CONCERN: Why are all car manufacturers setting up shop in Kenya? Iko wapi Tanzania ya viwanda?

Usimesikai juzi, kamchukua mkuu wa wilaya kuwa TIC manager, MTU ambaye hajua lolote kuhusu uwekezaji.
 
I can certainly say that, the EPZ terms & conditions are not suitable to attract those big investors due to the fact that they are implementing plans that they even themselves don't know what is exactly inside . Just think twice about what Nape said regarding contradiction of the concept "Tanzania ya Viwanda" , we as the nation we don't have common interpretation of that concept, so how will it be possible even for those giant investors to think about us.

EPZ please wake up... time for day dreaming is over. Convince them ,they will understand & they will invest .
 
Hacha wafungulie huko. Si tunaboresha mazingira kutakuwa na viwanda vya kila aina. Umeme wenyewe kwnya wanategemea huku. Gesi tuna uwezo wakulisha Afrika mashariki na kati. It is just the matter of time....
 
Mimi nafikiri hiyo ni changamoto kwetu yakuibua fursa yakudeal na hivyo viwanda viwekavo Kenya.Bado atujachelewa.Kwakua Kenya zinazowekwa ni assembling plants,sisi tunaweza kuwai tukatafuta wawekezaji wakuzalisha vipuli kama iron sheets,batteries nk. kisha tukawa tunawasambazia wao.Tuna malighafi nyingi sana ambazo tunaweza kuzitumia kwakushare katika uzalishaji.
 
Tz kuna nini takataka kila kitu kibaya labda wanawake lakini vingine vibayaaaa tu
 
Chanzo cha tatizo ni pamoja na haya:

1. Shule binafsi: Kenya walijenga shule nyingi kwa njia ya “harambee” miaka ya 70 – 80, wakati kwetu kulikuwa na katazo la kujenga shule za binafsi, na nyingi ya zilizokuwepo zilinyanganywa.

2. Mitaala: Kenya waliimarisha na kudumisha mfumo wa mitaala uliokuwepo wakati sisi tulianza elimu iliyoitwa ni ya "ujamaa na kujitegemea". Hii ilikazania zaidi kulima shuleni na kufanya mchakamchaka. Ilisimamiwa kwa dhati na Waziri Chediel Mgonja. Matokeo ya hili jaribio ni kwamba Kenya wanajitegemea wenyewe kibajeti wakati sisi hakuna ujamaa wala kujitegemea.

3. Urasimu: Kila kitu unachotafuta serikalini Tanzania kwa njia za halali huchukua muda mrefu sana. Kupata hati miliki kunachukua hata miaka 10. Kulipia tu kodi ya kiwanja lazima usote sana ofisi ya Wizara ya Ardhi. Kila hatua ni tatizo na usumbufu.

4. Udanganyifu: Watanzania wengi wamezoea udanganyifu. Hili ni zao la formation mbovu huko kwenye mashule ya serikali. Ni kitu kilichojijenga muda mrefu. Udokozi wa mali za kiwanda au hoteli ni kawaida kwa wengi. Tatizo la wingi wa wafanyakazi hewa na vyeti feki linatokana na hii tabia.

5. Mfumo mbaya wa kodi: Viwango vikubwa sana vya kodi hukimbiza wawekezaji. Tungetoza VAT ya 10% wakwepaji wangepungua na pengine tungekusanya kiasi kikubwa zaidi.

6. Miundo mbinu mibovu: Hadi leo maji, umeme, na njia za usafiri vipo katika hali mbaya sana. Utawekezaji pasipo na umeme wala maji?

Ufumbuzi:

1. Kupiga vita udanganyifu katika elimu kunakofanywa sasa na Rais kuendelee. Hili liwe zoezi endelevu.

2.Tuzidi kudumisha shule binafsi, hasa za taasisi za kidini.

3. Ujenzi unaendelea wa reli, barabara na viwanja vya ndege udumishwe. Usimamizi dhabiti bila kupepesa macho unaofanywa na Rais uwe endelevu.

4. Mfumo ulioanza wa kudhibiti wafanyakazi feki umulike pia wafanyakazi wavivu. Serikali imejaa watu wenye utamaduni wa uvivu. Timua ya Magufuli iwafikie. Safisha kote mpaka nchi inyoke.
 
Leta kiwanda chako Tanzania, baada ya miezi 5 tunataifisha mitambo yako yote na tunakunyang'anya passport usirudi kwenu. achana na tz , tunajua tunaelekea wapi!
Hapo umenena. Kisha senior management wa kiwanda chako watakosa work permits na kufurushwa out of the country
 
Hacha wafungulie huko. Si tunaboresha mazingira kutakuwa na viwanda vya kila aina. Umeme wenyewe kwnya wanategemea huku. Gesi tuna uwezo wakulisha Afrika mashariki na kati. It is just the matter of time....
Mkuu watch out asali huliwa na mrina
 
you are facing the same problem that the U.S.A will face under Trump, go figure
Under Trump US is facing low unemployment rate ever for the past 28yrs, increasing trust of manufacturing industry, decrease of tax for businesses and middle class, low energy price !
 
Usimesikai juzi, kamchukua mkuu wa wilaya kuwa TIC manager, MTU ambaye hajua lolote kuhusu uwekezaji.
Nilimsikia na kulaani hicho kitu, japo huyo boss mpya ana cv nzuri ya mambo ya kibiashara lakini ukada wake unatia mashaka
 
The most suprising thing to me is that if you have a dormant company in tz, you can file nil returns lazima ulipe tax even without doing business, very funny
Hapo umenena mkuu, kuna watu magari yalichakaa mwaka 47 walishauza scrapper na wamesahau kama waliwahi kumiliki hayo magari walipoenda TRA kulipia magari mengine waliyonunua wakadaiwa kodi inayozidi thamani ya gari alilokwisha lisahau.
 
Hii thread sijui wenyewe wameisoma? Hii ndo fact, decision makers zero brain halafu rais anashabikia eti wao wajue KKK tu! Go ahead Kenya go.
 
Back in the 90's Kenya used be the power house for motor assembly in EA, 2nd hand cars imports is what killed the industry but I can see we are slowly getting back on our feet. Welcome Volvo.
How?
 
Umesema kweli ndugu,

Kuwekeza Tanzania ni lazima uwe kichaa . .

CCM CCM CCM CCM CCM . . .
 
Hizi ndizo akili za ki ccm ccm ccm . .
 
Investing in Tz is unpredictable as politicians keep on interfering with the govt plans.
Don't forget Tz President is also a Chairman of CHAMA CHA MAJA...I . . , and so he is a Top Gov Leader cum political leader . .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…