Acha uwongo! mtu kwenda kwao ndio kujinadi?
Pili hebu jifunze KISWAHILI kabla ya kuja kutuandikia madudu yalojaa errors zisizoeleweka!
Hivi kwa mtu mwenye nafasi yake na aliyezaliwa kwenye familia ya Mwanasiasa na ambaye anafanyakazi ya Kiserikali kweli aende Nyumbani kwao bila kukutana na watu tena kwa nafasi yake itakuwa sawa?
Uwongo mwingine ulioegemea kwenye UDINI!
rudi tena kwa huyo anayekupa hizi taarifa kisha utuletee FACTS badala ya kuleta stori ya Kuunganisha.
Pili ukweli ni kuwa hakusubiri watu kuswali bali yeye mwenyewe aliswali na baada ya hapo waumini walimuomba kama ana lolote la kusema na akasema kuwa nafasi hiyo si yake bali ni ya Imam na baada ya Imam kuinsist na kwa mila na desturi za watu wa Pwani Mdogo kwa Mkubwa hakui na hubishi hivyo alisimama na kusalimia waumini mle ndani
Na pia alisema wazi kuwa SALAM ZAKE ZISITAFSIRIWE KAMA KAMPENI yeye kaja kuswali kama waislamwengine na mindhali leo ilikuwa Ijumaa sasa tatizo liko wapi?
Unazungumzia Piki Piki..hivi le mtu Kama ES au Mwanakijiji au Pasco akienda Kijijini kwao akatoa Computer au Baiskeli ndio atakuwa ana kampeni? kama kutoa kusaidia kwenu ni kampeni basi wengine tusingejenga zahanati na shule mbili tatu ili wananchi wapate matunda ya sie wengine kutafuta na kutumia nafasi tulizopata kuwanufaisha!
Once again umerudi na WAISLAM! lakini pamoja na hayo kutoa au kuchangia ujenzi ni jambo la kawaida...na kwa Musilam ni sawa ni kutimiza moja kati ya NGUZO 5 za uislam na pili tofauti ha huyo aliyekutuma hapa kuleta huu UDAKU, JM katoa kuchangia elimu bosi wako yeye anatoa kwa Ajili ya KIMADA WAKE pale mtaa wa ALLY KHAN!!!
Umesema amekumbwa na vikwazo vingi lakini ungeturahisishia ukatupa orodha ya Vikwazo...kwa utaratibu ufuatao:
1
2
3
4
5
6
7
8
9
10
Pili Mapokezi Mabovu yepi? Mbona Jezi na mipira zimechukuliwa? na si hivyo tuuuu infact jamaa wanalalamika kuwa JEZI za RANGI za YANGA zimekuwa nyingi kiasi cha kuwa wanataka Jezi rangi Mchanganyiko...sasa wewe hapa linalokuudhi nini?
Hivi unataka vijana waendelee ku piga NDIMU kuhu wako vifua wazi?
Ni wapi na lini JM kasema alitumwa na Rais?
Na ni lini Mzee Makamba alitimuliwa na na wananchi?
na ni lini Mzee Makamba alienda kumnaji JM?
Mjomba tuletee FACTS nasi tutakupa majibu
baseless allegations
If anything huyo aliyekutuma inaelekea hajakupa FACTS zote if anything cha ajabu hajakuambia jinsi gani naye habari zake zimeleak to the extent anachanganyikiwa. Mbona husemi kuhusu pesa za DAMU za watu alizokatiwa na zingine kaamua kuzificha kwa jamaa zake? acha hizo wewe!
You mean KIBONYEZO?
huwezi kupata uchambuzi wakati umeleta UTUMBO
lete facts au mwambie jamaa yako akupe facts then njoo
this in short IMEFAIL[/QUOTE]
GAME THEORY,without any disrespect,sioni sababu ya wewe kumtetea january makamba bila sababu yoyote ya msingi.ni wazi kabisa kuwa january anataka kugombea ubunge kwasababu anasupport ya baba yake na watwana wengine ndani ya ccm.ccm wanachofanya sasahivi ni kujaribu kurithisha madaraka kwa ndugu zao ili wasije kushtakiwa hapo baadae kwa makosa wanayoyafanya.wanajua kwamba wakiweka watu wao madarakani watawatetea kwa namna yoyote ile hapo baadae..kila mtu mwenye akili timamu anajua hili na unapotokea hapa(game theory) JF na kumtetea mtu flani kwasababu tu ni mshkaji wako au amekuahidi ulaji flani baadae unakuwa unapotosha watu na kupindisha ukweli wa mambo.huwezi ukaja hapa na kusema kuwa january hakugawa pikipiki au vitu vingine kwa wananchi pale anapogombea,kwasababu utakuwa unatudanganya wana JF na kutufanya sisi sote ni wajinga.wote hapa tunaelewa mbinu wanazotumia wagombea wa ccm ili kuchaguliwa sasa wewe unapokuja na kudai mtu atoe vithibitisho ni usanii mtupu.huyo january alikuwa wapi siku zote mpaka leo ndio anajidai kwendakusali msikiti wa hilo jimbo analogombea?kwanini asingekwenda kabla yanyakati za uchaguzi?hizo jezi alizotoa kipindi hichi kwanini asingetoA kabla?inamaana sasa hivi wakati wa uchaguzi ndio amegundua timu za huko hawana jezi?eti katoa lakimoja tuuu kwaajili ya ujenzi wa shule na huku kagawa pikipiki kwa watu ili wamsaidie kwenye kampeni..lol..pikipiki moja ni zaidi ya dola 500.sasa huyu dogo anatoa mchango shuleni wa dola kama 90 tuu kusaidia ujenzi wa shule na huku kwingine anatoa pesa zaidi ya mara sita ya mchango wa shule ili kuhonga watu wamsaidie kupata ubunge...KWA WANA JF SITEGEMEI KAMA KUNA MTU TEYOTE ANAWEZA KUMSUPPORT MTU KAMA HUYU.KAMA YUPO BASI SHAME ON YOU!!!TUFIKIRIE ZAIDI KUHUSU WALE WANANCHI MASKINI AMBAO WANADANGANYIKA KUTOKANA NA MATATIZO YAO YA KIMAISHA NA TUACHE KUFIKIRIA KUTETEANA BASI TU KWASABABU YA USHKAJI..