Innocent Kirumbuyo
JF-Expert Member
- Jan 1, 2014
- 4,641
- 4,457
Sisi simba akuna anayeweza kutuzuia kuchukuwa ili kombe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nkana ya miaka hiyo siyo hii ya sasa na simba ya miaka hiyo siyo hii ya sasa, mambo yamebadilika sana tusubiri tuoneYawezekana wewe ni mdogo , huko nyuma Nkana red devils wamewahi kuwatoa Simba mara mbili. Kwa hiyo mechi hii ni mbaya zaidi kwa Simba kuliko Nkana
Ile alikuemo Madaraka Mzee wa kiminyio. After all Zambia wako juu yetu sana. Twende kwa tahadhari kubwa sanaNkana ya miaka hiyo siyo hii ya sasa na simba ya miaka hiyo siyo hii ya sasa, mambo yamebadilika sana tusubiri tuone
Hakika mkuuIle alikuemo Madaraka Mzee wa kiminyio. After all Zambia wako juu yetu sana. Twende kwa tahadhari kubwa sana
Kuwa na matumaini ni jambo jema. Hali halisi ni kitu kingine.hivyo ndivyo mnavyojipa moyo... Simba namuweka kwenye timu zinazoweza kuchukua CAF Champions League Msimu huu
Kocha wao wa Taifa mdogo wake Amunike anawaacha wachezaji wanaocheza SA anawaita vilaza kina chama..wameshindwa kuqualify kundi jepesi mpaka Namibia kapitaHuo ni uvivu wa kufikiri. Wangekuwana wachezaji wazuri basi kessy asingepata namba. Lakini pia wangekuwa na wachezaji wazuri ukiisoma link hii ambayo inaonyesha wana wachezaji wawili tu ndio walioitwa Zambia National Team
Zambia : Zambia National Football team head coach Names Squad
AFCON wanaenda??? nasikia was mwisho kwenye kundi lao ..Namibia anaenda AFCON imagingHata kusoma tarehe inakushinda ilikuwa tarehe 29 July 2018. Hivi julai ndio mwezi wa sita kwa kiswahili.
Wacha ubishi wa kijinga. Ukweli hauwezi kubadilika kwa kubadilisha tarehe.
CHAMA ni vice captain wa Chipolopolo.
Hupendi kachukue ndimu upunguze kichefuchefu.Katafute link nyingine.
Binafsi huwa sipendi sana kuanzia ugenini ,maana ukipigwa nyingi kupindua meza ni ngumukama tunaanzia ugenini ni advantage kwa simba
Hawana pesa!We!!!we!!! kule zambia ndio soka lilipozaliwa afrika. Chama angekua kiboko kuliko aliowaacha kule wasingekubali kuja kucheza mchangani huku...kule kuna mijichama iliyokubuhu
Pointkama
Kungekuwa na wachezaji wazuri zaidi yake basi asingeitwa timu ya taifa tena anakuwa kwenye kikosi cha kwanza.
"jina lako linasadifu yaliyomo"Kiukweli hakuna mchezaji anayependa kuja kucheza huku mchangani.. halafu aache kucheza huko mambele Kama kina wanyama,samata,mane....mchezaji wa nje.. tena nchi kubwa kisoka kama Zambia.. aje kucheza hapa Tanzania???....ukiona hivyo ujue huyo ni "CHUMA CHAKAVU "!!...
sasa huyo chama sijui skrepa!.... kashindwa nini kwenda ulaya Kama wenzake????... mambumbumbu ndo zenu kuuziwa vyuma chakavu akina kagere, okwi na lile jambazi lenye kiduku "wawa "...
"bando ni langu usinipangie cha kuandika.
Na kweli hujakosea."jina lako linasadifu yaliyomo"
Tulikuwa tumepungukiwa Pesa mzee baba!Vyura msijifanye hamna MB matokeo yenu huko sumbawanga tunayo
wale mbambane hata wangecheza na Mtibwa basi mtibwa wangefuzu.Mimbumbumbu safari imeiva
Anaitwa Zahera aka Mutu Ya Kongo.Leo Yanga amecheza "champions league " yao kule Sumbawanga mkoani Rukwa.
Matokeo ni kwamba kocha Zahere imebidi alie tena.
Wapenzi wa migongo wazi matokeo ngapi ngapi?
Magufuli alisema Simba hawana timu ya Kufuzu.Kwani tukipita apa tuna cheza tena? Au tuna ingia kwenye makundi