Bukali
JF-Expert Member
- May 7, 2018
- 1,264
- 835
Inamaana wote aliye design ni mumoja tu maana tofauti ni rangi tu kati ya Mikia fc na Vyura fcHakuna jipya hapo! Jezi za wananchi ndiyo habari ya mjini kwa sasa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inamaana wote aliye design ni mumoja tu maana tofauti ni rangi tu kati ya Mikia fc na Vyura fcHakuna jipya hapo! Jezi za wananchi ndiyo habari ya mjini kwa sasa.
Gsm anawalipa sh ngapiUkiondoa yeye Kama mwanahisa, Mo atueleze kampuni yake inalipa kiasi gang kuweka matangazo kwenye jezi za Simba
Embu tuwekee jezi za wananchi tulinganishe.Hakuna jipya hapo! Jezi za wananchi ndiyo habari ya mjini kwa sasa.
Hakuna jipya hapo! Jezi za wananchi ndiyo habari ya mjini kwa sasa.
Wachawi wako kila corner sio lazima wapae na ungohivyo viatu sasa..sijui walikuwa hawajui au ndo hawajui kuwa hawajui..viatu vichafu na rangi kama maharage ya rosekoko a.k.a combact [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38]
[emoji23][emoji23] shabiki wa Yanga acha kujifichaJezi kaweka matangazo ila kayaficha
matambala matupu MO tuachie team yetu
Hebu zoom ione Kama haitakuja picha ya msukuleIPO yenye picha ya barbara na nyuma yupo MO na Magori, yaani Magori ameshika chupa ya MO energy anakunya nayo ni official kit ya msimu huu.
Bro' mie Simba sio utoGsm anawalipa sh ngapi
Mi hiyo ya juu kabisa ndo nimependa ,ila jezi zote nzuriNikajipatie zangu jezi nyekundu ka ya mobetto
Haha umeniwahi mkuu, tena na uzi wa mnyama umemfanya awe wa [emoji91][emoji91] balaa ..Tukiachana na jezi kali za mnyama Simba,haki ya Mungu Hamisa ni mkali huyu mtoto aisee.
Pamoja na kibandikwa hayo matambara.[emoji23]Tukiachana na jezi kali za mnyama Simba,haki ya Mungu Hamisa ni mkali huyu mtoto aisee.
Uzuri wa jezi unanogeshwa na makombeJezi tunazidiwa hadi na coastal Union.
Mo tuachie Team yetu
Mshabiki wa timu iliyochukua Kombe mara nne mfululizo na kufika robo fainali kwenye michuano mikubwa ya CCL hawezi kuwa na maswali kama hayo......Bro' mie Simba sio uto