Confession: The hurting truth -- natamani kurudi kwenye ushirikina

Confession: The hurting truth -- natamani kurudi kwenye ushirikina

CC: KENZY [emoji41][emoji41][emoji41]

1631460951253.png
 
[emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji15] ukishaonja Nyama ya mtu ni ngumu sana KUCHEZA nayo mbali. Once a MCHAWI ALWAYS a MCHAWI. Rudi tu ukaendelee kuwadhuru binadamu wenzio ambao hawakukosea lolote. SAD!
Nyama ya binadam ni tamu sana ndo maana tunakazwa tusionje, hata Simba huko porin akionja nyama ya binadam huwa anatafutwa Hadi auwawe hata wawe Simba 10 Ni lazma wauwawe ukionja nyama ya binadam huwez kuacha.
 
  • Masikitiko
Reactions: BAK
Kisu kimegusa mfupa[emoji86]
Wapi! Sema tu sipendagi kushiriki dhambi za watu..🤣
Nachofanya ni kukusutiri tu leo umeshinda ila namwambia asilolijua ni sawa na usiku wa kiza! Ati umkatae kenzy umkubali mshana ni sawa na kuruka Moto wa mkaa then ukakanyaga moto wa gesi..😅
 
Wapi! Sema tu sipendagi kushiriki dhambi za watu..[emoji1787]
Nachofanya ni kukusutiri tu leo umeshinda ila namwambia asilolijua ni sawa na usiku wa kiza! Ati umkatae kenzy umkubali mshana ni sawa na kuruka Moto wa mkaa then ukakanyaga moto wa gesi..[emoji28]

Wewe nimetetewa acha wivuu
 
Sio kuwa pesa imekata mzee baba, unatafuta wa kuwashika masikio?
 
Niliachana kabisa na mambo yote ya kishirikina miezi kadhaa iliyopita, na kuthibitisha hilo niliweka uzi rasmi hapa JF na kumrudia Mola wangu mazima.. Na kuna hili ambao sikuwahi kulisema hapa lakini wale ambao niliwaumiza na roho ikaniongoza tusawazishe nilifanya hivyo.. Na nikapata amani kubwa moyoni

Naamini nanyi ni mashuhuda wa hili kwakuwa nilipunguza mada za ushirikina kwa asilimia 80 ama 90 hivi.... Na kila nilichomiliki chenye viashiria na viasili vya ushirikina ama niligawa au niliviharibu na kuviteketeza kwa moto kwa mikono yangu mwenyewe! Nilihakikisha naishi maisha ya ukamilifu na usafi wa kiroho

LAKINI wapendwa shetani ana nguvu sana sana... Unapokuwa umevaa koti jeupe la mshika dini na asiyependa mambo ya ulozo lakini ndani u mchafu kupitiliza wala sheatani hawezi kukusumbua kabisa lakini once unapomkataa kwa roho na kweli ...VITA HUANZIA HAPO! atakujia na washirika wengine SABA kuhakikisha wanakurudisha kwenye himaya yao...!

Juzi kati nilikuwa maeneo ya mikwambe Kigamboni kibada mpaka saa tatu usiku hivi wakati naondoka nikagundua kuna watu walikuwa wameniungia body na nilienda nao mpaka Tuangoma halafu wakapotea kusikojulikana

Tangu hapo nimejiwa na msisimko wa ajabu kabisa ... Msisimko wa kutafuta zile nguvu za giza tena.. Najitambua kiimani na kiroho niko vizuri mno.. Lakini sasa naona viashiria vya kunirudisha kilingeni vinazidi kupata nguvu kila uchao!
Tafadhalini naomba msije mkanishangaa in case mkisikia nimerudi Msata Kilingeni penye shina langu.. Lakini pia ukiweza na ukipenda kwa utashi wako pls niombee.. Kuna shida nyingi huko vilingeni basi tuuu[emoji2827][emoji2827][emoji2827][emoji2827][emoji2827]
Igweeeeee... Welcome back... The Champ!
 
