Alfred
JF-Expert Member
- Apr 13, 2008
- 2,093
- 2,843
Ni Kasisi Yule BwanaKasisi kiranga[emoji3][emoji3][emoji3]
Jr[emoji769]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni Kasisi Yule BwanaKasisi kiranga[emoji3][emoji3][emoji3]
Jr[emoji769]
Pole sana pambana. Huwa sipendi kujadiliana na watoto wa kike mijadala ya kielimu,huwa napata tabu sana kuchagua lugha laini ili kwenda nae au nao sawa.Hahahahaaa na ni vile napambania mwendokasi
Tungekesha...
Hapo ukute Kiranga ni mzee wa kanisa
[emoji252] [emoji479]
Rekebisha hapoPole sana pambana. Huwa sipendi kujadiliana na watoto wa kike mijadala ya kielimu,huwa napata tabu sana kuchagua lugha laini ili kwenda nae au nao sawa.
Sasa ulivyosema "Jioni njema" nilishukuru sana aisee,kwani umenisaidia pakubwa sana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Poa,niandikaje ?Rekebisha hapo
"mtoto wa kike"
[emoji252] [emoji479]
Mama,(mmama)
Umepaniki mpaka umeanza kuandika maneno yasiyo eleweka.Utakatifu wa kutotombana ******* ovyo na kuepuka UKIMWi ili damu ya mtu isiathirike na magonjwa iwe safi kwa mfano.
Nikisema ndoa ni agano takatifu lisilotaka uchafu (infidelity) uchafubutaleta matatizo kwenye ndoa juanzia ya kisaikolojia moaka magonjwa.
Hapo bado namuhitaji Mungu na dini?
Sent using Jamii Forums mobile app
Ninaona unajaribu kulifukia swali uliloulizwa kijanja ili wafuasi wako wasione kwamba umeshindwa.Unaelewa kwamba ukishaanza kujiuliza kama mantiki inafaa au haifai tayari unatumia mantiki hapo?
Sent using Jamii Forums mobile app
....mitihani hupewa wanao amini tu !Naaaaaaam
Ndugu wanajamvi,
Kuna huyu mjomba aitwaye Kiranga, huwa anasema kuwa hamwamini Mungu.
Msimwamini hata kidogo maana anaigiza aisee.
Juzi nilipandisha uzi jamvini hapa unao husu mrembo Shombe aliyetokea kunihusudu mimi mume wa mtu.
Naona kama ndoto.. Mtoto Shombe Shombe kazama kwangu, kanichagua kati ya wengi.. Nami nina mke - JamiiForums
Kiranga alijitokeza na kunipa ushauri ambao moja kwa moja ni ushauri wa Kimungu. Maneno aliyoyasema Kiranga ni hayo hapo chini kwenye screenshot.
Kiranga ktk ushauri wake huo alisema kuwa, ' NDOA NI AGANO TAKATIFU '.
Sasa kwa hali ya kawaida, ni atheist gani anaamini ktk utakatifu?? Utakatifu huo anauamini kutoka kwa nani?
Ni dhahiri kabisa huyu jamaa anamwamini Mungu maana utakatifu hautoki popote zaidi ya kwa Mungu.
Siku zote anatuigizia hapa, leo kajianika mwenyewe.
View attachment 846447
Sent using Jamii Forums mobile app
Siyo kila maneno ambayo huyaelewi hayaeleweki.Umepaniki mpaka umeanza kuandika maneno yasiyo eleweka.
...mtihani hupewa wanao amini tu !Naaaaaaam
Ndugu wanajamvi,
Kuna huyu mjomba aitwaye Kiranga, huwa anasema kuwa hamwamini Mungu.
Msimwamini hata kidogo maana anaigiza aisee.
Juzi nilipandisha uzi jamvini hapa unao husu mrembo Shombe aliyetokea kunihusudu mimi mume wa mtu.
Naona kama ndoto.. Mtoto Shombe Shombe kazama kwangu, kanichagua kati ya wengi.. Nami nina mke - JamiiForums
Kiranga alijitokeza na kunipa ushauri ambao moja kwa moja ni ushauri wa Kimungu. Maneno aliyoyasema Kiranga ni hayo hapo chini kwenye screenshot.
Kiranga ktk ushauri wake huo alisema kuwa, ' NDOA NI AGANO TAKATIFU '.
Sasa kwa hali ya kawaida, ni atheist gani anaamini ktk utakatifu?? Utakatifu huo anauamini kutoka kwa nani?
Ni dhahiri kabisa huyu jamaa anamwamini Mungu maana utakatifu hautoki popote zaidi ya kwa Mungu.
Siku zote anatuigizia hapa, leo kajianika mwenyewe.
View attachment 846447
Sent using Jamii Forums mobile app
Mjibu kwanza Zurri hoja zake ,acha kuruka ruka kama ngedere.Unaruhusiwa kuishikwamatumaini hayo, nihakiyako ya kikatiba.
Ukiweza kuw ana uthibitisho wa unayoandika, njoo hapa tujadili kwa facts.
Swali lipi? Ninalifukia kijanja? Na wapi niliwahi kusema nina majibu ya maswali yote?Ninaona unajaribu kulifukia swali uliloulizwa kijanja ili wafuasi wako wasione kwamba umeshindwa.
Katika ulimwengu wa hypertext, quotes, links, post numbers etc,kuandika "mjibu Zurri hoja zake" bila kutoa quote, hyperlink au hata post number ni kielelezo cha uvivu wa kufikiri au kukosa uwezo zaidi kidogo tu ya ya reflex action.Mjibu kwanza Zurri hoja zake ,acha kuruka ruka kama ngedere.
Sawa ,tuambie haya maneno uliyoyaandika yana maana gani?Siyo kila maneno ambayo huyaelewi hayaeleweki.