Consession na lease agreements zinapoandaliwa muda huu, watendaji serikalini wakumbuke maana ya usiri kazini (confidentiality)

Consession na lease agreements zinapoandaliwa muda huu, watendaji serikalini wakumbuke maana ya usiri kazini (confidentiality)

Mikataba na concession za michongo! Hakuna ushindani ni mwendo wa kupeana RUSHWA na 10% basi.
Mimi ni CCM lakini wenzetu wanaokula hadi kuvembewa hawaoni hata kinachotokea Africa Magharibi!
Wananchi wakishachoka Serikali za kifisadi basi hujichukulia njia wanayojua wao!
Suala la Bandari jinsi lilivyopelekwa na Rais Samia Lina Mazingira ya RUSHWA kubwa sana!
Hakuna mtu mwenye akili anayeweza kumuunga Samia mkono kwenye hili!
Machawa wake waendelee kumdanganya!
Mlipewa muda mwingi sana wa kutoa mawazo yenu mpaka mkaweza kwenda mahakamani kule Mbeya na mahakama ikagundua kuwa hamna hoja za maana zaidi ya kuwa ni uanaharakati tu mwingi.

Unaweza kuthibitisha kwa ushahidi kamili wenye kueleweka mahakamani aina ya rushwa iliyomo kwenye suala hili la DP World?, zaidi ya kuwa ni mihemko tu na jazba zisizo na msingi!.
 
Uelewa wetu mdogo unatufanya tuamini kwamba nchi inachezewa ukweli ni kwamba nchi inakwenda kuwafagia wapigaji wa pale TPA ili pesa halali na nyingi iweze kuingia kwenye uchumi mkuu.

Ili mzigo mwingi unaotoka DRC na Rwanda uweze kusafiri kwenda nje ya nchi kwa haraka zaidi na tusipoteze soko la ushoroba huu.

Mungu aliyeiumba Tanzania na kuiweka hapa ilipo kijiografia alishamaliza wajibu wake siku nyingi inabakia wajibu wetu wa kiserikali wa kuitumia faida hiyo ili igeuke kuwa pesa nyingi.
Kila kheri na waarabu wenu.
 
Kosa la kuruhusu mkataba kuvuja na wasiotakiwa kuuona limeshafanyika na gharama ya kujitetea zimekuwa kubwa kwa upande wa serikalini. Mijadala imekuwa ni mingi kutoka kwa watu wa kada mbalimbali juu ya masuala ya kisheria.

Nani alivujisha siri za serikali? Wahusika wanajuana na wameshaiona gharama ya walichokifanya. Serikali imepoteza ule usiri uliokuwepo kuanzia awamu ya Hayati Benjamin Mkapa kurudi awamu ya pili na ya kwanza. Kuwepo kwa watu wanaotumia anwani ya Kigogo 2014 na Kigogo 20014 kumekuwa ni mwiba kwa mipango ya kiserikalini.

Kuzungukana ni kwingi sana kuanzia kwa watendaji wa ikulu yenyewe mpaka huko kwenye mawizara mbalimbali. Makundi ni mengi na yanatafuna ufanisi mzima wa baadhi ya maazimio na miradi ya kiserikali. Aliyeuvujisha huu mkataba wa bandari anaweza kuwa ni mmoja wa wale wenye nia ya kutafuta urais wa mwaka 2025 au 2030 hivyo akadhani kuwa kuichimba serikali ya SSH ni njia ya kujirahisishia kazi ya kwenda ikulu.

Niliuelewa ukimya wa Rais na wasaidizi wake hata pale mbinu za wapinzani wake zilipomtaka afungue mdomo aongelee suala la bandari. Alifahamu mtego wa wapinzani wake na akaamua kuendelea na masuala mengine ya kiserikali kama vile hahusiki na suala zima la bandari. Alijua ni kwa kiasi gani wapigaji wa TPA walikuwa wakiumia mioyo yao kutaka kujua msimamo wa serikali ni upi.

