CONFIRMED: Kiranga siyo Atheist. Ana pretend tu. Ushahidi huu hapa amejianika mwenyewe

Hahahahaaa na ni vile napambania mwendokasi
Tungekesha...

Hapo ukute Kiranga ni mzee wa kanisa

[emoji252] [emoji479]
Pole sana pambana. Huwa sipendi kujadiliana na watoto wa kike mijadala ya kielimu,huwa napata tabu sana kuchagua lugha laini ili kwenda nae au nao sawa.

Sasa ulivyosema "Jioni njema" nilishukuru sana aisee,kwani umenisaidia pakubwa sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Rekebisha hapo
"mtoto wa kike"

[emoji252] [emoji479]
 
Umepaniki mpaka umeanza kuandika maneno yasiyo eleweka.
 
....mitihani hupewa wanao amini tu !

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kiranga anasali kanisani kwetu hana lokote
Kila siku ya ibada ana anguka madhabahuni
 
...mtihani hupewa wanao amini tu !
Qur'an: 9:126.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mjibu kwanza Zurri hoja zake ,acha kuruka ruka kama ngedere.
Katika ulimwengu wa hypertext, quotes, links, post numbers etc,kuandika "mjibu Zurri hoja zake" bila kutoa quote, hyperlink au hata post number ni kielelezo cha uvivu wa kufikiri au kukosa uwezo zaidi kidogo tu ya ya reflex action.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…