moudgulf
JF-Expert Member
- Jan 23, 2017
- 142,674
- 743,909
Nimeshangaa sana. Ikiwa idara nyeti hizo ambazo wananchi tunaamini zina watumishi wenye weledi na uzalendo wa hali ya juu zimefikia hatua hiyo, maana yake tupo mahali pabaya sana."NTF inadaiwa kuundwa na maafisa kutoka Jeshi la Polisi, Idara ya Usalama wa Taifa, na Jeshi la Wananchi."
Hakuna sehemu iliyobaki salama kila mtu ni mwizi hakuna hbr ya uzalendo