Elections 2010 CONFIRMED: Jimbo la Ubungo: Matokeo yatangazwa, Mnyika ashinda!

Elections 2010 CONFIRMED: Jimbo la Ubungo: Matokeo yatangazwa, Mnyika ashinda!

fireworks from the fans.....................

police interfere.............

play continue indefinitely till ccm concedes defeat..................


play stops................

makamba is here.................
 
Dakika kama 10 zijazo matokeo yatatangazwa, nipo hewani na nitawafahamisha kinachoendelea hapa

KURA:

CHADEMA -
CCM -
CUF -

Aaaa Mkuu, mbona chama changu hakipo hapa wakati na sie tulisimamisha mgombea... lol...
 
Operesheni zimehamishwa toka gesti hausi mpaka kwenye vyumba vya kuhesabia kura....


And the winner is...........................................:nono::nono::nono:

Kumbe hata wewe unapenda si hasa??

Nimesikia issue kule kwa mramba ni kwamba kapitwa kwa kura mbili na hataki kukubali.....Selasini kampiga chini

Baada ya kuchakachua ikabaki mbili....sasa ni too late!
 
Wakuu, jamaa wanazungusha... Hawasomi... Nipo hewani tu


I guess kutakuwa na a heavy media presence

By the way wananchi wa Ubungo hawajacamp hapo kama ilivokuwa Arusha mkuu?
 
The game continues after a player committed foul to John Mnyika its a free kick now awarded to Mnyika
 
jamani presha itatuua.....natamani kuja hapo ila naona km lazima ni-sign out hapa...da!
 
wazushi wanasubiri nini? kama kuchakachua c wameshachakachua vya kutoshA?
 
Back
Top Bottom