Martin Luther Jr
JF-Expert Member
- Apr 19, 2017
- 722
- 207
Hebu elezea kidogoMitihani ya hapa dunian
1.Mali
2.Wanawake
3.Watoto
HahahaWewe utakua fundi wa haya mambo, mpaka umegundua kuwa hii n Tamthilia
Mkuu mbona unasimulia hiyo story kama ulikuwepo?kuficha siri au kutunza siri ni sawa na kufuliwa mfu mmoja, asa una confess madudu yako hapa una dhani utasamewa, jutia ulicho fanya na fanya toba ya siri kwa mungu wako na jutia na amini kua ameku samehe ila sio kuelezea ushetani wako hapa doesnt work for u, why na sema hivi? kuna kisa kimoja zamani zamaa za Nabii Mussa, kuna mama alikua na mwanae wakiume anaishi nae tuh, kila siku wimbo wake mmoja tuh kwa huyo mwanae ulikua mwanangu lini utaoa, mwana: jibu mama aaarrggghhh weniache nitao tuh, huyu mwana kila siku alikua anaingia wanawake ghetoni watofauti mama anajiuliza hawa wanafata nini kuna nini? siku mwanae ndani kalala mama akanyata nae akazama kitandani akajifunika kwenye shuka ajue kulikoni hawa wadada. baada ya dakika mwana kapapasa kala mzigo mama yake mzazi bila kujua, yule mwana kumaliza kalala mama alitoka pale nakujutia huku akilia, na muda akashika mimba na hakumuambia mwanae alificha ile siri na akaenda mbali miaka ikaenda akajifungua mtoto wakike yule mtoto akaja akakua binti akaja ka kutana na mwanae wakapenda kumbe mtu na baba yake awaja juana, yule mtoto wakiume kamleta yule binti na kumelezea mama yake kua anataka aoe wewe sikila siku una ni sumbua kuhusu nioe huyu hapa nampenda, mama aka kata mtoto kachachama mie ndo huyu na mpenda nataka kuoa,mama ka ruhusu huku shingo upande mtu na mwanae wakaoana bila kujuana, yule mama ilimuuma huku nafsi ina msuta, siku moja alisikia kua nabii mussa yuko maeneo akamtafuta alikutana nae njiani, kama tuna vyo elewa kua mtume huyu alikua anauwezo wa kuongea na Mungu face to face, basi yule mama akamuambia Nabii naomba uniulizie hatma yangu nini baada ya hapa kufa yani mbele huku mimi ni mtu waina gani kwa nilio yafanya, basi mtu akaenda kwenye milima kule akaongea na Mungu kumaliza akawa anaondoka Mungu akamuambia una ujumbe wangu mbona uja niambia kumbe alikua amesahau akawa amekumbushwa na Mungu, akasema mwambie alikuagiza kwangu kua kuna pepo nzuri ina mgonja na kadhali mazuri kibao, basi Mtume aka kutana na yule mama akamueleza yule mama hata akawa ana lia amini Mussa aka muliza kwani umefanya nini? Yule mama akamuadisia yote na akamtuma tena Mussa akaulize pingine sio yeye Mussa kuenda tena kulizia akambiwa mwambie Moto na adhabu kali ina mngoja,, kumbe the moment ana confess yake yote kwa Mtume yule maana siri kaifichukua. anyway my point is kanaloooo omba Toba na tegemea kua umesamewa
haijakutokeeni siku ukafumaniwa unatoka na mke wa mtu..hili ni jambo la hatari kuliko umeme..mi yamenifika masaibu hayo na katu sirudii..bora niwe mwaminifu
Sio kuteleza hizo ndo mbinu zenyewe hapo uligongwa wewe..ila jamaa alikuwa anajua kbs atakugonga hivyo ndo wanaume wajanja tunavyofanya kwa wanawake wa mjini ...unatombwa km bahati mbaya vile kumbe ndo ushagongwa hivyoMaishani mwangu nimekua na uhusiano na mume wa mtu ila sikupanga itokee. Katika kumfariji nikajikuta nimeshateleza. Tuligundua kosa na hatukuendelea.
Mara nyingi watu Kama ninyi ukigundua unasalitiwa maumivu yake ni hatariSijawah saliti ndoa yangu tangu kuolewa kwangu na haitotokea abadan Yarab mwenyezi Mungu nisimamie ktk hili
Basi he was good!!!Sio kuteleza hizo ndo mbinu zenyewe hapo uligongwa wewe..ila jamaa alikuwa anajua kbs atakugonga hivyo ndo wanaume wajanja tunavyofanya kwa wanawake wa mjini ...unatombwa km bahati mbaya vile kumbe ndo ushagongwa hivyo
Hatari sana..[emoji38]Nilikuwa nimejizuia kuandika chochote Lakini sasa ngoja nifunguke tu.Mwaka 1997 nikiwa mfanyakazi wa VIRIAN (T)LTD,wilaya ya maswa.Jamaa zangu walisambaza taarifa pale kijijini kuwa Mimi ni hanithi.
