Valencia_UPV
JF-Expert Member
- Mar 31, 2016
- 6,974
- 8,750
Namba bila maneno inafaa nini? Tulieni dawa iingieUnaweza kujenga hoja kwa namba na kuacha maneno tu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Namba bila maneno inafaa nini? Tulieni dawa iingieUnaweza kujenga hoja kwa namba na kuacha maneno tu?
Manunuzi nako wametaitiwaKwani walikuwa wanakula kwenye makusanyo au kwenye malipo (manunuzi)?
Huna namba unabwabwaja.Namba bila maneno inafaa nn? Tulieni dawa iingie
Wapigaji naona mmebaki na nambaUnaweza kujenga hoja kwa namba na kuacha maneno tu?
Una assume sana, mimi sipo Tanzania kwa miaka zaidi ya 20 na nina maisha yangu mazuri tu leafy suburbs.Wapigaji naona mmebaki na namba
Magufuli ni mwamba, wakuu, mimi nilishawaambia pesa haipotei yaani.Wale Vishoka mtaani na wahasibu wezi serikalin wanaisoma namba kwa vitendo. Hivi sasa mpaka Police Loss Report (Tsh. 500/=) Lazima ku-generate Control Number. Heko Awamu hii.
Hakuna janja-janja kila mtu atafikiwa.
NB:katika kuweka mgomo baridi wa kunyang'anywa ulaji. Watendaji wameamua kutoa huduma chini ya kiwango kupitiliza ila sawa tu Zama za pesa za bure zimekwishaaaa........
Wanachezaje na control number, acha kutudanganya.Bado wizi upo Mkuu.....watu wanacheza sana na hizo control number.
Mkuu unapenda kudanganywa sana.wanachezaje na control number acha kutudanganya.
Ndege za umma. Awamu nyingine hatukua na ndege na makusanyo yaliishia mifukoni mwa wajanja wachache
Control number ndio malipo yasiyoweza kupoteza fedha.Mkuu unapenda kudanganywa sana.
Imepunguza idadi ya wezi. Wezi wa hela ndogo ndogo wamedhibitiwaWale Vishoka mtaani na wahasibu wezi serikalin wanaisoma namba kwa vitendo. Hivi sasa mpaka Police Loss Report (Tsh. 500/=) Lazima ku-generate Control Number. Heko Awamu hii.
Hakuna janja-janja kila mtu atafikiwa.
NB:katika kuweka mgomo baridi wa kunyang'anywa ulaji. Watendaji wameamua kutoa huduma chini ya kiwango kupitiliza ila sawa tu Zama za pesa za bure zimekwishaaaa........
Daa! Mkuu uwe mwangalifu! Jamaa yangu hapa ana CPA ya 1993, amesonya: "mpsyuuuu!!!" Akaondoka!Ufafanuzi wa nn hakuna wizi wa maduhuli ya Serikali. Vijana wafunga tai sijui CPA holder namba wanaisoma
Ohoo! Hapo TAKUKURU anapiga jalamba taratiiiibu!!!Yaani ni mwendo wa njaa tu kwa Wahasibu siku hizi. Sema wanatabia siku hizi ya kukuzungusha malipo mpk uwatoe
Umewahi kutengeneza budget wewe? Unazijua tender wewe? Kwa kifupi: Katika budget kuna emergency cases or miscellaneous cases. Katika Tender kuna kununua direct kutoka kwa manufacturer. No dealers no competition!Kukusanya fedha ni nusu ya mlinganyo.
Nusu nyingine ni matumizi ya hizo fedha.
Kama ukusanyaji wa fedha unadhibitiwa, halafu mtu mmoja tu ananunua midege anavyotaka, bila bajeti, tenda ya wazi, wala ukaguzi wa vitabu, bado tuna tatizo kubwa sana.
Tatizo lako umekariri maisha bwashee, CPA holder anayejitambua vizuri hawezi kufa njaa kwa kutegemea ajira unless awe na matatizo ya mtindio wa ubongo. Kuna advantage pia za kuweka mfumo wa control number kwa qualified accountants kuliko hao vishoka unaowasema waliokuwa wanaingilia taaluma uhasibu ( CPA). Hakunaga system ambayo huwa inaua taaluma ya mtu. Inaonekana wewe ndiye ulikuwa kishoka.....ukweli mchungu lakini ndipo tunapoelekea huko mbele katika ulimwengu wa IT 100%.Ufafanuzi wa nn hakuna wizi wa maduhuli ya Serikali. Vijana wafunga tai sijui CPA holder namba wanaisoma