Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
Wanataka vya bure, me pm hata wakiitoa hainiathiri. Mods toeni pm yangu 😎Wanafunga pm kwa sababu mnataka vya bure 😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanataka vya bure, me pm hata wakiitoa hainiathiri. Mods toeni pm yangu 😎Wanafunga pm kwa sababu mnataka vya bure 😂
Ina maana tangu kipindi kile unamaliza story Yako...anakuita mbezi beach royal oven.... Ulijua anataka akununulie kuku kwa akili Yako!!!??Nsikuchoshe na Usinchoshe, tusichoshane!.
Wewe ni mwanamke wa pekee sana ambaye nimewahi kufahamiana nae.
Mwanaume shababi wa kikurya nimekumiss sana mama na nakuhitaji.
Ujumbe huu ni wako mtoto mzuri Nakadori
Mraa hajui lugha za Dar, usimlaumu.Ina maana tangu kipindi kile unamaliza story Yako...anakuita mbezi beach royal oven.... Ulijua anataka akununulie kuku kwa akili Yako!!!??
hukujiongeza tu!? Halafu anakusisitiza ukuje menyewe!!!......
Alikuwa hakuitii kukununulia kuku!.. bali alikuwa na hamu ya kukupa papa!...
Wee Mkurya wa wapi poti!? Unatuangusha.....!
Watu wengine mnachezea bahati....
Nikupe maarifa aku unblock au umeshakata tamaa?Kumbe ndo maana Palina kaniblock? Maskini mtoto wa watu hajui babu nina mamilioni ya pensheni
Nilishawahi kusubiria papai chini nguzo ya umeme kwa miaka mitano.... ndio nije kukata tamaa kwa mrembo? Lete maujuzi hayo ndugu yangu.... Nami nitakuwekea siti mbinguni...Nikupe maarifa aku unblock au umeshakata tamaa?
Nipe location yako nikuletee huyo Palina kabla jua halijazama.Nilishawahi kusubiria papai chini nguzo ya umeme kwa miaka mitano.... ndio nije kukata tamaa kwa mrembo? Lete maujuzi hayo ndugu yangu.... Nami nitakuwekea siti mbinguni...
Hii janja yako meistukia. Mpaka umfikishe utakuwa ushakula tunda kimasiharaNipe location yako nikuletee huyo Palina kabla jua halijazama.
Boss huku kambi ya fisi uaminifu ni kipaumbele chetu, utaletwa hadi mlangoni mtoto akiwa mbichi hajapigwa hata busu.Hii janja yako meistukia. Mpaka umfikishe utakuwa ushakula tunda kimasihara
Sometimes asubuhi tunamlaumu Shetani au PombeWazee hatunaga mbambamba ni kumshika mkono tu mdada kisha akilegea tunasema it is an accident 😍
Kabisa 😂Sometimes asubuhi tunamlaumu Shetani au Pombe
Ole wako hii trend ikupite 🤣
ukute ni avatar ya kike tu ndipo utapochanganyikiwaUmewahi kukutana naye physical au ndio kiherehere cha kuvutiwa na picha ila anayekuvutia ni kidume mwenzio!?
Kuwa makini muraa
[emoji1787][emoji1787]mimi niko team dronedrake [emoji23]
Ishanipita my wanguOle wako hii trend ikupite 🤣
Na ndivyo ilivyo 😂ukute ni avatar ya kike tu ndipo utapochanganyikiwa