Kwa hio wewe ulitakaje kenge hasikii mpaka masikio yavuje damu au sio?Haitabadilisha kitu
Aisee,Unasemaje waraka mkuu?!!Niko hapa kuthibitisha hilo pasi na chembe ya shaka yoyote leo nimehudhuria ibada ya misa takatifu katika kanisa la St Joseph Cathedral Dar.
Waraka umesomwa kwa waumini wote, na kupitia reliable source ya Jesuits agent amenithibitishia makanisa yote na vigango vyote vya kanisa katoliki Tanzania nzima wamesomewa waraka huo leo.
Pascal Mayalla unajisikiaje kwa kuikana imani kwa sababu ya vipande 30 vya fedha?
Mama Samia anakwenda kuwaabisha wanafki na machawa wote, kesho asubuhi Rais anapewa brief na DG wa usalama wa Taifa
reaction ya Taifa baada ya waraka wa TEC na Rais anakwenda kulihutubia Taifa, watch n see, lisipotekea hili JF wanipige life ban.
Roma Locuta, Causa Finita Est.
Jidanganye hii , first move Bado Kuna plan nyingine hiyo ni hatari zaidiHaitabadilisha kitu
Kwanini mkishindwa kujibu hoja mnajificha kwenye koti la udini? Umesomewa waraka au umeuona? pangua vifungu.
Umevurugikiwa au umechaganyikiwa?RC walihusika kuua watu zaidi ya milioni 50 duniani.
Mungu Ndio sauti ya mwisho!Roma ikiongea, ni Amri na ndio sauti ya mwisho.
Academic estimates around 90 000 000–1.2 billion people have died as the result of Islam and it’s continuous war of religious expansion since the 7th century to the current day across three continents. That’s 1400 years of a single religion being at war with all other faiths and peoples.RC walihusika kuua watu zaidi ya milioni 50 duniani.
Nimeshindwaje kujibu hoja mkuu? Mm nimemjibu huyo alo Sema kua, tamko la TEC halita badili kituKwanini mkishindwa kujibu hoja mnajificha kwenye koti la udini? Umesomewa waraka au umeuona? pangua vifungu.
Unadhani hao TEC sio raia, waumini sio raia?
Turushie waraka unasemeje na sisi tuusome basiWakuu Natanguliza salamu , baada ya kuwasabahi naingia moja kwa moja kwenye hoja .
Jana iliagizwa kwamba ndani ya Makanisa yote na Parokia zote za kanisa Katoliki leo Jumapili , waumini wasomewe Waraka wa Maaskofu wa kupinga DP WORLD kupewa Bandari za Tanganyika .
Naweza kuthibitisha kwamba hawa watu ni Waaminifu sana ! WARAKA HUO UMESOMWA BILA HATA KUPUNGUZA NENO .
View attachment 2722618
Ugaidi je?
Hakuna kanisa linaitwa RCRC walihusika kuua watu zaidi ya milioni 50 duniani.
Kwenye mauzo ya nchi je?
Mkuu Hutaki taarifa ziletwe hapa JF ?Wewe ni mnafiki wa Ngyeke... Na ndo maana Upinzani utaendelea kuwa upinzani daima
DuuhTurushie waraka unasemeje na sisi tuusome basi
Wewe ni mnafiki wa Ngyeke... Na ndo maana Upinzani utaendelea kuwa upinzani daima
Natamani moja ya agenda ya hiyo fictitious press briefing ya presidaaaa kesho iwe ni kulifutia RC usajili.Niko hapa kuthibitisha hilo pasi na chembe ya shaka yoyote leo nimehudhuria ibada ya misa takatifu katika kanisa la St Joseph Cathedral Dar.
Waraka umesomwa kwa waumini wote, na kupitia reliable source ya Jesuits agent amenithibitishia makanisa yote na vigango vyote vya kanisa katoliki Tanzania nzima wamesomewa waraka huo leo.
Pascal Mayalla unajisikiaje kwa kuikana imani kwa sababu ya vipande 30 vya fedha?
Mama Samia anakwenda kuwaabisha wanafki na machawa wote, kesho asubuhi Rais anapewa brief na DG wa usalama wa Taifa
reaction ya Taifa baada ya waraka wa TEC na Rais anakwenda kulihutubia Taifa, watch n see, lisipotekea hili JF wanipige life ban.
Roma Locuta, Causa Finita Est.
Karibu sana KyelaUmenikumbusha Ngyeke, Ipinda, Kisyosho, kijiji cha Mababu mpaka Matema
Karibu sana Kyela