Condom ilipasuka nikiwa katikati ya tendo. Ninaishi kwa hofu bado

Leo naona nyuzi za majuto zimetamalaki, kule kuna uzi wa gono na huku kuna uzi wa ndomu kuchanika...

Kijana relax upo safe, wiki 2 tu zingetosha kuonesha maambukizi...
 
Nilishapata kisa cha namna hiyo, nilikuwa sjampima huyo dada, baadae tulipima, yeye akawa positive, mi negative, baada ya miez mitatu nikarudia kupima, nilikuwa salama. Tulia na rudia kupima baadae
 
Hapa kichwa kinaniuma juzi nmeuza mechi alisema tupime nkamwambia poa hakuleta vipimo akanambia tutatumia PEP nkamuuliza kwanini PEP nan atakunywa?
Nlkua nshapiga 1 tayar nkakandamiza vingine vitatu

If I die I die
 
🤣🤣🤣🤣 Wasiwasi wako tu boss
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…