Connection za kazi nje ya nchi: Qatar, Oman, Dubai, Saudi, UAE

We jamaa, huna tofauti na wachungqji, waliojaa kila Kona hapa, bongo, wote wanatsfuta namna yq kupata maokoto!
Kwa ufupi, ndugu zangu wasomaji, msiamini sana maneno ya mitandsoni kama haya, hapa, umeweka story zako, za, kusaka kazi, inawezekana ni maneno kama ya kwenye kanga tu,hatuwezi kudhibitisha, ni kama Geodave anaposema alifanya kikao na Mungu!
We huna msaada wowote, unataka vijana waingie kingi tu,
Mchango wangu:kazi, za, makampuni ya simu, Voda, tigo, Airtel, za, kwenye mineral, hufanywa na hizi kampuni, APM, pivotech,Csmusat, NETIS,NEWL(Sakina Arusha). sincro(Dar kwa, mwalimu).
Haya makampuni uajiri hata freshers kutoka vyyoni,baadhi hutangaza nafasi, kwenye kurasa zao, wengine kimya kimya, ibuka Getini pereka CV,
Kampuni nyingine Worldmobile wapo michenzani mall Zenj, floor number 6.hawa, wanafunga internet kwenye mashule,
 
umeandika haraka haraka sana... ila shukrani sana kwa mchango wako... ila hilo neno kuingia kingi ulivyo litumia utadhani unanifahamu physically... kwa kifupi natumia majina yangu harisi...

picha unayo iona hapo kwa profile ni yakwangu mimi mwenyewe... jf wamejiridhisha kuwa huyo unae muona kwenye profile 100% ni mimi ndio maana nipo verified.

sijawahi kutapeli mtu na sitarajii kuishi kwa kiutapeli ukitaka kunielewa vizuri njoo unisome kwenye uzi huu

Changamoto za mfumo wa maombi ya ajira za Elimu na Afya 2022

wapo mataperi ila naomba unitoe kwenye hiyo list...!

ninafanya kazi inayo niwezesha kutatua changamoto zangu bila kutumia nguvu moja ya kazi zangu ni... Njoo uifahamu Taxi Mtandao BOLT/UBER

sitegemei kumuingiza mtu kingi ili niishi mimi ni mpambanaji ndugu...!​
 
Fursa zipo nyingi ila tatizo lugha na aneongea English bongo anajiona yuko juu sana hawezi kufanya kazi za chini

Wakenya nawaona wanavyofanya kazi kwenye nchi za kiarabu especially Qatar wamejaa sana kuanzia Airport kazi zote kama luggage handlers, cleaners, kwenye migahawa wapo na hata petrol stations ndio wao wanafanya

Wameona watafute mbadala wa wahindi maana wao wameitana na kupeana kazi kuanzia Managers mpaka wasafishaji
Yaani kwa mpaka wamewazidi wazawa kwa wingi
Na ni waizi na ulaghai kibao
Ila wenzetu wao hawana mda wa kuleta wenzao mpaka waletwe na serikali

Kuna fursa nyingi mpaka nawaona wasomali wengi sana polisi na wanajeshi huko

Sasa wanaanza kuajiri mpaka wakenya kwenye constructions
Kama jamaa anaujanja ujanja ni rahisi kufuatilia na kujua hizo fursa na vigezo hata kwenye balozi zao
Mitandao unaweza kuangalia ila kumbuka kuna wanaijeria wasomi wanaiba kama nini
Ukijichanganya tu tena utatoa dollars mwenyewe 😄
 
umeandika ukweli mtupu.... hapa nyumbani wabongo vichwa vimelala.... ukimwambia mtu fursa za ughaibuni anakwambia huko watu wanafanyiwa ukatili... hivi kuna sehemu ambayo watu awafanyiani ukatili 100%...

wanasahau kuwa yeyote ukiingia kwenye anga la vitu vyake anavyo vipenda lazima akufanyie ukatili tu....!

wakenya na waganda wametupiga gap kubwa sana ki diaspora​
 
Na wanachangia sana kutuma hela kwao
Ila sisi kuna watu wana roho mbaya na za kimasikini
 
Na wengi walio fika nje wanakata kabisa ramani awataki kutoa ramani kwa wenzao...kwa kweli tuna changamoto sana kwenye swala zima la kushikana Mikono...!​
Wabongo wana roho mbaya sana hata walioko nje wengi wao ni wabaya sana
Wanaweza kukuchoma ukarudishwa kisa mmekosana tu na wakipata kazi wanaona kama wamepata pepo

Sijuani nao sana ila nasikia habari zao tu
Hawana msaada kwa wenzao
Bora kukaa nao mbali tu
 
Harafu uaminifu wao ni zero...kwenye harakati zangu hizi za kuitafuta Fursa. Nimetapeliwa zaidi ya m6 na watu tofauti tofauti ninao wafahamu ambao wapo huko majuu😭😭😭

Watu ambao wapo abroad sijui wanadhani maisha wameyapatia hivyo awato Rudi nyumbani...!​
 
Hawa walitoa kaz indeed kumbe n matapel nadhan ni wa naija nkaenda nao mpaka ilpofka muda wa kulipia visa ndio nkajua hawa si wema nkaanza kuchimba iyo kampun kumbe wamecopy kila kitu kutoka kampuni inayoitwa MEG energy majina ya ma hr na madairector yote wameweka apo kwenye web yao mpka ukagundue hawa n majiz inahitaj akil kubwa sana mana mpka contact na apointment ya ubaloz walinipa ila lilipofika swala la malipo karbu dola 1780 ndio nkajua watanzania ua tunaponzwa na kutokua na taarfa zaid
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…