Congo DRC, imekuwa kubwa jinga, Tanzania tusijiingize!

Kubwa Jinga badala ya kujitajirisha, angeorganise jeshi lenye mafunzo idadi ya laki moja tu, PK asingemnyanyasa kama anavyofanywa sasa.
Tatizo waCongo starehe nyingi na hawako serious na kitu chochote.
Sasa inakula kwao.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…