Kwa hiyo hilo gonjwa la town mungu alilileta kisha akasubiri aombwe ndio aliondoe?, usiniambie hakujua lilipotoka hadi likaua watu wakamuomba ndio akaliondoa.
Mungu hawezi kuzuia gonjwa kabla halijaua watu wake ama hua hajui linapotokea anakija kushtuliwa na maombi?[emoji3][emoji3].
Ukimwi, kansa bado maombi hayajamfikia ili ayaondoe kama alivyoondoa town au hajui kama yapo?
Tuendelee kuomba mkuu.
We dogo unasoma na kuelewa kweli? Mbona unauliza kitu ambacho nishaelezea?Popote unaweza kuziongelea
Kumbuka ishu sio kuziongelea, ishu ni uhalisia wa kitu husika.
Kitu chochote cha kufikirika kinaweza kujadiliwa katika mazingira yeyote yale lakini hiyo haimaanishi kitu hicho ni real
Mungu unaweza kumjadili sehemu gani ambayo spiderman au kitu kingine hakiwezi kujadilika katika mazingira hayo?
It's Scars
Ooh. Upo sahihi kabisa, hakuna Mungu...Naweza kujadili chochote kile kwa namna ambavyo kimesimuliwa hadithini bila kujali uhalisia wake.
nikiandika kauli hapa inayozungumzia uwezo wa spiderman kupanda kwenye maghorofa marefu, pamoja na jitihada zake za kuzuia treni kwa nyuzi za buibui, hiyo itamaanisha kwamba spiderman is real and not fictional character?
Unaweza kuthibitisha huyo huyo Mungu mmoja yupo?
It's Scars
Ulienda lini huko kwenye hiyo sayari?Ndo nishakujibu
Kwanini mungu ahitaji maombi?Tujifunze kumuomba Mungu straight sisi wenyewe,turekebishe MAHUSIANO BINAFSI SISI NA MUNGU siyo kupitia majizi haya
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna watu wauaji wanaua watu na ndiyo dhambi kubwa kwenye dini ila bado ni muumini wa dini na anaamini Mungu,sasa huyo mtu utasema anaamini dini kwa sababu katishwa atachomwa moto?Pap mwenyewe kapata corona hahaha, nishasema humu mara kibao dini ni upuuzi uliotungwa watu wameshika kwa sababu tu walizaliwa wakatishiwa kuchomwa moto siku ya mwisho.
Biblia ina makosa mengi mno, quran vilevile. Ila wakisoma wanatafuta kila njia kutetea upuuzi hadi watu wenye phd zao hahaha so stupid.Na waache upuuzi wa kwenda kukusanyika makanisani nchi nyingine makanisa ndiyo yamesababisha milipuko hii.
Hili swala lingekua linatambulika kweli na ikawa linauhalisia, tusingeona nguvu kubwa ikitumika mekka na vatican kupiga marufuku watu wasiende kwa uoga wa kufa, wakati wakifa watapata maisha maziluri ya milele..Imani katika Mungu Mwenyezi haifanyi kazi kama unavyofikiri, wacha Mungu hawana kinga ya kuugua na kufa ila wana kinga ya kufa kifo cha milele. Maana yake wanaweza kufa katika mwili lakini wanaishi milele katika roho. Ila shetani na mawakala zake wanasubiriwa na adhabu ya kifo cha milele
Huku mtaani kwenye ibada ya leo unaambiwa ukifika mlangoni unaulizwa mara mbili "ulinawa na sabuni unavyotoka kwako" ukisema ndio wanakupa sabuni unawe ndio uanze misa. Yani imefikia wakati hadi mapasta hawakuaminiDini ni aina ya siasa lengo lake mama ni kumtawala mtu
Mimi niliacha kuamini dini miaka karibu 7 iliyopita angalia sasa hivi hivi wanavyotapata ombeni mtapewa ombeni basi wagonjwa wa corona wapone wakina gwajima mwamposa wezi wakubwa na kodi inaitwa sadaka
Kweli kabisa Scars] hajamjua mola kama ana sifa ya ukatili pia.Sasa nani amekwambia amewaachia Madaktari,wakati yeye ndio ameruhusu ugonjwa huo uwepo na uwadhuru watu.
Yeye ndio ameuleta na yeye ndio wakuuondoa,hakuna mwanadamu mwenye kuweza kuuondoa ugonjwa wala kuleta ugonjwa.
Maelezo yako yote yanaonyesha ni kwa namna gani humjui Mola muumba wa mbingu na ardhi.
Unafikiri hao waliopitiwa na ebola hawakuomba ili waepushwe nao?Hao Viongozi wa dini pia Usisahau walikemia ebola haikufika nchini sijaona uzi wako ukipongeza dini kufanya maombi kuzuia ebola.
