DesertStorm
JF-Expert Member
- Nov 22, 2015
- 3,131
- 2,537
Huyu wasipomkemea ataua mtu
Soka la South America nalipenda sana kwa kweli
Niliisikia hiyo babu, na kipa wao hana utani, ukileta ujinga anakukwida kweli 😄Kuna clip moja niliona kipa wetu Argentina alisema ile final world Cup na France yeye alimkemea romero akamwambia "ukisbabisha penalty nakuua"
Ndio jamaa likatulia😄😄
Romero is that you?That is Copa America for you....
View attachment 3026667
Hiyo hamna kwakweli 😄Leo usiku wa manane, timu ya taifa ECUADOR itaenda kuichapa tena JAMAICA kwa mara ya 3. 😃😃😃😃
No, huyo alikuwa ni Nico gonzalenz wa FiorentinaRomero is that you?
Romero is that you?
No, huyo alikuwa ni Nico gonzalenz wa Fiorentina View attachment 3026724
Hiyo hamna kwakweli 😄
Argentina 1-0 Chile, FT
Sipati picha Argentina angelikua anacheza ulaya, wangetukoma
Mechi ya Argentina na chile ni maulid kitenge pekee katika waandishi wakubwa ndie aliepost, wengine hawana habari, kazi kutupostia uero
Uruguay kikombe chetu hiki
Mbuzi tunamfanya nyama chomatujo pamoja
Uruguay kikombe chetu hiki