Bahati mbaya sana Mababa Askofu wenye kuheshimika kwenye jamii zetu wakarekodiwa zile video fupi na zikarushwa mitandaoni ilimradi tu kuigawa jamii ya kitanzania. Huko kanisani mapadre wakaanza kuhubiri kuhusu bandari bila ya kuwa na uelewa mpana wa hicho wanachokiongelea mbele ya waumini wao.

Adui pia akawatumia wazee wenye ushawishi na umaarufu ndani ya CCM lengo likiwa kauli yao iwe ndio rejea ya wanajamii wanaofuatilia suala zima. Kwamba Profesa Shivji au Profesa Lipumba akitoa maoni yake kuhusu bandari sisi wengine tulifanya makosa kuwakosoa na kuhoji juu ya maadili mazima ya wao kulikosoa lengo zima la uwekezaji!

Utanganyika na uzanzibari vikaanza kuongelewa kama vile ni hatua njema kabisa kwa mustakabali wa Tanzania. Watu wakasahau kuwa yapo maisha baada ya kuwepo kwa Tanganyika kama nchi mpya, wakasahau kuwa ule umaskini wetu upo pale pale hata baada ya kujitenga na kuwa nchi mbili kamili.

Yote haya yamesababishwa na wale walioshindwa kutunza siri za serikali na wakaamua kuisaliti ofisi inayowalipa mishahara!. Wapo wengi hata hawakutaka kujiuliza hiyo bandari imekuwa ni yetu tangu siku bendera inapandishwa pale uwanja wa Taifa iweje leo eti ndio iuzwe!

Mbegu ya ubaguzi iliyotaka kupandikizwa miongoni mwa watanzania imeshindwa rasmi kule Mbeya baada ya hukumu iliyotolewa na majaji juu ya suala zima la uwekezaji bandarini. Mbegu ya wao na sisi imepoteza kabisa mashiko baada ya DP World kuruhusiwa kisheria kufanya uwekezaji katika bandari yetu.

Ombi maalum kwa wanasheria wanaoandaa mikataba ya kibiashara muda huu katika sehemu fulani ya dunia, ni kutorudia kosa kama lililoufanya mchakato mzima wa uwekezaji kuchukua muda na kuzusha maneno mengi kutoka kwa wanasheria uchwara wa mitandaoni.

Nadhani ni wazoefu kiasi cha kufahamu maana ya kutunza siri haswa katika suala nyeti na lenye maadui wengi kama hili la uwekezaji pale TPA. Wamejifungia wakiumiza vichwa vyao ili waje na vifungu vyenye maslahi kwa wafanyabiashara wazalendo.

Iwapo biashara nzima ya uwekezaji itakwenda kuharibika mbele ya safari na Tanzania ikalazimika kulipa mabilioni ya pesa basi wao wakiwa ni wanasheria wa taifa hawataweza kukwepa lawama zozote zile zitakazoibuka, ni muda wa kuwa makini kadri wawezavyo wakati wa uandishi wa vifungu vyote vitakavyokuwemo katika hiyo mikataba miwili muhimu iliyobakia.

Uwekezaji huu ukikaa sawa na kuzaa faida kwa upande wa TRA watakumbukwa na majina yao yataingizwa kwenye zile kurasa maalum za mashujaa wa Taifa, wakishindwa kuweka uzalendo mbele na weledi wao ukaliangusha taifa maana yake majina yao yatakwenda kupoteza kabisa heshima ambayo wameipata mpaka muda huu.
Nyie mbwa koko na hizi nazo zitavuja vichwa vyenu mavi tupu tangu lini mavi yakaacha kunuka na kusambaa harufu yake
 
Nyie mbwa koko na hizi nazo zitavuja vichwa vyenu mavi tupu tangu lini mavi yakaacha kunuka na kusambaa harufu yake
Maoni yako yanaonyesha wewe ni kijana wa chuo aidha UDOM au DUCE bado umejawa na mihemko mingi kichwa akijatulia bado.
 
