Confirmed: Jezi mpya za Simba SC msimu wa 2021/2022

Confirmed: Jezi mpya za Simba SC msimu wa 2021/2022

Malaya kalala na ukoo wako!unaitaje mtoto wa MTU malaya?!! Dada zako ,mama zako,shangazi zako nao Malaya pia!
Jifunze kuheshimu watu wewe!!!!
Ushabiki wa Simba na Yanga ndo uite mtu Malaya!
Malaya wewe na ukoo wenu mzima!!!
Duh!! Hebu kunywa Mo energy moja ili upunguze hasira. Nitakuja kulipa.
 
Kwa mara ya kwanza, Wife kanitumia Picha ya Mobeto ananiambia nataka uninunulie Jezi kama hii aliyovaa Hamisa. Halafu ananiuliza eti na mimi nitapendeza kama Mobeto?

Nilichogundua ni kwamba watu wanavyozisema eti zimevuja kumbe ndio wanazitangaza!

Hivyo nawapa hongera zao Vunja bei kwa kuvujisha mzigo kabla haujaanza kuuzwa. Pia kongole kwa kutengeneza jezi maalum kwa wanawake- Dunia nzima nyie ni wabunifu wa kwanza
Hapo pakutengeneza jezi za wanawake nawapa kongole wanawake tulisahaulika na Mimi lazima nikanunue ka ya mobetto
 
Wanasimba wenzangu

Ni lini tutavumilia uhuni, utapeli,wizi,ujambakuzi, uchawi, tunaofanyiwa na mwamedi?

Licha ya kututengenezea jezi feki ambazo zinafaa kuitwa matambala na hata kudekia hazifai, lakini bado anaendesha team kiunjanja

Mpaka lini hali hii? Tumechoka kuchekwa na wenzetu yanga wenye jezi za viwango..

Binafsi sitonunua tambala hili linalifanana na nyanya pamoja na MO energy.

Nikiwa kama simba damu nimefadhaika sana na sitonunua takataka hii.

Mo atuachie team yetu.

View attachment 1922379
Tutolee ujinga wako kwanza nyanya ni tunda muhimu
 
Habari zenu wanajukwaa!

Ningependa kufahamu kuwa endapo Mo Dewj angeweka Tangazo moja kwenye jezi ya Simba angepata hasara yoyote kibiashara?
Mimi naona hizi Mo 29, Mo Foundation n.k ..angezitafutia jina Moja pekee kwenye jezi.

Au matangazo mengi badala ya moja(lenye uwakilishi) yanamnufaisha vip huyu bwana mkubwa.

Wataalamu wa biashara naomba mnisaidie hapo
MO Products
 
Haya sasa
FB_IMG_1630689044597.jpg
 
Kwa mara ya kwanza, Wife kanitumia Picha ya Mobeto ananiambia nataka uninunulie Jezi kama hii aliyovaa Hamisa. Halafu ananiuliza eti na mimi nitapendeza kama Mobeto?

Nilichogundua ni kwamba watu wanavyozisema eti zimevuja kumbe ndio wanazitangaza!

Hivyo nawapa hongera zao Vunja bei kwa kuvujisha mzigo kabla haujaanza kuuzwa. Pia kongole kwa kutengeneza jezi maalum kwa wanawake- Dunia nzima nyie ni wabunifu wa kwanza
huna mke hapo.
Anampenda mobeto sio jezi
 
Jezi mbovu sana hizi, atleast hiyo nyeupe kidogo. Hizo zingine hovyo hovyo tupu. Hakuna jezi hapo
 
Back
Top Bottom