Connection kati ya walio na Mtaji wa Pesa na walio na Mawazo Mazuri ya Biashara

Connection kati ya walio na Mtaji wa Pesa na walio na Mawazo Mazuri ya Biashara

Riba 440% we kiboko
Nadhani sasa mmenielewa nilichoandika hapo juu...hao ndo aina ya watu eti uwe nae business partner sababu wanahela afu wewe una idea. Narudia tena wengi wa walionapesa isiyokua kwenye biashara hawana akili ya biashara na mtazinguana tu...imagine hapo anataka na mali isiyohamishika kama dhamana sababu yeye anachoona ni win lose situation tu...yeye awin wewe upoteze. Tafuta mtaji kidogokidogo achana na hawa watu
 
Nadhani sasa mmenielewa nilichoandika hapo juu...hao ndo aina ya watu eti uwe nae business partner sababu wanahela afu wewe una idea. Narudia tena wengi wa walionapesa isiyokua kwenye biashara hawana akili ya biashara na mtazinguana tu...imagine hapo anataka na mali isiyohamishika kama dhamana sababu yeye anachoona ni win lose situation tu...yeye awin wewe upoteze. Tafuta mtaji kidogokidogo achana na hawa watu
Kumewahi kuwa na wazo kwamba, kwa nini isiwepo bank ya ideas, mawazo yasajiliwe COSOTA huko yapate hati miliki alafu wenye pesa wanapotaka kufanya biashara na hawana ideas waende hiyo bank ya ideas wawekeze kwenye mawazo, so inakuwa 50/50 kwenye mgawanyo wa faida. au hata kama ni 40/50, ndo waarabu huko wanachofanya, wakikuta una rasilimali ya mafuta kwako, mnagawana faida na mwekezaji..
 
Nadhani sasa mmenielewa nilichoandika hapo juu...hao ndo aina ya watu eti uwe nae business partner sababu wanahela afu wewe una idea. Narudia tena wengi wa walionapesa isiyokua kwenye biashara hawana akili ya biashara na mtazinguana tu...imagine hapo anataka na mali isiyohamishika kama dhamana sababu yeye anachoona ni win lose situation tu...yeye awin wewe upoteze. Tafuta mtaji kidogokidogo achana na hawa watu
Safi mkuu una mtazamo mzuri na hesabu zako na ushauri ni mzuri sana tuta pambana na Idea zetu taratibu tuta inuka ipo siku maana wenye pesa zao wana angalia Short Term revenue hawajui investment na kupata faida ina chukua muda maana mpaka mtengeneze strong customer base it takes time hata kama huduma zenu ama bidhaa zenu ni nzuri mna hitaji kujulikana kabla ya kutengeneza faida lakini wenzetu hawajui hizo
 
NAMTAFUTA MTU NIMPE PESA AWEKE DHAMANA YA ISIYOHAMISHIKA KILA SIKU AWE ANANIPATIA 30 000 KWA KILA SIKU KWA KIASI CHA MILIONI MBILI NITAKAZOMPATIA MKATABA MIEZI SITA kwa wanaojua kuzungusha fedha fasta pekee
uko wapi mkuu nkuunge na mtu chapu mfanye kazi yeye anakiwanja.
 
Safi mkuu una mtazamo mzuri na hesabu zako na ushauri ni mzuri sana tuta pambana na Idea zetu taratibu tuta inuka ipo siku maana wenye pesa zao wana angalia Short Term revenue hawajui investment na kupata faida ina chukua muda maana mpaka mtengeneze strong customer base it takes time hata kama huduma zenu ama bidhaa zenu ni nzuri mna hitaji kujulikana kabla ya kutengeneza faida lakini wenzetu hawajui hizo
Mkombozi ni vicoba na saccos tu na ule mchezo wa kuchangiana kama mtaji mdogo sana na unataka kukuza mtaji haraka ila sio kutafuta business partner. Labda partner nae awe mnapambana pamoja ila wale waliokaa tu anataka hela imzalishie mtaumizana tu sababu asilimia kubwa biashara inaweza kufeli kuliko kuexcel
 
uko wapi mkuu nkuunge na mtu chapu mfanye kazi yeye anakiwanja.
Unaijua biashara? Huyo mwenye kiwanja kama unamjali usimpe hiyo habari, vinginevyo mwambie ahesabu kakipoteza na wewe ndo utakua mchawi
 
Habari za leo!
Mimi naitwa Hussein, nafanya biashara ya kusupply Kuku na Cutups zake kwenye mahoteli na mabucha ya mjini.

Katika kila kilo nafight kupata margin ya Tsh 500-1000, kwa Sasa nna zungusha Kuku 50, kwa siku. Orders zinazidi kuongezeka kila siku namshukuru Mola.

Kwa Sasa nazungusha capital ya 1.5M ambapo roughly kila siku nalaza elfu 18 Kama Faida baada ya kutoa gharama zote.

Naomba connection nipate Pikipiki ntafanya kwa Mkataba niirudishe hela, au mtu mwenye capital ya 2.5M anikopeshe 1M. Kila mwezi ntamrudishia Laki 1, then ntamshika mkono kwenye hii business nnayofanya Mimi, anaweza fanyia kokote ndani ya dar, mm ntamsaidia kwenye masoko.

Naomba kuwasilisha.
 

Attachments

  • IMG_20210303_142301_930.jpg
    IMG_20210303_142301_930.jpg
    139.8 KB · Views: 8
  • IMG_20210225_175904_301.jpg
    IMG_20210225_175904_301.jpg
    282.6 KB · Views: 8
  • IMG_20210214_140336_455.jpg
    IMG_20210214_140336_455.jpg
    209 KB · Views: 8
  • IMG_20210218_170852_826.jpg
    IMG_20210218_170852_826.jpg
    206.3 KB · Views: 8
Back
Top Bottom