Niliachana kabisa na mambo yote ya kishirikina miezi kadhaa iliyopita, na kuthibitisha hilo niliweka uzi rasmi hapa JF na kumrudia Mola wangu mazima.. Na kuna hili ambao sikuwahi kulisema hapa lakini wale ambao niliwaumiza na roho ikaniongoza tusawazishe nilifanya hivyo.. Na nikapata amani kubwa moyoni

Naamini nanyi ni mashuhuda wa hili kwakuwa nilipunguza mada za ushirikina kwa asilimia 80 ama 90 hivi.... Na kila nilichomiliki chenye viashiria na viasili vya ushirikina ama niligawa au niliviharibu na kuviteketeza kwa moto kwa mikono yangu mwenyewe! Nilihakikisha naishi maisha ya ukamilifu na usafi wa kiroho

LAKINI wapendwa shetani ana nguvu sana sana... Unapokuwa umevaa koti jeupe la mshika dini na asiyependa mambo ya ulozo lakini ndani u mchafu kupitiliza wala sheatani hawezi kukusumbua kabisa lakini once unapomkataa kwa roho na kweli ...VITA HUANZIA HAPO! atakujia na washirika wengine SABA kuhakikisha wanakurudisha kwenye himaya yao...!

Juzi kati nilikuwa maeneo ya mikwambe Kigamboni kibada mpaka saa tatu usiku hivi wakati naondoka nikagundua kuna watu walikuwa wameniungia body na nilienda nao mpaka Tuangoma halafu wakapotea kusikojulikana

Tangu hapo nimejiwa na msisimko wa ajabu kabisa ... Msisimko wa kutafuta zile nguvu za giza tena.. Najitambua kiimani na kiroho niko vizuri mno.. Lakini sasa naona viashiria vya kunirudisha kilingeni vinazidi kupata nguvu kila uchao!
Tafadhalini naomba msije mkanishangaa in case mkisikia nimerudi Msata Kilingeni penye shina langu.. Lakini pia ukiweza na ukipenda kwa utashi wako pls niombee.. Kuna shida nyingi huko vilingeni basi tuuu[emoji2827][emoji2827][emoji2827][emoji2827][emoji2827]
Nonsense at its best
 
Niliachana kabisa na mambo yote ya kishirikina miezi kadhaa iliyopita, na kuthibitisha hilo niliweka uzi rasmi hapa JF na kumrudia Mola wangu mazima.. Na kuna hili ambao sikuwahi kulisema hapa lakini wale ambao niliwaumiza na roho ikaniongoza tusawazishe nilifanya hivyo.. Na nikapata amani kubwa moyoni

Naamini nanyi ni mashuhuda wa hili kwakuwa nilipunguza mada za ushirikina kwa asilimia 80 ama 90 hivi.... Na kila nilichomiliki chenye viashiria na viasili vya ushirikina ama niligawa au niliviharibu na kuviteketeza kwa moto kwa mikono yangu mwenyewe! Nilihakikisha naishi maisha ya ukamilifu na usafi wa kiroho

LAKINI wapendwa shetani ana nguvu sana sana... Unapokuwa umevaa koti jeupe la mshika dini na asiyependa mambo ya ulozo lakini ndani u mchafu kupitiliza wala sheatani hawezi kukusumbua kabisa lakini once unapomkataa kwa roho na kweli ...VITA HUANZIA HAPO! atakujia na washirika wengine SABA kuhakikisha wanakurudisha kwenye himaya yao...!

Juzi kati nilikuwa maeneo ya mikwambe Kigamboni kibada mpaka saa tatu usiku hivi wakati naondoka nikagundua kuna watu walikuwa wameniungia body na nilienda nao mpaka Tuangoma halafu wakapotea kusikojulikana

Tangu hapo nimejiwa na msisimko wa ajabu kabisa ... Msisimko wa kutafuta zile nguvu za giza tena.. Najitambua kiimani na kiroho niko vizuri mno.. Lakini sasa naona viashiria vya kunirudisha kilingeni vinazidi kupata nguvu kila uchao!
Tafadhalini naomba msije mkanishangaa in case mkisikia nimerudi Msata Kilingeni penye shina langu.. Lakini pia ukiweza na ukipenda kwa utashi wako pls niombee.. Kuna shida nyingi huko vilingeni basi tuuu[emoji2827][emoji2827][emoji2827][emoji2827][emoji2827]
My Brother Mshana Jr mimi ni shabiki wako lakini si kwa sababu ya mambo yako ya Kilozi bali ni kwa ajili ya uwezo wako.

