Serikali yako imewashika wengi kimawazo, kama health officials hawawezi tangaza their findings wadaku wa mitandao kama wewe mtapata wapi ya ku post apart from selected positives za tz?, kisha serikali imewaamimisha eti testing ni ovyo kupitia kupima ma paipai na petroli (pedestrian reasoning, unscientific), so wengi mumekaa kizombie tu, can't think outside the box. Ndio maana wewe mtazamo wako ni ule ule wenye ccm has propagated, see your life now![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] unanifurahisha sana, yaani mtu mzima anaeza kua fooled hivi kirahisi![emoji23][emoji23]