Lupweko
JF-Expert Member
- Mar 26, 2009
- 23,566
- 24,891
Usibebwe na mawazo ya Manara, wadhamini ndio wanaolipa fedha zinazosaidia kuendesha timu. Kama hutaki kuvaa, wapo watakaovaaHasa Hilo MO foundation limechafua jezi halikuwa na umuhimu bana hapo angeachwa vunja bei. Sasa Mimi navaaje jezi imeandikwa Mo foundation inahusikaje na team. Watoe hayo matangazo loh