Free ideas
JF-Expert Member
- Jun 11, 2013
- 3,497
- 2,026
Ishmael swali lako nimeshakujibu sema tu inawezekana hujaridhika na jibu maana kwako maneno kutaka kujua na kuhitaji ushahidi ni sawa.Free ideas, vipi rafiki, mbona umekataa kujibu swali langu ili na mimi nikujibu kuhusu Mungu aliye kuumba?
Mimi nina swali: Hivi wewe unao ushaidi kuwa hakuna Mungu?
Inawezekana hata hujui mada yako inahusu nini
Uliposema "sayansi" hukujua kuwa kuna uhusiano na baiolojia na kemia?
Masuala ya "upako" yanatoka wapi?
Halafu wewe na yule mwenzako mnakuwa kama mlikuwa ni waumini wa yule mungu aliyeko kule mashariki ya kati kule kwenye mafuta mengi,maana hoja zenu zinataka kufanana na hao jamaa!
kaka unachokonoa sana mara watu wanaoswali kwa kugeukia upande flan mara kwwnye mafuta unawashwa na nn? nn kinakuwasha ukunwe? endeleeni kumuamini huyo mungu wenu aliyezaliwa bethreem mtoto wa maria mungu mwenye ukoo unaoendelea duniani au mwenye kabila au mungu aliychapwa na wanadam wakati nipo mdoogo kuna mzee aliniambiaga kuwa imani ni ujinga ukitaka kuwa na imani lazma uwe mjinga hata wa kuhoji ule ukoo wa Mungu wa waisrael unaishi wapi gaza,bethreem, au tel aviv??? au umeshambuliwa na hamas?
kwa nini nisielewe? SI unasema walifanikisha upasuaji na kisha Mungu ndio anapewa asante? Kwani madaktari walifanya upasuaji bure? Utasema ujuzi wao waliulipia. Nauliza, aliyefanikisha kulipia kupata ujuzi huo ni nani? Pengine ni wazazi, taasisi fulani, au serikali. Basi kwa nini asishukuru hao? Nao taasisi hizo waliwezeshwa na nani? Utakuta unarudi rivasi hadi unakutana na Mungu. Upo hapo?unaelewa hata kinachozungumziwa lakini?!!
hii picha inaelezea kiuhalisia uwezo wako wa kufikiri gud....... ndo mwisho wako wa kufikili
Naanza kutilia mashaka uwezo wako wa kuelewa
Wewe ulisema kuwa nilichokisema mimi hakiko kwenye uhalisia bali kiko kifikra zaidi
Nikakupa mfano wa mambo ya watu wawili tofauti kufanana
Unakuja na kuanza kusema ni mangapi, housegirl ,hebu acha mambo yako bana,ishu hapa sio mangapi au ya akina nani bali ni kama yameshawahi kuitokea au hayajawahi,umeshindwa kuelewa hili?
Nilipokuambia kuwa hili swali linahusu watu wenye ugonjwa ule ule yaani wanafanana kwa kila kitu lakini mmoja anakufa na mwingine anapona hukuelewa?
Kilichopelekea watu kushindwa kujibu swali hili ndicho hicho hicho kinachokufanya wewe ujaribu kutafuta justification ya kukana kile ninachokuambia hapa
Hata kama kungekuwa hakuna mfano wa kukupa bado isingekuwa ni sababu ya kukana jambo hilo kuwepo
Wewe huna mfano hata wa uongo wa ku back up madai yako na sio kweli yenyewe ni self evident kwakuwa hakuna kitu kama hicho bali unatoa madai na unaweka na ushahidi
Kitendo cha watu kupata matibabu na mmoja akapona mwingine akafa hakiwezi kukusaidia kwakuwa naweza kukupa mifano ambayo umeitoa hapo kuwa watu wanaweza kupata tatizo lile lile lakini kuna mambo kama muda wa kuugua na aina ya dawa walizopata
Lakini mimi nazungumzia jambo ambalo wagonjwa wote wawili wanafanana kwa kila kitu na mfano nimekupa ambao wewe uliniambia nikupe na ulidai mfano wa mambo kufanana bila kusema ni aina gani ya mambi hayo
Nakushangaa sasa unabadilika!
kaka unachokonoa sana mara watu wanaoswali kwa kugeukia upande flan mara kwwnye mafuta unawashwa na nn? nn kinakuwasha ukunwe? endeleeni kumuamini huyo mungu wenu aliyezaliwa bethreem mtoto wa maria mungu mwenye ukoo unaoendelea duniani au mwenye kabila au mungu aliychapwa na wanadam wakati nipo mdoogo kuna mzee aliniambiaga kuwa imani ni ujinga ukitaka kuwa na imani lazma uwe mjinga hata wa kuhoji ule ukoo wa Mungu wa waisrael unaishi wapi gaza,bethreem, au tel aviv??? au umeshambuliwa na hamas?
wala usitilie mashaka Intelligence yangu Mkuu Eiyer. inawezekana ni wewe mwenye tatizo.
how contradictory are your last two paragraphs? hopefully waliokupa like wamekuelewa na si ushabiki.
unasema on your 7th paragraph kuwa "nachosema sio self evident" halafu on the next paragraph unasema unaweza kunipa mifano ya watu walioreact differently to the same medical procedure.
SIKUELEWI!
so this thread is about the "extraordinary", things we dont see everyday, kama huyo Lincoln na Kennedy. and the best explanation is God.
I rest my case.
Eiyer umemchokonoa sana huyu jamaa. Amepata jazba.
Amejichokonoa mwenyewe wala sio mimi .....!!
Eiyer umemchokonoa sana huyu jamaa. Amepata jazba.
Sasa anaewashwa kati yangu na wewe nani?
Kwani wewe unasali kuelekea wapi?
Kama unasali kuelekea upande fulani,hilo ni kosa la nani?
Mimi kusema unasali kuelekea huko ni kosa?
kaka unachokonoa sana mara watu wanaoswali kwa kugeukia upande flan mara kwwnye mafuta unawashwa na nn? nn kinakuwasha ukunwe? endeleeni kumuamini huyo mungu wenu aliyezaliwa bethreem mtoto wa maria mungu mwenye ukoo unaoendelea duniani au mwenye kabila au mungu aliychapwa na wanadam wakati nipo mdoogo kuna mzee aliniambiaga kuwa imani ni ujinga ukitaka kuwa na imani lazma uwe mjinga hata wa kuhoji ule ukoo wa Mungu wa waisrael unaishi wapi gaza,bethreem, au tel aviv??? au umeshambuliwa na hamas?
nlifikir FREE IDEAS anabishana na kiumbe timamu?
usingefikiri ingekuwa vipi?
so humu ndani ni mabishano?
nipe tofauti ya mtu na kiumbe.
embu fikiri kabla ya kuandika eiyer is more smart than that mangopickle brain of yours
unajua maana ya mungu?