Nimeshangaa sana. Ikiwa idara nyeti hizo ambazo wananchi tunaamini zina watumishi wenye weledi na uzalendo wa hali ya juu zimefikia hatua hiyo, maana yake tupo mahali pabaya sana."NTF inadaiwa kuundwa na maafisa kutoka Jeshi la Polisi, Idara ya Usalama wa Taifa, na Jeshi la Wananchi."
Hakuna sehemu iliyobaki salama kila mtu ni mwizi hakuna hbr ya uzalendo
Hebu kaa ukatafakari kuhusu hawa "Baadhi" ya maafisa Wandamizi.Acacia, kampuni ya uchimbaji madini iliyokuwa na shughuli zake nchini Tanzania kabla ya kuingia kwenye mgogoro mkubwa na Serikali, inadaiwa kutumia takriban Shilingi bilioni tatu (Dola za Kimarekani milioni 1.2) kwa mwaka kulipa maafisa waandamizi wa Serikali kati ya 2008 na 2015,
Mbona km alikuwa bado kuingiaTafadhali Acha kumuaibisha magufuli hii ni skendo kubwa sanaa. Marehemu aachwe apumzike
Huyo ni mpachikaji. Amefanya hivyo kwa makusudi kabisa, kutaka kubadilisha mtiririko wa mjadala husika.Mbona km alikuwa bado kuingia
Na hiyo ndio Deep State Sasa.Na ndio maana wakisikia katiba mpya wanatamani kuuwa watu wanaohitaji hiyo katiba, kumbe kuna mrija wa asali huko kwao kuanzia polisi, jeshi na usalama...
Maana nchi ingekuwa inaoongozwa na serikali imara uchunguzi ungeanza rasimi, kuna rushwa kwenye kampuni hizi za kigeni na hawa watu wanajiona wazalendo kumbe wazalendo uchwara
Kumbe na wao walikuwa kwenye mrija na ndio maana wanapata kigugumizi kuiadabisha ccm Kama wenzao wa Niger na kule Kwa Ali Bongo."NTF inadaiwa kuundwa na maafisa kutoka Jeshi la Polisi, Idara ya Usalama wa Taifa, na Jeshi la Wananchi."
Hakuna sehemu iliyobaki salama kila mtu ni mwizi hakuna hbr ya uzalendo
Na uzuri huyo Deo Mwanyika bado yupo hai- sasa na atutajie - yeye Kama ceo wa acacia- hayo malipo, alikuwa anawapelekea nani huko kwenye vyombo- polisi, jesho na usalama?Kina Mwanyika na Mwaipopo wameitafuna sana hii nchi. Sasa hivi Mwanyika pale bungeni anawaona wenzake kama kima tu
Kwa hiyo baada ya 2015 hawakua wakitoa rushwa tena?
JK na rushwa ilikua sawa na samaki na maji.
msoga half,,na walipooona magaufuri anateuliwa kuwa mgombea ndo wakaanza kutafuta njia za kujiondoa kwenye msalaHii siyo ya JPM ni Msoga
Nimekusoma; ni kwamba hata wewe mkazi wa Zanzibar unaamini kwamba JPM ni Rais makini ambaye ndiye pekee alitakiwa kuyajua madudu ya mwenzake JK.Hata magufuli hakuiona hii.? Na hawa jamaa bado wanachimba dhahabu hapa Tanzania. Bado nashauri uchunguzi zaidi ufanyike
Ndo ma'am Magufuli alimuburuza ndaniHuyu Deo Mwanyika ni noma. Huwa anatajwa sana kwenye ishu za kifisadi
Sasahivi ni mbunge,,usione licha ya kuchafilia na Magufuri Barrick hawakukimbilia mahakani kwani walijua madudu mengi magufuri alikuwa nayo..ikabidi watulieNa uzuri huyo Deo Mwanyika bado yupo hai- sasa na atutajie - yeye Kama ceo wa acacia- hayo malipo, alikuwa anawapelekea nani huko kwenye vyombo- polisi, jesho na usalama?
Anawaona Nini? Kwani hakutosheka kule?Kina Mwanyika na Mwaipopo wameitafuna sana hii nchi. Sasa hivi Mwanyika pale bungeni anawaona wenzake kama kima tu
September 2015. Magufuli anahusikaje hapo. Au unasumbuliwa na tumbo la kuharaTafadhali Acha kumuaibisha magufuli hii ni skendo kubwa sanaa. Marehemu aachwe apumzike
Yeye ni binadamu piaTafadhali Acha kumuaibisha magufuli hii ni skendo kubwa sanaa. Marehemu aachwe apumzike
Mbona JPM alimsafisha, alimpigia kampeni na kumpa ubunge!! Hii nchi ngumu sanaHuyu Deo Mwanyika ni noma. Huwa anatajwa sana kwenye ishu za kifisadi