madaktar waamini hakuna mungu.
 
Lakini mimi nazungumzia jambo ambalo wagonjwa wote wawili wanafanana kwa kila kitu na mfano nimekupa ambao wewe uliniambia nikupe na ulidai mfano wa mambo kufanana bila kusema ni aina gani ya mambi hayo

Nakushangaa sasa unabadilika!

Ukiona hivyo ujue anaanza kuujua ukweli.Ukwel humuweka mtu huru karibu housegirl
 
Last edited by a moderator:
.........
Sijasema madaktar wana uwezo 100%,lakini inaonekana uwezo wa mungu wako ni pale daktar anaposhindwa kuzuia kifo.Pale mgonjwa anapokufa ndipo mungu anaonekana kutenda kazi yake!.....

Yaaani unapingana hadi na mleta thread, aliyesema kwamba anashangazwa na watu kumshukuru Mungu pale mgonjwa anapopona badala ya daktari aliyefanya kazi yake vizuri na inayoonekana na kila mtu. Sasa kama unasema uwezo wa Mungu unaonekana pale mgonjwa anapokufa hii thread ina maana gani?

Na log off.
 
Yaaani unapingana hadi na mleta thread, aliyesema kwamba anashangazwa na watu kumshukuru Mungu pale mgonjwa anapopona badala ya daktari aliyefanya kazi yake vizuri na inayoonekana na kila mtu. Sasa kama unasema uwezo wa Mungu unaonekana pale mgonjwa anapokufa hii thread ina maana gani?

Na log off.

Bora tu mkuu uondoke maana kuna watu wa ajabu sana!
 
Yaaani unapingana hadi na mleta thread, aliyesema kwamba anashangazwa na watu kumshukuru Mungu pale mgonjwa anapopona badala ya daktari aliyefanya kazi yake vizuri na inayoonekana na kila mtu. Sasa kama unasema uwezo wa Mungu unaonekana pale mgonjwa anapokufa hii thread ina maana gani?

Na log off.

Sijampinga mleta mada,bali nahisi hujaelewa tumefikaje hapa.
 
Free ideas, vipi rafiki, mbona umekataa kujibu swali langu ili na mimi nikujibu kuhusu Mungu aliye kuumba?
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom