Valentina
JF-Expert Member
- Oct 12, 2013
- 24,684
- 28,777
Anaunguza balaaIla Hamisa wamoto.[emoji91][emoji119]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anaunguza balaaIla Hamisa wamoto.[emoji91][emoji119]
Ningependa kufahamu kuwa endapo Mo Dewj angeweka Tangazo moja kwenye jezi ya Simba angepata hasara yoyote kibiashara?
Mimi naona hizi Mo 29, Mo Foundation n.k ..angezitafutia jina Moja pekee kwenye jezi. Au matangazo mengi badala ya moja(lenye uwakilishi) yanamnufaisha vip huyu bwana mkubwa. Wataalamu wa biashara naomba mnisaidie hapo
Ahahahaaa labda kolo...We ni mshamba[emoji28]
Daa jamani ni vile kila mtu na mtazamo wake, ila hizi jezi mbaya wallah.Ma Hip hop master nao hatukuachwa
View attachment 1922394
Daa jamani ni vile kila mtu na mtazamo wake, ila hizi jezi mbaya wallah.
Namba nneee. Walete boxerJezi niliyoipenda na nitainunua ni hiyo ya picha ya tatu.
Halafu sijayaona hayo Makolokolo yaliyosemwa na Yuda Haji
umbeya suna...uchawi nao ni kipaji 😆 😆 😆[emoji23][emoji23][emoji23]povu la nini kwenye team isiyo kuhusu utakuwa baba kiherehere na utasuswa na kuja kuwa mchawi mubaya huko mbeleni
Habari zenu wanajukwaa!
Ningependa kufahamu kuwa endapo Mo Dewj angeweka Tangazo moja kwenye jezi ya Simba angepata hasara yoyote kibiashara?
Mimi naona hizi Mo 29, Mo Foundation n.k ..angezitafutia jina Moja pekee kwenye jezi.
Au matangazo mengi badala ya moja(lenye uwakilishi) yanamnufaisha vip huyu bwana mkubwa.
Wataalamu wa biashara naomba mnisaidie hapo
Ila Hamisa wamoto.[emoji91][emoji119]