Kosa la kuruhusu mkataba kuvuja na wasiotakiwa kuuona limeshafanyika na gharama ya kujitetea zimekuwa kubwa kwa upande wa serikalini. Mijadala imekuwa ni mingi kutoka kwa watu wa kada mbalimbali juu ya masuala ya kisheria.

Nani alivujisha siri za serikali? Wahusika wanajuana na wameshaiona gharama ya walichokifanya. Serikali imepoteza ule usiri uliokuwepo kuanzia awamu ya Hayati Benjamin Mkapa kurudi awamu ya pili na ya kwanza. Kuwepo kwa watu wanaotumia anwani ya Kigogo 2014 na Kigogo 20014 kumekuwa ni mwiba kwa mipango ya kiserikalini.

Kuzungukana ni kwingi sana kuanzia kwa watendaji wa ikulu yenyewe mpaka huko kwenye mawizara mbalimbali. Makundi ni mengi na yanatafuna ufanisi mzima wa baadhi ya maazimio na miradi ya kiserikali. Aliyeuvujisha huu mkataba wa bandari anaweza kuwa ni mmoja wa wale wenye nia ya kutafuta urais wa mwaka 2025 au 2030 hivyo akadhani kuwa kuichimba serikali ya SSH ni njia ya kujirahisishia kazi ya kwenda ikulu.

Niliuelewa ukimya wa Rais na wasaidizi wake hata pale mbinu za wapinzani wake zilipomtaka afungue mdomo aongelee suala la bandari. Alifahamu mtego wa wapinzani wake na akaamua kuendelea na masuala mengine ya kiserikali kama vile hahusiki na suala zima la bandari. Alijua ni kwa kiasi gani wapigaji wa TPA walikuwa wakiumia mioyo yao kutaka kujua msimamo wa serikali ni upi.

Bahati mbaya sana Mababa Askofu wenye kuheshimika kwenye jamii zetu wakarekodiwa zile video fupi na zikarushwa mitandaoni ilimradi tu kuigawa jamii ya kitanzania. Huko kanisani mapadre wakaanza kuhubiri kuhusu bandari bila ya kuwa na uelewa mpana wa hicho wanachokiongelea mbele ya waumini wao.

Adui pia akawatumia wazee wenye ushawishi na umaarufu ndani ya CCM lengo likiwa kauli yao iwe ndio rejea ya wanajamii wanaofuatilia suala zima. Kwamba Profesa Shivji au Profesa Lipumba akitoa maoni yake kuhusu bandari sisi wengine tulifanya makosa kuwakosoa na kuhoji juu ya maadili mazima ya wao kulikosoa lengo zima la uwekezaji!

Utanganyika na uzanzibari vikaanza kuongelewa kama vile ni hatua njema kabisa kwa mustakabali wa Tanzania. Watu wakasahau kuwa yapo maisha baada ya kuwepo kwa Tanganyika kama nchi mpya, wakasahau kuwa ule umaskini wetu upo pale pale hata baada ya kujitenga na kuwa nchi mbili kamili.

Yote haya yamesababishwa na wale walioshindwa kutunza siri za serikali na wakaamua kuisaliti ofisi inayowalipa mishahara!. Wapo wengi hata hawakutaka kujiuliza hiyo bandari imekuwa ni yetu tangu siku bendera inapandishwa pale uwanja wa Taifa iweje leo eti ndio iuzwe!

Mbegu ya ubaguzi iliyotaka kupandikizwa miongoni mwa watanzania imeshindwa rasmi kule Mbeya baada ya hukumu iliyotolewa na majaji juu ya suala zima la uwekezaji bandarini. Mbegu ya wao na sisi imepoteza kabisa mashiko baada ya DP World kuruhusiwa kisheria kufanya uwekezaji katika bandari yetu.

Ombi maalum kwa wanasheria wanaoandaa mikataba ya kibiashara muda huu katika sehemu fulani ya dunia, ni kutorudia kosa kama lililoufanya mchakato mzima wa uwekezaji kuchukua muda na kuzusha maneno mengi kutoka kwa wanasheria uchwara wa mitandaoni.

