Confession: Ilikuwaje ukatembea na mke/mme wa mtu?

Confession: Ilikuwaje ukatembea na mke/mme wa mtu?

hapana mwanamke anapendwa kusikilizwa hasa na mwanaume . anapokuja kukueleza ukampa nafasi ya kumsikiliza haloo kumtafuna ni rahisi sababu hataki dudu anataka umsikilize na mumewe hafanyi hivyo
Nakupenda sana miss mana always umsema ukweli..in JPM voice msema ukweri ni mpenzi wa Mungu

Sent from my IPHONE 6 using JamiiForums mobile app
 
Mmenipa hamasa ya kutafuta mke wa MTU.
Huyu mdada ni mteja wangu wa Nguo hapo sokoni. Kaja dukani nikamuonesha mzigo mpya Wa chupi za kike nzuri.
Akachukua set (3).
Jana kaja dukani anasema chupi zile ni nzuri sana.
Nikamwambia tuone. Akaingia chemba akanionesha.
Alipoaga baada ya muda akanipigia simu nimfuate hotel (name withheld) .Nikaenda kumpa mambo. Duuuh. Hebu wanaume tuwatimizie wake zetu raha ya unyumba.
 
Mpaka Leo Niko hapa Mwanza kuna mke Wa MTU kanitafuta tangu 2015 mpaka Leo na nlikuwa namkwepa lakini 7.5.2017 alinishawishi nikutane naye maeneo ya kwao nlijivunga sana lakini nikajikuta naenda kwa Moja kwa Moja

Nlipofika pale alinipokea kwa furaha sana nami nlionesha ushirikiano lakini baada ya kuondoka tu ndipo aliponitaka aje nyumbani siku inayofuata kwa maana 8.5.2017 nikamruhusu akaja paaapu mpaka ghetto kwangu nilijitahidi kutoa huduma zote zinazohitajika kuanzia chakula mpaka vinywaji

Nlijitahidi sana kusisitiza juu ya uhusiano wake na mumewe akasema plizi nakupenda na wewe basi nikampa viwili ila sasa anazidisha upendo sina ujanja sijui nimkimbiaje
 
Vya wizi vitamu sijui kwa nini!! Tuacheni utani wake za watu ni watamu balaa.

Ushauri tu kwa nyie ambao hamjaanza kuwala msijaribu kuingia ni rahisi kutoka shughuli.
 
kipindi mafikisha Miaka 20 ilkuwa napenda wanawake wakubwa kichizi si nikamtest mama mmoja na watoto wawili ase daah sikujua kama kutongoza wamama is easy like that nilienjoy kichizi...yaani sio kama vibinti ambavyo vinazingua kupanua pajaa yaani limama ukiliambia panua yaani unakuta Mguu mmoja upo adi kwenye paa ni wewe tyu mzee na unakuta papuchi haikaukiani mzee ni mwendo wa to and fro Motion daah sema mumewe akaanza kunitafta na Panga akanikosakosa kunkata Bega Mpakaa leo nmeachaa wake za watu
 
alikua kanizoea sana,basi tukitaniana ananiambia we bado mtoto utaota bure,ikaeenda mpk akaamua kunipa papuchi,nilim-bananisha kweny angle moja hivi nakula vitu vyangu(nje),daaah basi mme wake alikua anakuja mitaa ile ile mmh nikanywea ghafla mpk nikadhan dushe imeingia ndan kwan nilikua nikigusa naona zimebaki pumb.u tu,bahat kulikua na kagiza jamaa hajaniona,mmh mke wa mtu ni sumu!
 
