Confirmed: Jezi mpya za Simba SC msimu wa 2021/2022

Confirmed: Jezi mpya za Simba SC msimu wa 2021/2022

Wachawi wako kila corner sio lazima wapae na ungo
mchawi bibi yako.. 😆 😆 😆 😆..mimi sijasema viatu vibaya ..ila ni vichafu mnoo ...kama kweli walienda kwaajili ya kupiga picha na wakaruhusiwa kuvaa hivyo basi imba kazi wanayo..
 
kolokolo la vunja bei naona limeongezwa hapo shingoni, naskia la ubuyu lipo nyuma
 
mchawi bibi yako.. 😆 😆 😆 😆..mimi sijasema viatu vibaya ..ila ni vichafu mnoo ...kama kweli walienda kwaajili ya kupiga picha na wakaruhusiwa kuvaa hivyo basi imba kazi wanayo..
Na hujaona kuwa wamechezea mpira hapo hapo kwenye mchanga?
 
Ukiondoa yeye Kama mwanahisa, Mo atueleze kampuni yake inalipa kiasi gani kuweka matangazo kwenye jezi za Simba
Misukule shida sana. Unaacha kumuuliza GSM anaweka sh ngapi unamuuliza MO
 
mchawi bibi yako.. [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38]..mimi sijasema viatu vibaya ..ila ni vichafu mnoo ...kama kweli walienda kwaajili ya kupiga picha na wakaruhusiwa kuvaa hivyo basi imba kazi wanayo..
[emoji23][emoji23][emoji23]povu la nini kwenye team isiyo kuhusu utakuwa baba kiherehere na utasuswa na kuja kuwa mchawi mubaya huko mbeleni
 
Uelezwe kama nani?
Wanavyotangaza kusaini mkataba huwa unakuwa wapi?, mkatapa umesainiwa tena kwa press kabisa ila bado mna nongwa.
Wabongo shida sijui nin timu ya simba bila ya uwekezaji wa Mo isingekua hapa lakini awajui kuwa Mo pia anatangaza biashara yake pale
 
20210903_133306156312.jpg
 
GSM kaweka official logo yake, na this time kaongeza na GSM FOAM, hadi kwenye soksi na hajainvest hata shilingi, ila wanakesha kumnanga mtu alieinvest 20b.
Wivu tu sometimes mtu ni mwekezaji afu wanataka asitangaze biashara zake
 
Wivu tu sometimes mtu ni mwekezaji afu wanataka asitangaze biashara zake
Mo ana mapenzi na Simba ,hebu angalia tu usajili anafanya yeye,analipa wachezaji ,usafiri( tena ndege ) ,malazi na chakula,uwanja wa mpira .ila tangazo tu watu wanatoa povu
 
GSM kaweka official logo yake, na this time kaongeza na GSM FOAM, hadi kwenye soksi na hajainvest hata shilingi, ila wanakesha kumnanga mtu alieinvest 20b.
Hivi Yanga jezi haina twiga gas?
 
IPO yenye picha ya barbara na nyuma yupo MO na Magori, yaani Magori ameshika chupa ya MO energy anakunya nayo ni official kit ya msimu huu.
Sijaona sura ya mtu kwenye jezi ya Simba labda umeangalia kisukule
 
Back
Top Bottom