Mama mmoja akajitolea kuja kuniuliza Siku moja......eti nasikia wee Emma ni hanithi,hivi ni kweli?Nikashangaa,mpaka nikashindwa cha kumjibu yule mama.Baada ya muda nikamuuliza ......kwa nini inaniuliza hivyo? Akajibu ....nataka tu kujua!.Nikamweleza....kama unataka kujua basi njoo kesho nitakujibu.Akasema sawa.Niliporudi home Siku hiyo nikawasimulia jamaa zangu,wakacheka sana!Nikagundua kwa vyovyote vile zile taarifa kuwa Mimi ni hanithi walizitoa wao!.
Nikawaabia jamaa zangu .....nyie mnachukua mademu kila siku Mimi nimetulia tu mnadhani Mimi siwezi? Kama mnataka kujua kuwa Mimi ni mzima nitawaonyesha!nitamfanya mke wa mwenye nyumba aliyetupangisha!Wakanicheka ,wakadai siwezi.
Kesho yake yule mama aliyenihoji akaja kweli.Nikamwambia njia pekee ya kukuthibitishia kuwa Mimi si hanithi ni kukut...mba tu! Akasema,ooh Mimi ni mke wa mtu! Nikamuuliza.....kama ni mke wa mtu umekuja kufanya nini? Yule mama alikuwa hakidhi vigezo vyangu,hivyo nilimuacha akaenda zake.
Nikaanza kumtongoza mke wa mwenye nyumba,akakubali!.Siku ya kumfanya, alikuja saaa 12 asubuhi ghetto,jamaa zangu walikuwa bado wapo chumbani.Iliwalazimu kuondoka kuniachia ghetto ,na nikawa nimezima tetesi walizokuwa wakiniteta.
wanataka wenyewe.....Acha ufala huo, usiji proud kutembea na wake za watu ndugu yangu. Kwani wanawake wameisha ambao hawajaolewa?
kwani ulimpa papuchinilikutana nae kwenye media fulani nikawa naumwa akanijali kuzidi bf wangu basi nilivyopona akanialika maeneo tukapiga glass kadhaa za wine nikarudi home ikawa mazoea tunatoka we have funny together na kunimwagia mapesa hapa kwa kweli aliniteka baada ya muda tukawa sehemu tulivu tunakula wine kama kawa akasogeza lips ndugu yangu nakaataaje wakati nishakula kama M fulani hivi nikatumia u fundi wangu wote kwenye kukiss hallo alidata na alikuwa hajui kukiss mshamba. na mi sema najua nilisisitiza ajali familia yake tu huku na mi anipe pesa muhimu .. nilimwacha alivyompa mkewe mimba sitaki dhambi mimi ya kutesa malaika wa bwana hasa wakiwa tumboni mwa mama zao.... mchepuko siyo dili baki njia kuu
hakuwa kaka yangukwani ulimpa papuchi
[emoji12] [emoji12] [emoji12]Basi he was good!!!
DuuhNilikuwa nimejizuia kuandika chochote Lakini sasa ngoja nifunguke tu.Mwaka 1997 nikiwa mfanyakazi wa VIRIAN (T)LTD,wilaya ya maswa.Jamaa zangu walisambaza taarifa pale kijijini kuwa Mimi ni hanithi.
Mama mmoja akajitolea kuja kuniuliza Siku moja......eti nasikia wee Emma ni hanithi,hivi ni kweli?Nikashangaa,mpaka nikashindwa cha kumjibu yule mama.Baada ya muda nikamuuliza ......kwa nini inaniuliza hivyo? Akajibu ....nataka tu kujua!.Nikamweleza....kama unataka kujua basi njoo kesho nitakujibu.Akasema sawa.Niliporudi home Siku hiyo nikawasimulia jamaa zangu,wakacheka sana!Nikagundua kwa vyovyote vile zile taarifa kuwa Mimi ni hanithi walizitoa wao!.
Nikawaabia jamaa zangu .....nyie mnachukua mademu kila siku Mimi nimetulia tu mnadhani Mimi siwezi? Kama mnataka kujua kuwa Mimi ni mzima nitawaonyesha!nitamfanya mke wa mwenye nyumba aliyetupangisha!Wakanicheka ,wakadai siwezi.