Kimsingi KUNA AINA MBILI ZA SPIRITUALITY na wewe utakuwa unajua.

Primitive Spirituality Vsv Enlightened Spirituality.

Ulozi ni Primitive Spirituality-Achana na hizo mambo.

Holy Spirit IS REAL.

Ebu soma vitabu vya BEN HINN.

SOMA VITABU VYA DEEPACK CHOPRA.

DESMOND TUTU.

Conversation With God book one mpk 3.

Katekisimu ya Kikatoliki-Kitabu cha awali kabisa..

Then izo nguvu za kichawi zitageukia upande wa FAIDA.

YOU ARE SO MUCH INFORMED.
 
Niliachana kabisa na mambo yote ya kishirikina miezi kadhaa iliyopita, na kuthibitisha hilo niliweka uzi rasmi hapa JF na kumrudia Mola wangu mazima.. Na kuna hili ambao sikuwahi kulisema hapa lakini wale ambao niliwaumiza na roho ikaniongoza tusawazishe nilifanya hivyo.. Na nikapata amani kubwa moyoni

Naamini nanyi ni mashuhuda wa hili kwakuwa nilipunguza mada za ushirikina kwa asilimia 80 ama 90 hivi.... Na kila nilichomiliki chenye viashiria na viasili vya ushirikina ama niligawa au niliviharibu na kuviteketeza kwa moto kwa mikono yangu mwenyewe! Nilihakikisha naishi maisha ya ukamilifu na usafi wa kiroho

LAKINI wapendwa shetani ana nguvu sana sana... Unapokuwa umevaa koti jeupe la mshika dini na asiyependa mambo ya ulozo lakini ndani u mchafu kupitiliza wala sheatani hawezi kukusumbua kabisa lakini once unapomkataa kwa roho na kweli ...VITA HUANZIA HAPO! atakujia na washirika wengine SABA kuhakikisha wanakurudisha kwenye himaya yao...!

Juzi kati nilikuwa maeneo ya mikwambe Kigamboni kibada mpaka saa tatu usiku hivi wakati naondoka nikagundua kuna watu walikuwa wameniungia body na nilienda nao mpaka Tuangoma halafu wakapotea kusikojulikana

Tangu hapo nimejiwa na msisimko wa ajabu kabisa ... Msisimko wa kutafuta zile nguvu za giza tena.. Najitambua kiimani na kiroho niko vizuri mno.. Lakini sasa naona viashiria vya kunirudisha kilingeni vinazidi kupata nguvu kila uchao!
Tafadhalini naomba msije mkanishangaa in case mkisikia nimerudi Msata Kilingeni penye shina langu.. Lakini pia ukiweza na ukipenda kwa utashi wako pls niombee.. Kuna shida nyingi huko vilingeni basi tuuu[emoji2827][emoji2827][emoji2827][emoji2827][emoji2827]
Mkuu; Jiandae. Adhabu ya Utoro inakuhusu kama hukumuaga mzeemaarufu siku ile unaondoka.
 
MSHANA JR

Toka nimejiunga hapa JF nimekuwa nikisumbuliwa Kiroho sana juu yako, Lakini sikuwai kupata nafasi ya kufunuliwa chochote juu yako.. ILA LEO NIMEPATA MWANGA.

Nianze tu kukuuliza, Je, ULIPOKUWA UPANDE WA GIZA (Kama unavyosema mwenyewe) Ulikuwa hupati majaribu ya kiroho au kimwili?
 
Back
Top Bottom