Congo (1) vs Serengeti Boys (0): Serengeti Boys yashindwa Kufuzu Fainali za Afrika

Mbona tumachanganyana jamani?
 
Tz U-17 Imefanikiwa kusonga mbele kwenye mashindano ya Afrika kwa kuwalazimisha sare ya tasa na congo-brazaville.
HONGERENI VIJANA WETU.
KUMRADHI WANAJAMII FORUM KWA TAARIFA TATANISHI HII NI KUTOKANA NA ERRORS UPDATE.MASAHIHISHO YA TAARIFA.
 
Wapi mzee Jecha afanye mambo vijana wetu waendelee. Futa matokeo haya
 
Tatizo Nape alijiingiza kwenye haya mashindano!!Mwanzoni vijana walikuwa wanashinda kimya kimya tu.
Zilipoanza mbwembwe vijana wakaanza kucheza na jukwaa...Ndio basi tena!!Ukoo wenye gundu,leo ndoa kesho talaka
 
Hakuna timu pale...... Nilijua watawaiga kakazao tuu. Fani ya wabongo ni Majungu tuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…