Nadhani ni wazoefu kiasi cha kufahamu maana ya kutunza siri haswa katika suala nyeti na lenye maadui wengi kama hili la uwekezaji pale TPA. Wamejifungia wakiumiza vichwa vyao ili waje na vifungu vyenye maslahi kwa wafanyabiashara wazalendo.

Iwapo biashara nzima ya uwekezaji itakwenda kuharibika mbele ya safari na Tanzania ikalazimika kulipa mabilioni ya pesa basi wao wakiwa ni wanasheria wa taifa hawataweza kukwepa lawama zozote zile zitakazoibuka, ni muda wa kuwa makini kadri wawezavyo wakati wa uandishi wa vifungu vyote vitakavyokuwemo katika hiyo mikataba miwili muhimu iliyobakia.

Uwekezaji huu ukikaa sawa na kuzaa faida kwa upande wa TRA watakumbukwa na majina yao yataingizwa kwenye zile kurasa maalum za mashujaa wa Taifa, wakishindwa kuweka uzalendo mbele na weledi wao ukaliangusha taifa maana yake majina yao yatakwenda kupoteza kabisa heshima ambayo wameipata mpaka muda huu.
Kwa hiyo tuuzwe kimya kimya? Mungu yupo mjue. Msisahau hilo. Uwekezaji tunautaka ila kwa vigezo vipi? Tumetoa Loliondo ujue hatutaki kurudia humo.
 
Kwa hiyo tuuzwe kimya kimya? Mungu yupo mjue. Msisahau hilo. Uwekezaji tunautaka ila kwa vigezo vipi? Tumetoa Loliondo ujue hatutaki kurudia humo.
Unao ushahidi wa kujitosheleza wa bandari kuuzwa?, usiziamini hizi kelele za wabaguzi wanaojiita watanganyika ni uzushi na upuuzi mtupu.

TICTS alikodisha bandari kwa miaka 22 leo hii anapewa DP World, hakuna kiongozi mwenye uthubutu wa kuuza nchi.

JPM aliijenga SGR kwa trilioni 17 pesa ya walipa kodi, ni pesa nyingi sana na lazima irudi. Pia tukumbuke kuwa huko DRC na Rwanda kuna mzigo wa mamilioni ya tani unaosubiri kuboreshwa kwa usafirishaji na kuboreshwa kwa huduma za bandari.

Kwa ufupi kuwepo kwa SGR kungekuwa ni upotezaji wa pesa nyingi za walipa kodi iwapo pale TPA tungekuwa hatujajiongeza kwenye utoaji wa huduma kisasa zaidi.
 
Walioandika na kusaini mkataba wa gas sio hawa wa mkataba wa DP World, usipende sana kukariri masuala yanayofanywa na serikali mengine yanajumuisha utaalam wa kina.
Kwani serikali huwa inashindwa kwenye kesi za kuvunja mikataba mingi? Ni mkataba upi ambao unatunufaisha kama taifa ambao serikali ya ccm imeungia ukaleta tija?
 
Kwani serikali huwa inashindwa kwenye kesi za kuvunja mikataba mingi? Ni mkataba upi ambao unatunufaisha kama taifa ambao serikali ya ccm imeungia ukaleta tija?
Mkataba wa kwanza kuleta tija ni huu wa DP World pale TPA. Unakwenda kufutilia mbali upigaji na kuongeza mapato ya serikali na kupunguza muda wa meli kuhudumiwa.

Mkataba wa pili kuleta tija ni ile iliyoingiwa na TCAA inayowezesha ndege zetu kutua katika viwanja mbalimbali vya kimataifa.

Mkataba wa tatu kuleta tija ni ile ya manunuzi ya ndege zote zilizokuja ambazo zinaruka kila kona ya dunia na kuilindia heshima Tanzania kimataifa.

