Usimesikai juzi, kamchukua mkuu wa wilaya kuwa TIC manager, MTU ambaye hajua lolote kuhusu uwekezaji.Mkuu hapa umeongea kiushabiki kidogo, Ingekuwa suala la democracy ndo kigezo, basi hivyo viwanda vyote vingekuja tz, maana kwa recent records sisi tuko juu ya Kenya!
Shida kubwa iko kwenye sera za uwekezaji, hapa ndo tunakwama, probably na heavy taxation.
TIC hawafanyi kazi yao vizuri, kwanza wamekuwa na shida tangu yule mama akatae mshahara mpya! Lakini hata kabla ya hapo huyo mama alikiwa anaendesha tic kwa remote,
Hacha wafungulie huko. Si tunaboresha mazingira kutakuwa na viwanda vya kila aina. Umeme wenyewe kwnya wanategemea huku. Gesi tuna uwezo wakulisha Afrika mashariki na kati. It is just the matter of time....Wapendwa,
Napenda kujuzwa kuna nini cha ziada ambacho hatuna sisi Tanzania kampuni zote za magari wameamua kuunda viwanda vyao nchini Kenya na sio Tanzania kwa ajili ya kuhudumia soko la ukanda wa Afrika Mashariki.
Walianza Toyota, wakaja Volkswagen, Peugeot, Ashok Leyland, Iveco now Volvo pia wametangaza jana kufungua kiwanda Mombasa.
I thought ukiwa Tanzania unaweza kuaccess soko la SADC na EAC kwa pamoja. Why are we not using that to our advantage? Tatizo liko wapi? Ni umeme, maji, business start-up procedures au tax incentives?
Ninachojua kuwa na viwanda vya kuassemble magari ni very big business ambayo sisi watanzania hatutakiwi kupuuza hata kidogo.
Nishauri tu serikali ifanye study jinsi ya kuvutia uwekezaji kwenye hii sekta ya kuassemble magari tuchangamkie before its too late. Pia kwenye textile & apparel pamoja na pharmaceuticals.
Nawasilisha.
Reading
1. Volvo Expands Truck Building Into Fast-Growing East Africa
2. French Automaker Peugeot To Assemble Cars In Kenya
3. Volkswagen targets East Africa with Kenya car assembly plant
4. India’s Ashok to set up assembly plant in Kenya
5. Italian automaker makes comeback with Sh2.3b assembly plant
Hapo umenena. Kisha senior management wa kiwanda chako watakosa work permits na kufurushwa out of the countryLeta kiwanda chako Tanzania, baada ya miezi 5 tunataifisha mitambo yako yote na tunakunyang'anya passport usirudi kwenu. achana na tz , tunajua tunaelekea wapi!
Mkuu watch out asali huliwa na mrinaHacha wafungulie huko. Si tunaboresha mazingira kutakuwa na viwanda vya kila aina. Umeme wenyewe kwnya wanategemea huku. Gesi tuna uwezo wakulisha Afrika mashariki na kati. It is just the matter of time....
Under Trump US is facing low unemployment rate ever for the past 28yrs, increasing trust of manufacturing industry, decrease of tax for businesses and middle class, low energy price !you are facing the same problem that the U.S.A will face under Trump, go figure
Nilimsikia na kulaani hicho kitu, japo huyo boss mpya ana cv nzuri ya mambo ya kibiashara lakini ukada wake unatia mashakaUsimesikai juzi, kamchukua mkuu wa wilaya kuwa TIC manager, MTU ambaye hajua lolote kuhusu uwekezaji.
Acha kuropoka kama huna takwimudemokrasia kwa sasa Kenya inaongoza Africa mashariki. Usifananishe Kenya na vitu vya kipumbafu.
Hapo umenena mkuu, kuna watu magari yalichakaa mwaka 47 walishauza scrapper na wamesahau kama waliwahi kumiliki hayo magari walipoenda TRA kulipia magari mengine waliyonunua wakadaiwa kodi inayozidi thamani ya gari alilokwisha lisahau.The most suprising thing to me is that if you have a dormant company in tz, you can file nil returns lazima ulipe tax even without doing business, very funny
Hii thread sijui wenyewe wameisoma? Hii ndo fact, decision makers zero brain halafu rais anashabikia eti wao wajue KKK tu! Go ahead Kenya go.Mngekua mnajiuliza maswali kama haya nina uhakika by now mngekua mumepiga hatua kali, sio kule kujipiga kifua kila siku bila kutumia akili na kuponda Kenya kama kwamba ndio adui wenu mkubwa.
Mleta mada huu uzi umedhihirisha uzalendo wako kwa nchi yako, na unaonyesha upo open minded and you have best interest for your country.
Tatizo la nchi yenu kuna sera nyingi mnafaa kuanza kuzifanyia kazi, nilishangaa sana kwenye sakata la vyeti feki eti kwamba vigezo vya mawaziri na wakuu wa mikoa na wanasiasa ni darasa la saba, kwamba ukijua kuandika na kusoma inatosha na unaweza ukasimamia wizara nyeti.
Kauli kama hizo lazima zinatamausha wasomi kwenye nchi yenu, maana wanaishia kupewa maagizo na amri kutka kwa hao hao viongozi ambao elimu ni zero.
How?Back in the 90's Kenya used be the power house for motor assembly in EA, 2nd hand cars imports is what killed the industry but I can see we are slowly getting back on our feet. Welcome Volvo.
Umesema kweli ndugu,Huku kwetu urasimu ni mwingi...
Kuna jamaa yangu alitaka kufanya biashara ya Mafuta(Service Station) huko mkoani.
Alipoenda NEMC ili kupata Environment Impact Assessment (EIA) tukaambiwa mchakato wake unatulizimu tuwe na almost Milioni 15....
Ikabidi tupige uturn na makabrasha yetu tufungie kabatini...
Maana huo utitiri wa regulators ni hatari..
BRELA
TRA
EWURA
Wakala wa Vipimo (WMA)
NEMC
TOZO ZA MANISPAA
Sasa NEMC tu watu wanataka mzigo huo..
Huko kwingine si ndo itakuwa balaa..
Kwanini hizo charges wasivunje mtu akalipa kwa piecemeal...!?
Halafu kuna mtu anaitwa mshauri muelekezi na anakula mpunga mrefu...
Yaan ni balaa
Sasa hiyo ni Petrol Station..
What about Kiwanda..
Kwakweli wawekezaji wa Tanzania wana moyo sana...
Hizi ndizo akili za ki ccm ccm ccm . .Soko la ndani ni muhimu pia, kwa nini walete kwako na wasipeleke Kenya wanaonunua magari mapya mengi kuliko Tanzania? Sioni kama viwanda kama hivi ni endelevu kwa mazingira halisi ya nchi yetu. Kwa SADC viwanda vya Afrika Kusini vinawatosha makampuni hayo ya nje.
Don't forget Tz President is also a Chairman of CHAMA CHA MAJA...I . . , and so he is a Top Gov Leader cum political leader . .Investing in Tz is unpredictable as politicians keep on interfering with the govt plans.