Kesho yake yule mama aliyenihoji akaja kweli.Nikamwambia njia pekee ya kukuthibitishia kuwa Mimi si hanithi ni kukut...mba tu! Akasema,ooh Mimi ni mke wa mtu! Nikamuuliza.....kama ni mke wa mtu umekuja kufanya nini? Yule mama alikuwa hakidhi vigezo vyangu,hivyo nilimuacha akaenda zake.
Nikaanza kumtongoza mke wa mwenye nyumba,akakubali!.Siku ya kumfanya, alikuja saaa 12 asubuhi ghetto,jamaa zangu walikuwa bado wapo chumbani.Iliwalazimu kuondoka kuniachia ghetto ,na nikawa nimezima tetesi walizokuwa wakiniteta.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ilikuwa kama saa tatu Usiku, nikiwa namshusha rafiki yangu pale kituoni Korogwe ya Kimara...gafla likaja gari lav 4 Min, Kill Time likasimama mbele yangu, kwa hali ya Kushangaza nikaona dereva kashuka akafungua mlango wa mbele wa Kushoto kwake akamvuta Dada kwa nguvu nje kama haitoshi akampa na Bonge la bao, kisha akaingia kwenye gari akafunga mlango na kuondoka akimwacha yule Dada. Daa mm nilimwonea huruma kwani alikuwa Akili sana, nilishuka na kumfuata yule Dada pale, ukweli alikuwa ni zaidi ya Mrembo nyuma kajaliwa haswa nikaanza kumbembeleza na nikamsihi nimpeleke kwake kama hatojali. Nilipoingia nae kwenye gari nikaanza kumhoji yule nani? Akasema mumewe, nikashangaa nikauliza kulikoni akasema huwa anamnyanyasa sana sasa amechoka, alisema anakaa mbezi ya Kimara, nikamuuliza nimpeleke Mbezi aka nyamaza, nikamwambia twende basi sehemu tukae ili apunguze mawazo akakubali, kilichoendelea huko najuta mpaka leo, kwani hata sasa hivi ndo nimetoka kumsindikiza. Tuache kuwa nyanyasa hawa watu jamani, tuta gegedewa sana..tena kiulaini. ..
Pole kwa kuingia mtegoni ila kama ulikula kavu kavu cheki afya mkuu.Wasalaam wana jamvi.
Direct kwenye point. Kumekuwa na malalamiko mengi juu ya swala la kucheat katika ndoa ( sizungumzii wapenzi ambao hawajaoana). Ili swala sidhani wahusika kama huwa wanalifurahia japokuwa mara nyingi huwa kunasababu inayopelekea kufikia huko.
Katika njia ya kujua chanzo cha ili tatizo ningependa kusikia confessions za members,ilikuwaje ukaingia kwenye huo mtego??
Nikianza na mimi. Nakumbuka siku hiyo nilipokea text ya tafadhali nipigie katika simu yangu toka kwa mke wa jirani yangu. Nilipompigia alitaka kujua nipo wapi alafu akaniambia kama naweza nifike kwake mara moja.
Baada ya mishe zangu niliweza kufika bila wasiwasi maana tumezoeana kimtindo. Kufika,nilikaribishwa sebleni then zikaanza story za hapa na pale,mwisho wa siku akaanza kunisimulia juu juu matatizo aliyokuwa nayo but akawa anaficha some details (sikuuliza sana maana nilihisi hakuwa comfortable kuyaelezea).
Tulizungumza kwa muda mrefu kidogo nikijaribu kumtia moyo kwa kadiri nilivyoweza,ila nilikuja kugundua katika maongezi yetu alikuwa anapenda ya'base' eneo flan huku mda wote macho akiniangalia usoni. Ukizingatia tulikuwa wawili tu,nilimsogelea kujaribu kama namkiss ila kabla sijamfikia tayari alishafika kwangu na kukutanisha lips zetu.
Badae nilijistukia nikanyanyuka kwa wazo la kuondoka,ila alinivuta mkono nakunisukumizia kwenye sofa alaf akafunga mlango na funguo. Siwezi sema alinizidi nguvu,ila katika mazingira yale sehemu kubwa ya mwili wangu ilinisaliti nakumsupport yule dada. Nikajikuta tayari kwenye himaya yake. Japo badae nilijilaumu na siku hizi najitahidi kuepuka mazungumzo na watu wa hivi katika mazingira private au kama yale.
Je kwa upande wako ilikuwaje??
Karibuni.