kuficha siri au kutunza siri ni sawa na kufufuliwa mfu mmoja, asa una confess madudu yako hapa una dhani utasamewa, jutia ulicho fanya na fanya toba ya siri kwa mungu wako na jutia na amini kua ameku samehe ila sio kuelezea ushetani wako hapa doesnt work for u, why na sema hivi? kuna kisa kimoja zamani zamaa za Nabii Mussa, kuna mama alikua na mwanae wakiume anaishi nae tuh, kila siku wimbo wake mmoja tuh kwa huyo mwanae ulikua mwanangu lini utaoa, mwana: jibu mama aaarrggghhh weniache nitao tuh, huyu mwana kila siku alikua anaingia wanawake ghetoni watofauti mama anajiuliza hawa wanafata nini kuna nini? siku mwanae ndani kalala mama akanyata nae akazama kitandani akajifunika kwenye shuka ajue kulikoni hawa wadada. baada ya dakika mwana kapapasa kala mzigo mama yake mzazi bila kujua, yule mwana kumaliza kalala mama alitoka pale nakujutia huku akilia, na muda akashika mimba na hakumuambia mwanae alificha ile siri na akaenda mbali miaka ikaenda akajifungua mtoto wakike yule mtoto akaja akakua binti akaja ka kutana na mwanae wakapenda kumbe mtu na baba yake awaja juana, yule mtoto wakiume kamleta yule binti na kumelezea mama yake kua anataka aoe wewe sikila siku una ni sumbua kuhusu nioe huyu hapa nampenda, mama aka kata mtoto kachachama mie ndo huyu na mpenda nataka kuoa,mama ka ruhusu huku shingo upande mtu na mwanae wakaoana bila kujuana, yule mama ilimuuma huku nafsi ina msuta, siku moja alisikia kua nabii mussa yuko maeneo akamtafuta alikutana nae njiani, kama tuna vyo elewa kua mtume huyu alikua anauwezo wa kuongea na Mungu face to face, basi yule mama akamuambia Nabii naomba uniulizie hatma yangu nini baada ya hapa kufa yani mbele huku mimi ni mtu waina gani kwa nilio yafanya, basi mtu akaenda kwenye milima kule akaongea na Mungu kumaliza akawa anaondoka Mungu akamuambia una ujumbe wangu mbona uja niambia kumbe alikua amesahau akawa amekumbushwa na Mungu, akasema mwambie alikuagiza kwangu kua kuna pepo nzuri ina mgonja na kadhali mazuri kibao, basi Mtume aka kutana na yule mama akamueleza yule mama hata akawa ana lia amini Mussa aka muliza kwani umefanya nini? Yule mama akamuadisia yote na akamtuma tena Mussa akaulize pingine sio yeye Mussa kuenda tena kulizia akambiwa mwambie Moto na adhabu kali ina mngoja,, kumbe the moment ana confess yake yote kwa Mtume yule maana siri kaifichukua. anyway my point is kanaloooo omba Toba na tegemea kua umesamewa
Hauongei na mitume aiseee
We share memories for fun na kujifunza pia
Kama inakukera ain't aour business deal with t mazafantaa
 
wewe sio mwanaume. hakuna mwanaume anaweza kuona k akachomeka na kuchomoa kwasababu ya harufu? hiyo harufu imezidi mavvi? wakati kuna wanadamu hapa duniani wanachomeka kwenye mavi hadi yanatoka yanatapakaa kwenye mboloo yote mimavi wewe unakimbia harufu ya k? hivi kuna k isiyonuka? k zote zina harufu na ile harufu ndio uwanauke wenyewe, kama beberu linanusa kwanza ndio linasisimuka ndio wanaume. k hata ukiiosha sana, ule utomvu ukianza kutoka kuilainisha huwa unatoa harufu tu hata ufanyeje.
Mkuu naona unachanganya harufu ya K ya kawaida na ile ya bleed. Jaribu siku moja kukutana na K siku ya period halafu usikilize harufu yake...chibu perfume utazimaliza lkn wapi
 
Nakumbuka nilifika kwenye kiduka kimoja mkoa nikaagiza vitu vyangu na kulikuwa na bia bas nikawa naburudika moja mbili mdada aliyekuwa dukani wamakamo tu story hapa na pale nikanogewa nikaa kwa muda mrefu sana hadi mumewe akatokea kumbe huwa wanapokezana kuuza na siku hiyo kulikuwa na birthday mdada alikuwa anasheherekea kwa kuwa nilikuwa pale akaomba nisogee nile keki kumbe alinielewa mm pia nilimuelewa ila siku ya pili nilipoenda ndipo akanambia yule aliyekuja ni mumewe nikasema poa nikawa naenda kunywa pale nsipotokea naulizwa vipi kwa njia ya simu alikuwa mtu wa kumlaumu mmewe sana kama anaonewa hivi ndipo mimi nkawa nampa ushauri avumilie ndoa sku moja akaomba nimsindikize mjini kama sitojali nikaenda nae ila kwa umakini kufika akafanya yake jioni akagoma kurudi akasema alipotoka mumewe alimuaga ila akujibiwa sasa bora ajipe likizo nkamwambia poa mimi sikulemba nkampeleka sehemu ya kilaji ambayo ina guest house sikujiuliza baada ya drinks ikabidi kwenda kulala nimegegeda inafika asubuhi nasema tuondoke anasemwe no no nataka niwe nawe da all week kumbe alielewa show
 
Hauongei na mitume aiseee
We share memories for fun na kujifunza pia
Kama inakukera ain't aour business deal with t mazafantaa
kichwa kama sababu ni ya giv, nani akakumbia naongea na mitume, kunguru sungura wewe mpenda fan ndo maana bichwa kubwa ubongo wa mende kwa kupenda mambo ya kimagharib inzi type scorpion wewe mxiiiuwwwww mshonyo wa harmorapa.
 
Back
Top Bottom