Askari Muoga
JF-Expert Member
- Oct 22, 2015
- 6,113
- 4,658
moja kati ya lugha ngumu kabisaWamejitahidi hata hivyo pongezi kwao..lugha ya mpira tunasema wabebakwa lakini kwa tabu sana
Hiyo ""mbinde sana "" imesaidia nini?ndio kufungwa wamefungwa lakini kwa mbinde saaaana
HT MANAKE NN NA FT MANAKEView attachment 411079. Mtoa post ndio muongo
hujui ukisemacho!Watafuzu kama best looser kama wamefungwa
Ahsante kwa taarifahujui ukisemacho!
best looser huwa ipo kwenye makundi, sio kwenye mtoano!
Hili mkuu ndio tatizoBaada ya mwaka hao watoto watakapo potelewa hawajulikana