Kama siyo unafiki nini? Watu wanafiki utawajuwa kwa maneno yao.
Dini zimetabili siku za mwisho Kuna majanga yatatoke, janga lazima litoke ili maandiko yatimie. Unaanza kukashifu dini.
Hapa unamzungumzia Mungu yule yule anaye jinasibu kuwa mkarimu au unazungumzia Mungu yupi huyo?Dunia yote imesalander! Hakuna mwenye nguvu, hakuna mwenye utaalamu, hakuna tajiri, hakuna teknolojia, hakuna silaha kali, hakuna usalama wa taifa, hakuna hakuna hakuna chochote. Kila nchi inalilia hali yake. Kila nchi inafunga mipaka yake, haijulikani tena nani anamfungia nani. Hakuna nchi inayohurumia nchi nyengine, kila moja inapambana kivyake... yote yamesababishwa na kidudu kidogo-virus.. wala hakionekani kwa macho!!!! Unahitaji nini kukubali kuwa Mungu yupo? ambaye akitaka lake hakuna nguvu yeyote inayoweza kulizuia?!!
Ameleta corona akitaka ataiondoa hakutaka ataiacha iendelee kutia adabu watu. Hapangiwi ampe nani na nani ni maamuzi yake tu!!! Watu wa dini yeye ndo anawajua zaidi kuliko wewe kama ni wa kweli au waongo! Sisi tunaomuamini uwepo wake na nguvu zake tunamuomba atunusuru na hili lkn hatuna haki ya kumlazimisha. Tunaomba, anaweza akatukubalia au akatukatalia! Hakuna mwenye guarantee ya maamuzi ya Mungu!
Hata nikitubu kufa nitakufa kwasabu ni nature ya ulimwenguUjui ukiandikacho we mbwa mwitu. Na
Usipotubu utakufa hakika.
Hizo habari unahakika gani kua ni za kweli na sio porojo tu?hata kipindi cha manabii wa zamani.
Kulikuwepo na magonjwa ya mlipuko kama haya
NA watu walikufa wengi tu..
IMANI YA KWELI IPO,NA INAANZIA KWAKO.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kijana naona umekariri ndiyo maana unashindwa kunielewa,narudia tena mie sizungumzii masheikh wala mapadri bali nazungumzia dua na dua hufanywa na muumini yeyote sio suala la masheikh wala mapadri hapa. Na kuhusu kupona kweli ni kuondoka kwa hilo tatizo,maana kama hilo tatizo haliji tena maana yake ugonjwa umepata tiba.
Swali nikuulize wewe, huyo mungu ambaye waumini wake wanaua watu katoka wapi? Kila kitu mungu mungu hahaha, fkn waste of timeKuna watu wauaji wanaua watu na ndiyo dhambi kubwa kwenye dini ila bado ni muumini wa dini na anaamini Mungu,sasa huyo mtu utasema anaamini dini kwa sababu katishwa atachomwa moto?
Hoja zengine za kuchekesha kweli.
Wanasema shetani hufanya yale yaliyo mabaya, lakini kwenye hili janga la corona wamemuacha shetani na kusema kua ni mungu ametupa corona baada ya watu kufanya mahasiNilishaandika hivi haya myaonayo sasa ya kuabudu, kuamini kuwa kuna ulimwengu wa kiroho mara Mungu na mpinzani wake shetani,hapo baadae vizazi vijavyo watakuja kusoma hiyo historia huku wakitucheka! Watakuja kufundishwa jinsi tulivyokuwa wapuuzi tukiamini hayo mambo...
Dini ni project zilizoshiba na zinatusua fedha haswa kwa wakuu wanaohodhi hayo mambo,wanaoamini hawawezi kuelewa maana ndio washatekwa akili,wao wanajiona ni watumishi wa Mungu kumbe ni wateja wa watu fulani fulani[emoji23]
Mungu wanavyomfikiria sivyo alivyo!!
Wenyewe waendelee kupiga sala tu but wajue wanafanya kazi ya bure!!
Haya nilioandika wataona nimekufuru ati mimi nimejawa na ushetani na wakati huohuo wanaamini Mungu aliumba kila kitu it means na shetani aliumbwa na Mungu sasa linapokuja swala la tabia mbaya za shetani wanasema muanzilishi ni shetani!! Wakati shetani nae aliyakuta mambo hakuna tabia ambayo shetani kaianzisha bila kuirithi kwamaana Hakuna ambacho hakijatoka kwa baba!![emoji23]
Mungu wamemvesha joho la tabia nzuri tu sasa sijui mbaya zilitoka wapi maana yeye ndo muanzilishi wa kila kitu!!
Hakuna cha Mungu wamaombia atakusaidia sahau maana maisha ni uhalisia na sio maombi.