Confession: I miss U so Much NAKADORI

Confession: I miss U so Much NAKADORI

Nsikuchoshe na Usinchoshe, tusichoshane!.

Wewe ni mwanamke wa pekee sana ambaye nimewahi kufahamiana nae.

Mwanaume shababi wa kikurya nimekumiss sana mama na nakuhitaji.

Ujumbe huu ni wako mtoto mzuri Nakadori
Ina maana tangu kipindi kile unamaliza story Yako...anakuita mbezi beach royal oven.... Ulijua anataka akununulie kuku kwa akili Yako!!!??

hukujiongeza tu!? Halafu anakusisitiza ukuje menyewe!!!......

Alikuwa hakuitii kukununulia kuku!.. bali alikuwa na hamu ya kukupa papa!...

Wee Mkurya wa wapi poti!? Unatuangusha.....!

Watu wengine mnachezea bahati....
 
Ina maana tangu kipindi kile unamaliza story Yako...anakuita mbezi beach royal oven.... Ulijua anataka akununulie kuku kwa akili Yako!!!??

hukujiongeza tu!? Halafu anakusisitiza ukuje menyewe!!!......

Alikuwa hakuitii kukununulia kuku!.. bali alikuwa na hamu ya kukupa papa!...

Wee Mkurya wa wapi poti!? Unatuangusha.....!

Watu wengine mnachezea bahati....
Mraa hajui lugha za Dar, usimlaumu.
 
Dah! Hivi ndiyo kusema akina mama hamjui kupenda, au!! Mbona nyuzi zote zinawahusu tu wababa kuwapenda nyinyi!!
Jamani na nyinyi muwe mnatuanzishia nyuzi za kutupenda basi!! 😇
 
Hali ni ngumu kwakweli mpaka sasa pamoja na kuwa winning probability Yao kuwekwa 3% ukilinganisha na wanaume ambao winning probability ilikuwa 97% lakini bado tumepigwa bao haionekani dalili uam men kushinda hii mechi
 
Back
Top Bottom