CONFIDENTIAL: Barua Pepe zaonesha Maafisa 62 wa Serikali ya Tanzania akiwemo IGP walihongwa Fedha na ACACIA (2008/2015)

CONFIDENTIAL: Barua Pepe zaonesha Maafisa 62 wa Serikali ya Tanzania akiwemo IGP walihongwa Fedha na ACACIA (2008/2015)

"NTF inadaiwa kuundwa na maafisa kutoka Jeshi la Polisi, Idara ya Usalama wa Taifa, na Jeshi la Wananchi."

Hakuna sehemu iliyobaki salama kila mtu ni mwizi hakuna hbr ya uzalendo
Na ndio maana wakisikia katiba mpya wanatamani kuuwa watu wanaohitaji hiyo katiba, kumbe kuna mrija wa asali huko kwao kuanzia polisi, jeshi na usalama...

Maana nchi ingekuwa inaoongozwa na serikali imara uchunguzi ungeanza rasimi, kuna rushwa kwenye kampuni hizi za kigeni na hawa watu wanajiona wazalendo kumbe wazalendo uchwara
 
Usicheze na kitu shekel! Shekel ikiwekwa mbele yako, na ikute una njaa, unawaza kujenga nyumba ya pili,frem za kupangisha, kununua dream car, nk, inahitaji Uwe na roho ya kristo kukwepa kupokea rushwa!
Rushwa kwenye nchi za kisfrika, ni raisi kwa sababu uwesekano wa kukamatwa ni mdogo sana,
 
Hili suala la kurejesha Kadi CCM sio mchezo!

Hatahivyo fupa hili lina nyamanyama kidogo, tatizo E-Mail limejaa vidagaaa, yale Ma Big Fish(Sangara) hayamo humo kwenye E-Mail so far.

Naendelea kusoma....

Wanzuki lilikuwa limeshika kweli, shabash, haya ya Usiku Usiku Aisee Nitazisoma tu.
 
Back
Top Bottom