Thibitisha Mungu yupo.Kiranga ni maskini wa fikra utashi wake wa kufikiri umejaa dharau na kuAMINI KATIKA MIFANO ISIYO SAHIHI
Mfano mdogo tu huyu ana amini kamusi ya kiswahili ndio imetafsiri utakatifu wa kiroho ni sawa na kutatisha nguo
Kiranga wewe utakua kuni siku ya hukumu
Nimemkimbia Zurri wapi?Bwan Zurri huyu ndugu Kiranga ameshakukimbia kwa kushindwa kujibu hoja... Na siyo mara ya kwanza hii
Sent using Jamii Forums mobile app
Maswali alikuliza huko nyuma ukazunguka tu kichaka hukujibu... Usiniambie niquote au nikupe namba ya post maana uzi upo na unaweza pitia mwenyewe ukaona ulipokwepa.Nimemkimbia Zurri wapi?
Unaweza kuthibitisha Mungu yupo?
Kama alikufata Pm ndo akakupa huo ushauri,,Mkuu hiki ulichokifanya sio sawa,,,mwanaume wa kweli hawezi kuwa hivyo amekufata kwa siri umekuja kumuanika hadharani siku nyingine utakosa wa kukushauri kwa mambo kama hayaNaaaaaaam
Ndugu wanajamvi,
Kuna huyu mjomba aitwaye Kiranga, huwa anasema kuwa hamwamini Mungu.
Msimwamini hata kidogo maana anaigiza aisee.
Juzi nilipandisha uzi jamvini hapa unao husu mrembo Shombe aliyetokea kunihusudu mimi mume wa mtu.
Naona kama ndoto.. Mtoto Shombe Shombe kazama kwangu, kanichagua kati ya wengi.. Nami nina mke - JamiiForums
Kiranga alijitokeza na kunipa ushauri ambao moja kwa moja ni ushauri wa Kimungu. Maneno aliyoyasema Kiranga ni hayo hapo chini kwenye screenshot.
Kiranga ktk ushauri wake huo alisema kuwa, ' NDOA NI AGANO TAKATIFU '.
Sasa kwa hali ya kawaida, ni atheist gani anaamini ktk utakatifu?? Utakatifu huo anauamini kutoka kwa nani?
Ni dhahiri kabisa huyu jamaa anamwamini Mungu maana utakatifu hautoki popote zaidi ya kwa Mungu.
Siku zote anatuigizia hapa, leo kajianika mwenyewe.
View attachment 846447
Sent using Jamii Forums mobile app
Huko nyuma wapi kusiko na link, quote wala post number?Maswali alikuliza huko nyuma ukazunguka tu kichaka hukujibu... Usiniambie niquote au nikupe namba ya post maana uzi upo na unaweza pitia mwenyewe ukaona ulipokwepa.
Ndiyo naweza. Vipi wewe unaweza kuthibitisha kuwa hayupo?
Sent using Jamii Forums mobile app
Ha ha mkuu katoa utetezi wa ajabu sana kunasibisha neno safi (takata) na takatifu, clean na holy hata kama ndiyo kutaka kuonekana wewe ndiyo mtabe ila siyo kwa kiwango hicho
Umesoma uzi ukaelewa mkuu?Kama alikufata Pm ndo akakupa huo ushauri,,Mkuu hiki ulichokifanya sio sawa,,,mwanaume wa kweli hawezi kuwa hivyo amekufata kwa siri umekuja kumuanika hadharani siku nyingine utakosa wa kukushauri kwa mambo kama haya
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu, unapaniki?Huko nyuma wapi kusiko na link, quote wala post number?
Mbona unaandika kama ngumbaru asiyejua kusoma, kuandika na kuhesabu katika zama hizi za internet hyperlink?
Huna post number wala quote.Mkuu, unapaniki?
Sina haja ya kukuletea post number au quote... Wacha uvivu rudi ukasome ujibu maswali uliyokwepa.
Pia jibu nilichokuuliza hapo usikwepe
Sent using Jamii Forums mobile app
Haha...Ha ha mkuu katoa utetezi wa ajabu sana kunasibisha neno safi (takata) na takatifu, clean na holy hata kama ndiyo kutaka kuonekana wewe ndiyo mtabe ila siyo kwa kiwango hicho
Wewe jifunze kuandika kwanza ngumbaru wahed.Haha...
Jamaa huyu Kiranga anaonaga yeye ni mtabe na watu humu wamemjaza kichwa kuwa ni mtabe kumbe hamna lolote..
Akiona unamshinda hoja, anapaniki na anakuja na misamiati migumu migumu kuonesha kwamba kasoma na anajua vitu kumbe ziro tu kichwani
Sent using Jamii Forums mobile app
Wacha uvivu nenda kajibu maswali uliyoulizwaHuna post number wala quote.
Kwa sababu unatunga hadithi za kitu ambacho hakipo.
Kamusi toleo la tatu la Taasisi ya taalum ya lugha ya kiswahili(TATAKI) iliyokuwa ikiitwa Taasisi ya uchunguzi wa kiswahili(TUKi) ambayo ndiyo chombo pekee chenye kutoa kamusi za lahaja sanifu ya kiswahili ambayo inatambulika duniani koteKamusi Kuu ya Kiswahili
Baraza la Kiswahili la Taifa. Longhorn Publishers Limited. Toleo la 2015.
Ukurasa wa 977
Takata
Kitendo cha kitu kama nguo kuwa safi bila hata uchafu kidogo.
Safi, kuwa safi
Takatia, takatisha, takatika n.k
Naona kichwa chako kimebakisha matope tu ndo maana umekosa cha kuandika...Wewe jifunze kuandika kwanza ngumbaru wahed.
Cc: KirangaKamusi toleo la tatu la Taasisi ya taalum ya lugha ya kiswahili(TATAKI) iliyokuwa ikiitwa Taasisi ya uchunguzi wa kiswahili(TUKi) ambayo ndiyo chombo pekee chenye kutoa kamusi za lahaja sanifu ya kiswahili ambayo inatambulika duniani kote
Sent using Jamii Forums mobile app
Nakuuliza kwann unalala usiku na mchana unafanya shughuli zakoThibitisha Mungu yupo.
Nilichogundua ww hujui maana na scope ya mantiki. Vitu vingine mvisomage kwanza msiwe mnaparamia kila kitu kwa kujifnya ma-all knowing.Mantiki elimu ndogo sana wala haina jipya zaidi ya kucheza na maneno tu.
Niliiona ni elimu ya waliokata tamaa katika matumizi ya akili ndio maana nikaipuuzia kiutendaji.
Huwezi kutumia misingi ya elimu ya mantiki ukatoka salama katika tafakuri na kupatia. Hilo halijawahi kutokea.
Unatuthibitishiaje kwamba upeo wako wa kufikiri uliotumia hapa ni zaid kuliko unaotumiwa na mwanamantiki yeyote??Huko ni zaidi ya mantiki na huwezi kuniambia hata nikikupa miaka na mikaka kwanini nimesema kwanini haifai ? Hiyo nimekupa ziada tu ya faida.
Kwani hata waliopotea waliona wako sahihi na wakaiwekea misingi na kuifata na kuendelea kuhakiki hoja kwa kutumia misingi hiyo.
Hapa nimefikiri zaidi ya wana mantiki wenyewe. Hakuna mwana mantiki awezayo kufikiri mpaka hapo nilipofikiri mimi.
Tuendelee na mjadala.
Sent using Jamii Forums mobile app