Confession: The hurting truth -- natamani kurudi kwenye ushirikina

Ushirikina ni dhambi mbaya sana na ngumu suna kutoka unapokua umezama kwenye hilo dimbwi, Kwa mujibu wa uislamu ndio dhambi kubwa kuliko zote, Na Mungu kaahidi hatomsamehe mshirikina isipokua yule atakaeacha mwenyewe na kuomba toba kwake.

Jitahidi kukomaa mkuu achana na vishawishi.
 
😳😳😳😳😳 ukishaonja Nyama ya mtu ni ngumu sana KUCHEZA nayo mbali. Once a MCHAWI ALWAYS a MCHAWI. Rudi tu ukaendelee kuwadhuru binadamu wenzio ambao hawakukosea lolote. SAD!

 
[emoji1545][emoji1545][emoji1545][emoji1545]
 
Mshana jr. Tatizo mi nadhani sio wewe kuacha ulozi

Tatizo lipo hapa kabla hata hujaacha ulozi ulikuwa unajua neno la Mungu na ukuu wa kristo. Hapa kosa lako ni kwamba hukuwa na sababu y ndani ya moyo ya kuamua kuacha, shida ilianza baada ya wewe kutka kulinganisha nguvu. Yani hukutaka kuwa kama mtoto kwa Mungu umeenda kama unahama chama cha siasa.

Nadhani baada ya hapa utakuwa umepata wapi pankufaa,
Yani ni hatari muumini anamzidi elimu ya dini mtumishi wa Mungu.

Yani umezidi kulinganisha nguvu sasa umeanza kujua wapi pana nguvu.
 
Kwenye Mahakama ya mnyonge mahakim wameanza kujiuzuru
Sasa wanyonge watapata haki wapi? Na kwenye mahakama za kawaida huwa hawatoboi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…