Light saber
JF-Expert Member
- Nov 3, 2017
- 4,368
- 7,935
JamiiForums nyumba ya wajuvi , Wajuvi ninawasalimu, Niende Moja Kwa Moja kwenye lililonifanya niandike ..
Ulicope vipi baada ya kuachana na mtoto wa mamkwe..
Let's say mmedate, mmeunganisha families alafu mmecreate.. two made three ila ya Dunia mengi mmeachana ..ila unaugulia a year sasa ..
THREAD KWA AJILI YA WOTE JUST SHARING EXPERIENCE
Ulicope vipi baada ya kuachana na mtoto wa mamkwe..
Let's say mmedate, mmeunganisha families alafu mmecreate.. two made three ila ya Dunia mengi mmeachana ..ila unaugulia a year sasa ..
THREAD KWA AJILI YA WOTE JUST SHARING EXPERIENCE