Kuvunja mikataba na kulipa pesa nyingi kuna sababu nyingi ikiwemo uwezo mdogo wa baadhi ya wanasheria na tabia ya kutaka rushwa kwa maana ya uwepo wa mtandao kati ya mawaziri, makatibu wakuu na wanasheria wa wizara na taasisi mbalimbali.

Lakini huwezi kulinganisha hasara zinazopatikana na zile faida za kitaifa tunazopata.
 
Unao ushahidi wa kujitosheleza wa bandari kuuzwa?, usiziamini hizi kelele za wabaguzi wanaojiita watanganyika ni uzushi na upuuzi mtupu.

TICTS alikodisha bandari kwa miaka 22 leo hii anapewa DP World, hakuna kiongozi mwenye uthubutu wa kuuza nchi.

JPM aliijenga SGR kwa trilioni 17 pesa ya walipa kodi, ni pesa nyingi sana na lazima irudi. Pia tukumbuke kuwa huko DRC na Rwanda kuna mzigo wa mamilioni ya tani unaosubiri kuboreshwa kwa usafirishaji na kuboreshwa kwa huduma za bandari.

Kwa ufupi kuwepo kwa SGR kungekuwa ni upotezaji wa pesa nyingi za walipa kodi iwapo pale TPA tungekuwa hatujajiongeza kwenye utoaji wa huduma kisasa zaidi.
Because i have an education and know English i did read the IGA myself. In there i found some articles which I, with no law degree education won’t endorse. Like how could I endorse changing my laws just to benefit one person?. Or how would I give all concession right to all trade corridors, new investment zones and other trade benefits to one person?. West Africa is fighting systematic slavery from France and the terms are the same. We should contract with the world in equal footing. We don’t sell ourself for a penny just because the buyer is an arab, white or chinese. We don't oppose investment, we oppose the term of the investment. We as the owner of this country and not the ruling class has a right to speak and direct them when they are acting as the owners while they are just caretakers “ custodians”
 
Mkataba wa kwanza kuleta tija ni huu wa DP World pale TPA. Unakwenda kufutilia mbali upigaji na kuongeza mapato ya serikali na kupunguza muda wa meli kuhudumiwa.

Mkataba wa pili kuleta tija ni ile iliyoingiwa na TCAA inayowezesha ndege zetu kutua katika viwanja mbalimbali vya kimataifa.

Mkataba wa tatu kuleta tija ni ile ya manunuzi ya ndege zote zilizokuja ambazo zinaruka kila kona ya dunia na kuilindia heshima Tanzania kimataifa.

Kuvunja mikataba na kulipa pesa nyingi kuna sababu nyingi ikiwemo uwezo mdogo wa baadhi ya wanasheria na tabia ya kutaka rushwa kwa maana ya uwepo wa mtandao kati ya mawaziri, makatibu wakuu na wanasheria wa wizara na taasisi mbalimbali.

Lakini huwezi kulinganisha hasara zinazopatikana na zile faida za kitaifa tunazopata.
Sometimes ego is what brought people down. We are going under because of our stupid ego. Government can’t do every business. We need to be pick and choose in picking where to invest our precious resources.
 
Because i have an education and know English i did read the IGA myself. In there i found some articles which I, with no law degree education won’t endorse. Like how could I endorse changing my laws just to benefit one person?. Or how would I give all concession right to all trade corridors, new investment zones and other trade benefits to one person?. West Africa is fighting systematic slavery from France and the terms are the same. We should contract with the world in equal footing. We don’t sell ourself for a penny just because the buyer is an arab, white or chinese. We don't oppose investment, we oppose the term of the investment. We as the owner of this country and not the ruling class has a right to speak and direct them when they are acting as the owners while they are just caretakers “ custodians”
Kila mtu ana maoni yake na anajipa umuhimu na uhalali wa kutaka kile anachokiwazia ndio kisikilizwe na kupewa kipaumbele,

Mwisho wa yote wanasheria wanahitaji maoni kama ya kwako katika uandaaji wa hii mikataba katika hatua ambayo michakato ya biashara kwa sasa imefikia.
 
Back
Top Bottom